Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We na ID feki humu ndiyo una umuhimu.Na huyo apeleke unafiki wake huko hana umuhimu kwa taifa hili
Hana shida jinsi ww unafikiri ndg yang. Mbunge miaka kumi. Watu sijui mnajilinganishaje na hawa watu. Yule si mwenzio.Asisahau madalali wa benki wanamsubiri kwa hamu!
Mmeanza!!?tukiwaombea mufe na roho zenu mbaya,mtatulaumu???!akitua airport tu, moja kwa moja jela
Mkuu umeibuka. Magufuli hayupo Tena Ikulu wala chato Magufuli sasa yupo kwenye Jokofu la baridi hali, aoni, hajigusi amelala usingizi wa mileleakitua airport tu, moja kwa moja jela
Benk zimewekwa kukopesha Matajiri si Masikini kama wewe, mfumo wa kibenk ulianzia nchi zilizoendelea Amerika.Asisahau madalali wa benki wanamsubiri kwa hamu!
Kweli aiseeBenk zimewekwa kukopesha Matajiri si Masikini kama wewe, mfumo wa kibenk ulianzia nchi zilizoendelea Amerika.
Hayo ni mawazo ya masikini mnywa pombe za maindi "dadii" unaye lala bila kunawa miguu.
Hata kama sio kwake kwani kutembekea kaburi hadi liww kwake?Wewe Fala roporopo aliyezika mbwa mpo nae huko Nasarifix
HAKUNA wizi wa magari kule.Hajawekeza huko aliko?
Kumaanisha mheshimiwa ana connection na huu mtandao?HAKUNA wizi wa magari kule.
Labda ingekuwa wakati ule tulipokosa uongozi wenye hekima. Kwa sasa hilo hatulitarajii.akitua airport tu, moja kwa moja jela
Madeni ndio yalimkimbiza karibu Lema ulipe madeni hukuwa mkimbizi wa kisiasa bali mkimbizi wa madeniAsisahau madalali wa benki wanamsubiri kwa hamu!
Alikimbia madeni ya benki. Hawezi kurudi maana pesa za kulipa deni hana.kwani alifukuzwa na nani?
Haka kanakohoroja hapa si ajabu bado hata kanaishi kwa shemeji na kusikilizia dada akikobolewa! Pumbavu kabisa wewe!!Na huyo apeleke unafiki wake huko hana umuhimu kwa taifa hili
Tunakumbushana tu msije kutupitishia bakuli kama tulivyomtoa Mbowe segerea!Hana shida jinsi ww unafikiri ndg yang. Mbunge miaka kumi. Watu sijui mnajilinganishaje na hawa watu. Yule si mwenzio.
Na kwa wenye mitaji wanajua bila benki huwezi kuendelea kiuchumi.
Sasa ww ambae huna hata hadhi ya kukopeshwa kiberiti dukani kwa mangi jifananishe na Lema.
Hata Mbowe ni sisu maskini pamoja na Hayati Magufuli ndio tulimchangia tukamtoa Jela segerea!Benk zimewekwa kukopesha Matajiri si Masikini kama wewe, mfumo wa kibenk ulianzia nchi zilizoendelea Amerika.
Hayo ni mawazo ya masikini mnywa pombe za maindi "dadii" unaye lala bila kunawa miguu.