Lema: Narudi Tanzania

Lema: Narudi Tanzania

Kwa hiyo alikuwa anatishwa na JPM binafsi?

Huyo alienda huko kama fashion tu na kaona hakuna hata mwenye muda naye.

Hata Samia bado ni CCM na hii ni moja ya nukuu yake.



Ukileta uboya shaba iko palepale tena yeye hataki zaidi ya 3.

Mnaotegemea miujiza kwa Samia mnasikitisha.

CCM si ni ileile au mmesahau mara hii?
 
Godbless Lema asema anafikiria kurudi nyumbani Tanzania,

Aliyekuwa mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema ambaye alikimbilia ughaibuni kwa madai ya wasiwasi wa usalama wake mara baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 2020 anafikiria kurudi nchini Tanzania.

Baada ya kifo cha Rais Magufuli Lema anatarajia kuona uongozi wa Rais Samia ukirekebisha na kutafuta maridhiano ya taifa zima.

‘’Nataka kurudi nyumbani hata leo, nyumbani ni nyumbani tu, wakati nakimbia nyumbani nilishuhudia uzoefu mbaya mimi na familia yangu’’, alisema

Lema ameeleza kuwa mabadiliko ya mifumo ya kiutawala ikiwemo viongozi watakaojali haki ni sura itakayorejesha imani ya kwamba sasa maisha yako salama.

‘’Nitarudi nyumbani mapema sana kuendelea na mapambano. Uwepo wetu huku hauna maana ya kwamba tumekuja kula bata, hakuna maisha yoyote, mtu anaweza akakimbia nyumbani kwao ambako amejijenga vizuri.’’alisisitiza

Hata hivyo Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ilitupilia mbali madai hayo ya upinzani na kusema hayo ni maigizo ya upinzani.

‘’Tanzania ni nchi inayoheshimu utawala wa sheria.’’alisema msemaji wa serikali Dokta Hassan Abbas.

Samia Suluhu Hassan ameapishwa leo jijini Dar es salaam kuongoza awamu ya sita ya serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kifo cha mtangulizi wake John Pombe Magufuli.
Sasa mheshiwa gwaji b akionyesha kipaji cha chake, na nchi ikataruki si utakuwa unapoteza pesa,
 
Pombe alichemkaga sana kuwa mbabe sana na kutokubali kukosolewa.
Kosa jingine ni kukataa ugonjwa kwamba haupo. Ulikuwa ni upumbavu wa hali ya juu sana ule. Tumsamehe JPM
 
Hata usiporudi. Kwani ulimshauri nani wakati ukikimbia ujinga wako? Si ulidanganywa kuwa kuna bata kule wakati ni msoto mtupu. Shame on you. Kesho utalisikia li Lissu nalo likisema narudi baada ya kuchokwa na mabwana zetu.
 
Lema alimwambia Magu "Mungu amesema uache kujifanya Mungu, lasivyo utakufa", lakin jamaa akawa na shingo ngumu kama pharaoh hakuacha kujifanya Mungu, mwisho wake yakatokea yaliyomtokea..
 
Canada wajinga Lema kakimbia madeni wanampa ukimbizi!!!!
 
Wanafiki hawa na mwenzie Lissu wasifikirie tutasahau kejeli zao, utafika muda wao na wao watapata haki yao.

Ndugu, acha ujinga. Awamu ya 5 ndiyo hiyo haipo...

Imeshaondoka na uovu wake. Walipanda dhambi, wameivuna mauti..

Walifanya ushirika na shetani wakasahau kuwa ibilisi shetani hajawahi kuwa na urafiki na binadamu. Yeye ni Mwongo na muuaji daima..

Sisikitiki wala kuhuzunika kwa kifo cha Hayati Rais John Pombe Magufuli. Zaidi sana namfurahia Mungu wangu Yehova kwa kujibu kwa ukamilifu maombi yetu. Magufuli na wenzake wamevuna walichokipanda kwa miaka 5 na nusu...

Karibu sana Godbless Lema nyumbani. Topo kwenye msimu Wa nyakati Mpya na majira mapya kabisa...

Tazama ya kale yamepita, tumeanza maisha mapya kabisa...
 
Godbless Lema asema anafikiria kurudi nyumbani Tanzania,

Aliyekuwa mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema ambaye alikimbilia ughaibuni kwa madai ya wasiwasi wa usalama wake mara baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 2020 anafikiria kurudi nchini Tanzania.

Baada ya kifo cha Rais Magufuli Lema anatarajia kuona uongozi wa Rais Samia ukirekebisha na kutafuta maridhiano ya taifa zima.

‘’Nataka kurudi nyumbani hata leo, nyumbani ni nyumbani tu, wakati nakimbia nyumbani nilishuhudia uzoefu mbaya mimi na familia yangu’’, alisema

Lema ameeleza kuwa mabadiliko ya mifumo ya kiutawala ikiwemo viongozi watakaojali haki ni sura itakayorejesha imani ya kwamba sasa maisha yako salama.

‘’Nitarudi nyumbani mapema sana kuendelea na mapambano. Uwepo wetu huku hauna maana ya kwamba tumekuja kula bata, hakuna maisha yoyote, mtu anaweza akakimbia nyumbani kwao ambako amejijenga vizuri.’’alisisitiza

Hata hivyo Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ilitupilia mbali madai hayo ya upinzani na kusema hayo ni maigizo ya upinzani.

‘’Tanzania ni nchi inayoheshimu utawala wa sheria.’’alisema msemaji wa serikali Dokta Hassan Abbas.

Samia Suluhu Hassan ameapishwa leo jijini Dar es salaam kuongoza awamu ya sita ya serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kifo cha mtangulizi wake John Pombe Magufuli.
Subiri vumbi litulie. Utaingia mtegoni utajuta sana.
 
Hana shida jinsi ww unafikiri ndg yang. Mbunge miaka kumi. Watu sijui mnajilinganishaje na hawa watu. Yule si mwenzio.

Na kwa wenye mitaji wanajua bila benki huwezi kuendelea kiuchumi.

Sasa ww ambae huna hata hadhi ya kukopeshwa kiberiti dukani kwa mangi jifananishe na Lema.

So ukiwa mbunge miaka 10 ndio nini[emoji23][emoji23][emoji23]... wewe utakua hujawahi kushika pesa so hizo pesa za ubunge unahisi watu wanatajirika [emoji23][emoji23]
 
Hana shida jinsi ww unafikiri ndg yang. Mbunge miaka kumi. Watu sijui mnajilinganishaje na hawa watu. Yule si mwenzio.

Na kwa wenye mitaji wanajua bila benki huwezi kuendelea kiuchumi.

Sasa ww ambae huna hata hadhi ya kukopeshwa kiberiti dukani kwa mangi jifananishe na Lema.

So ukiwa mbunge miaka 10 ndio nini[emoji23][emoji23][emoji23]... wewe utakua hujawahi kushika pesa so hizo pesa za ubunge unahisi watu wanatajirika [emoji23][emoji23]
 
Godbless Lema asema anafikiria kurudi nyumbani Tanzania,

Aliyekuwa mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema ambaye alikimbilia ughaibuni kwa madai ya wasiwasi wa usalama wake mara baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 2020 anafikiria kurudi nchini Tanzania.

Baada ya kifo cha Rais Magufuli Lema anatarajia kuona uongozi wa Rais Samia ukirekebisha na kutafuta maridhiano ya taifa zima.

‘’Nataka kurudi nyumbani hata leo, nyumbani ni nyumbani tu, wakati nakimbia nyumbani nilishuhudia uzoefu mbaya mimi na familia yangu’’, alisema

Lema ameeleza kuwa mabadiliko ya mifumo ya kiutawala ikiwemo viongozi watakaojali haki ni sura itakayorejesha imani ya kwamba sasa maisha yako salama.

‘’Nitarudi nyumbani mapema sana kuendelea na mapambano. Uwepo wetu huku hauna maana ya kwamba tumekuja kula bata, hakuna maisha yoyote, mtu anaweza akakimbia nyumbani kwao ambako amejijenga vizuri.’’alisisitiza

Hata hivyo Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ilitupilia mbali madai hayo ya upinzani na kusema hayo ni maigizo ya upinzani.

‘’Tanzania ni nchi inayoheshimu utawala wa sheria.’’alisema msemaji wa serikali Dokta Hassan Abbas.

Samia Suluhu Hassan ameapishwa leo jijini Dar es salaam kuongoza awamu ya sita ya serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kifo cha mtangulizi wake John Pombe Magufuli.
Wanafiki na wasumbufu na wapotezaji muda wa wananchi hii yote kwa maslahi yao . Mbowe na Lema hawa watu siwapendi hawana faida kwa hili taifa wao huaribu kile watu hufanyia kazi kuifanya wanaona wenzao wanakaa tu .
Hakuna mtu aliyekaa tu tokea mwanzo kila mtu kafanya yake hadi aliyekuwa raisi wetu wa awamu ya tano.

Hata ya sita atafanya yake.
Jamani imetosha acheni uvurugaji mnakera .
Nchi bila nyie itaenda vizuri tu .
Siwapendi CHADEMA .
nasina muda kujielezea
 
Back
Top Bottom