Man filandu
JF-Expert Member
- Aug 31, 2023
- 412
- 402
Wewe dada acha porojo ujue unaongea na waume zako humu, husifikiri na sisi hatutafakari !!!Lema anachanga karata zake vibaya, anadhani Watanzania ni wajinga.
Mbowe akimaliza uchaguzi atawashughurikia wahuni wote.
Lema hagombei ubunge Arusha si kwamba hataki pale kuna Makonda na Mbowe anamsubili amfunze adabu.
Sasa karata ya Lema ni kaamuwa kujilipuwa kwa Lisu apate Uenyekiti ili yeye awe katibu mkuu.
Hii ni total fairule plan.
Fwatilia trend yote ya wakimbizi walioko CDM utagundua kitu…. Lema inasemekana miongoni mwa masharti ya Assylum status yake na faida zinazoangukia kwayo ni kutokua katika active politics!!Lema anachanga karata zake vibaya, anadhani Watanzania ni wajinga.
Mbowe akimaliza uchaguzi atawashughurikia wahuni wote.
Lema hagombei ubunge Arusha si kwamba hataki pale kuna Makonda na Mbowe anamsubili amfunze adabu.
Sasa karata ya Lema ni kaamuwa kujilipuwa kwa Lisu apate Uenyekiti ili yeye awe katibu mkuu.
Hii ni total fairule plan.
Mbowe namkubali ila kwa zamu hii Lisu saa yake imefika kuongoza chamaLema anachanga karata zake vibaya, anadhani Watanzania ni wajinga.
Mbowe akimaliza uchaguzi atawashughurikia wahuni wote.
Lema hagombei ubunge Arusha si kwamba hataki pale kuna Makonda na Mbowe anamsubili amfunze adabu.
Sasa karata ya Lema ni kaamuwa kujilipuwa kwa Lisu apate Uenyekiti ili yeye awe katibu mkuu.
Hii ni total fairule plan.
Pia usisahau ushirikiano uliopo kati ya sultan +sa100+abdul+wenjeKuna ushirikiano unaoendelea kati ya Msigwa, Lissu, Lema na kambi yote ya Lissu.
Mimi ni mmoja wa wanaoamini katika siasa hakuna rafiki wala adui wa kudumu ila kuna maslahi ya kudumu.
Uchaguzi wa CHADEMA ni kuhusu maslahi ya kiuchmi kwa pande mbili japo sio vibaya ila kinachosikitisha ni kambi ya Lissu kutaka waachiwe chama bila mchakato wa kidemokrasia kufuatwa.
Le.ma ni mtu wa maslahi binafsi daima sio mtu wa kutetea wanyonge.
Kwa sasa CHADEMA ipo katika civil war ,, upande upi utashinda tusubiri tuine
Baada ya uchaguzi ni sahihi Mbowe kuwashughulikia wote waliomkashifu.
Siku hizi umekuwa Bure kabisaAliyekuwa mwenyekiti wa kanda ya kaskazini CHADEMA Godbless Lema amesema Uchaguzi wa kanda nyasa ulikuwa mbaya zaidi kuliko wa TAMISEMI kwani Peter Msigwa alionewa
View attachment 3201547
Kosa lipo hapo. Kushughulikiana. Na huo ndio ujambazi wenyewe. Unamshughulikiaje mtu kwa sababu tu kasema. Mkanyr au mahitaji.Lema anachanga karata zake vibaya, anadhani Watanzania ni wajinga.
Mbowe akimaliza uchaguzi atawashughurikia wahuni wote.
Lema hagombei ubunge Arusha si kwamba hataki pale kuna Makonda na Mbowe anamsubili amfunze adabu.
Sasa karata ya Lema ni kaamuwa kujilipuwa kwa Lisu apate Uenyekiti ili yeye awe katibu mkuu.
Hii ni total fairule plan.
Takukuru ni hasara kwa Taifa. shithole countries!!!!!TAkukuru kazi yao nini
Kama ni pesa Magufuli alitaka kumnunua kwa mabilioni halafu angepewa cheo na hata ubunge na uwaziri lakini msigwa alikataa.
Why now?
Mbowe kaamua kuwasaliti Wananchi na kuwa Chawa wa watawala.kipindi cha JPM, CDM ilikuwa inaoperate kwenye mode nyingine, hiyo mode ilikuwa against JPM na Msigwa akaona labda hii ndio CDM yenyewe sasa baadala ya kuteleza kwa Lowassa na kwenda nje ya principles.
Kwa sasa Mbowe ndo muhuni kwenye ChamaHasira hasara, saa hizi angeungana na team yake ya Lisu kumpa nguvu.
Mbowe ana sababu za msingi kutowaachia chama wahuni na wasaliti kwa wakati huu.
Mbowe kaamua kuwasaliti Wananchi na kuwa Chawa wa watawala.
LISSU na HECHE wajumbe shikilieni napo hapo.
Hizi mentality ndio walizo nazo CCM kwamba wana sababu za msingi kuto waachia nchi “wahuni na wasaliti”Hasira hasara, saa hizi angeungana na team yake ya Lisu kumpa nguvu.
Mbowe ana sababu za msingi kutowaachia chama wahuni na wasaliti kwa wakati huu.
Hela ya mama dula imewakumba wengi sanaWe we ndio ubongo wa lema?
Tofauti ya Mbowe na Lipumba ni kuwa mmoja ni professor wa uchumi na mwingine ni DJPumba tupu, Mbowe huyu anatofauti gani na lipumba au cheyo?
Lema kaifafanua vizuri sana ile hoja "uropokaji" uropokaji sio kitu kibaya kama uropokaji huo ni ukweli na uwazi.Lema kwa kweli leo kamwaga mboga.
Atawashughulikia akiwa hana cheo?.Lema anachanga karata zake vibaya, anadhani Watanzania ni wajinga.
Mbowe akimaliza uchaguzi atawashughurikia wahuni wote.
Lema hagombei ubunge Arusha si kwamba hataki pale kuna Makonda na Mbowe anamsubili amfunze adabu.
Sasa karata ya Lema ni kaamuwa kujilipuwa kwa Lisu apate Uenyekiti ili yeye awe katibu mkuu.
Hii ni total fairule plan.