Pre GE2025 Lema: Uchaguzi wa Nyasa ulikuwa mbaya kuliko wa Tamisemi, Msigwa kaonewa

Pre GE2025 Lema: Uchaguzi wa Nyasa ulikuwa mbaya kuliko wa Tamisemi, Msigwa kaonewa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
..
Fwatilia trend yote ya wakimbizi walioko CDM utagundua kitu…. Lema inasemekana miongoni mwa masharti ya Assylum status yake na faida zinazoangukia kwayo ni kutokua katika active politics!!

Na huu uchaguzi wa CHADEMA ndo nimegundua hawa akina Lissu ni wahuni.
kusema kina lissu wahunj,wewe ni muhuni zaidi
 
Kwani Msigwa si alishaenda CCM kwanini aongezewe tena au huko CCM hana raha anataka huruma ya kurudi?
 
Kama ni pesa Magufuli alitaka kumnunua kwa mabilioni halafu angepewa cheo na hata ubunge na uwaziri lakini msigwa alikataa.

Why now?
Kabisa mkuu tunakumbuka kuwa pole pole hadi alienda kumtoa gerezani na bado aligoma.
Msigwa mpaka anahama chadema ukimsikiliza lema unagundua aliona hakuna tofauti ya ccm na chadema ya sasa ni bora aende ccm walau akale mema tu kuliko kupigania kitu ambacho hakipo.
 
Usiwaamini wanasiasa, siku zote wao wanaangalia maslahi ya matumbo yao ya kudumu.

Haya mnaosemaga wachaga hivi leo huyo hapo Lema anamsaliti mtu anayemuita kaka yake, Mchaga mwenzake tena ni mmachame mwenzake.

Hakuna kitu kama hiki usidanganywe, charity beggins at home.

Nyalandu aliondoka ccm kujiunga Chadema kwa ajili ya Lisu.
Lema kasimamia ukweli haja angalia ukabila.

Mbowe ni mhuni anaetumika na ccm yaama abdul
 
Upinzani una sarakasi nyingi sana, Utawala wa nchi hii mtausikia tu. Madafada.
 
Fwatilia trend yote ya wakimbizi walioko CDM utagundua kitu…. Lema inasemekana miongoni mwa masharti ya Assylum status yake na faida zinazoangukia kwayo ni kutokua katika active politics!!

Na huu uchaguzi wa CHADEMA ndo nimegundua hawa akina Lissu ni wahuni.
Leo Lisu na Lema wamekuwa wahuni?

Kweli machadema yamechanganyikiwa

Ndio maana ccm inawachezea tu kama midoli
 
Kuna ushirikiano unaoendelea kati ya Msigwa, Lissu, Lema na kambi yote ya Lissu.

Mimi ni mmoja wa wanaoamini katika siasa hakuna rafiki wala adui wa kudumu ila kuna maslahi ya kudumu.

Uchaguzi wa CHADEMA ni kuhusu maslahi ya kiuchmi kwa pande mbili japo sio vibaya ila kinachosikitisha ni kambi ya Lissu kutaka waachiwe chama bila mchakato wa kidemokrasia kufuatwa.

Le.ma ni mtu wa maslahi binafsi daima sio mtu wa kutetea wanyonge.

Kwa sasa CHADEMA ipo katika civil war ,, upande upi utashinda tusubiri tuine


Baada ya uchaguzi ni sahihi Mbowe kuwashughulikia wote waliomkashifu.
Mshagawa sana Rushwa hadi mnaamini Mbowe atashinda sio!?

Mbowe hata akishinda hawezi ipeleka CDM mbele tena watu waliomzunguka ni walamba viatu hawana ushawishi kwa wananchi hawawezi kukiuza chama tena.
 
Mshagawa sana Rushwa hadi mnaamini Mbowe atashinda sio!?

Mbowe hata akishinda hawezi ipeleka CDM mbele tena watu waliomzunguka ni walamba viatu hawana ushawishi kwa wananchi hawawezi kukiuza chama tena.
Chama sio lazima kiwe na wanachama mamilioni. Vyama vikubwa kama Conservative cha UK wanachama wake hawafiki hata milioni.

Kinachotakiwa wakati wa uchaguzi vyama vinauza sera na wananchi bila kujali vyama vyao wanachagua chama chenye sera nzuri.


Hakafu nchi hii watu hawana uwezo wa kudadavua mambo hata kura wengi hawapigi inawezekana hata wewe huu uchaguzi uliopita wa serikali za mitaa hukupiga kura.

CHADEMA itabakia kama ilivyokuwa kabla ya uchaguzi wakina Lema watafutika soon watamjoin Maria kwenye mitandao.
 
Usiwaamini wanasiasa, siku zote wao wanaangalia maslahi ya matumbo yao ya kudumu.

Haya mnaosemaga wachaga hivi leo huyo hapo Lema anamsaliti mtu anayemuita kaka yake, Mchaga mwenzake tena ni mmachame mwenzake.

Hakuna kitu kama hiki usidanganywe, charity beggins at home.

Nyalandu aliondoka ccm kujiunga Chadema kwa ajili ya Lisu.
Kumbe unajua
 
Watu ni wa ajabu sana, huyu Lema naye ni walewale tu..hivi hawa CHADEMA wameingiliwa na mapepo ama??Belzebuli yule wa kina biblia ndo kaingia..manake kila mtu analalamiki na mbaya zaidi hawasemibwanamlalamikia nani??Sasa mambo ya uchaguzi wa Nyasa na huu wapi ni wapi...haya malamlamiko lengo lake ni nini???
 
Aliyekuwa mwenyekiti wa kanda ya kaskazini CHADEMA Godbless Lema amesema Uchaguzi wa kanda Nyasa ulikuwa mbaya zaidi kuliko wa TAMISEMI kwani Peter Msigwa alionewa

View attachment 3201547
soma pia:
Msema ukweli namba 2 kaingia ulingoni. Kudos Mh Lema, hujawahi nyamazia ujinga ujinga. Mbowe alidanganywaje jamani? Ni lipi hilo lililonfanya akengeuke?? Struggle yote ile leo kakipeleka chama huku?!!
 
Ninafurahishwa sana na hii vita ya wenyewe kwa wenyewe ndani ya CHADEMA. Wapasuane tu.
 
Back
Top Bottom