Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzuri wa lema, heche, lissu ukweli kwanza, vingine vifuate...Aliyekuwa mwenyekiti wa kanda ya kaskazini CHADEMA Godbless Lema amesema Uchaguzi wa kanda Nyasa ulikuwa mbaya zaidi kuliko wa TAMISEMI kwani Peter Msigwa alionewa
View attachment 3201547
soma pia:
Wajenzi wameamua kigawana fito!Aliyekuwa mwenyekiti wa kanda ya kaskazini CHADEMA Godbless Lema amesema Uchaguzi wa kanda Nyasa ulikuwa mbaya zaidi kuliko wa TAMISEMI kwani Peter Msigwa alionewa
View attachment 3201547
soma pia:
Wajenzi wameamua kigawana fito!Aliyekuwa mwenyekiti wa kanda ya kaskazini CHADEMA Godbless Lema amesema Uchaguzi wa kanda Nyasa ulikuwa mbaya zaidi kuliko wa TAMISEMI kwani Peter Msigwa alionewa
View attachment 3201547
soma pia:
kusema kina lissu wahunj,wewe ni muhuni zaidiFwatilia trend yote ya wakimbizi walioko CDM utagundua kitu…. Lema inasemekana miongoni mwa masharti ya Assylum status yake na faida zinazoangukia kwayo ni kutokua katika active politics!!
Na huu uchaguzi wa CHADEMA ndo nimegundua hawa akina Lissu ni wahuni.
Kabisa mkuu tunakumbuka kuwa pole pole hadi alienda kumtoa gerezani na bado aligoma.Kama ni pesa Magufuli alitaka kumnunua kwa mabilioni halafu angepewa cheo na hata ubunge na uwaziri lakini msigwa alikataa.
Why now?
hivi ni kwamba ambacho hujaelewa ni nini Msigwa alifanyiwa uhuni mkubwa kwenye uchaguzi huuwa kanda juzi ndo akafikia maamuzi hayoKama ni pesa Magufuli alitaka kumnunua kwa mabilioni halafu angepewa cheo na hata ubunge na uwaziri lakini msigwa alikataa.
Why now?
Lema kasimamia ukweli haja angalia ukabila.Usiwaamini wanasiasa, siku zote wao wanaangalia maslahi ya matumbo yao ya kudumu.
Haya mnaosemaga wachaga hivi leo huyo hapo Lema anamsaliti mtu anayemuita kaka yake, Mchaga mwenzake tena ni mmachame mwenzake.
Hakuna kitu kama hiki usidanganywe, charity beggins at home.
Nyalandu aliondoka ccm kujiunga Chadema kwa ajili ya Lisu.
Leo Lisu na Lema wamekuwa wahuni?Fwatilia trend yote ya wakimbizi walioko CDM utagundua kitu…. Lema inasemekana miongoni mwa masharti ya Assylum status yake na faida zinazoangukia kwayo ni kutokua katika active politics!!
Na huu uchaguzi wa CHADEMA ndo nimegundua hawa akina Lissu ni wahuni.
Mshagawa sana Rushwa hadi mnaamini Mbowe atashinda sio!?Kuna ushirikiano unaoendelea kati ya Msigwa, Lissu, Lema na kambi yote ya Lissu.
Mimi ni mmoja wa wanaoamini katika siasa hakuna rafiki wala adui wa kudumu ila kuna maslahi ya kudumu.
Uchaguzi wa CHADEMA ni kuhusu maslahi ya kiuchmi kwa pande mbili japo sio vibaya ila kinachosikitisha ni kambi ya Lissu kutaka waachiwe chama bila mchakato wa kidemokrasia kufuatwa.
Le.ma ni mtu wa maslahi binafsi daima sio mtu wa kutetea wanyonge.
Kwa sasa CHADEMA ipo katika civil war ,, upande upi utashinda tusubiri tuine
Baada ya uchaguzi ni sahihi Mbowe kuwashughulikia wote waliomkashifu.
Ikituchezea wewe kinakuuma nini? Hata nyie Abduli anawachezea kama wanasesere.Leo Lisu na Lema wamekuwa wahuni?
Kweli machadema yamechanganyikiwa
Ndio maana ccm inawachezea tu kama midoli
Chama sio lazima kiwe na wanachama mamilioni. Vyama vikubwa kama Conservative cha UK wanachama wake hawafiki hata milioni.Mshagawa sana Rushwa hadi mnaamini Mbowe atashinda sio!?
Mbowe hata akishinda hawezi ipeleka CDM mbele tena watu waliomzunguka ni walamba viatu hawana ushawishi kwa wananchi hawawezi kukiuza chama tena.
Kumbe unajuaUsiwaamini wanasiasa, siku zote wao wanaangalia maslahi ya matumbo yao ya kudumu.
Haya mnaosemaga wachaga hivi leo huyo hapo Lema anamsaliti mtu anayemuita kaka yake, Mchaga mwenzake tena ni mmachame mwenzake.
Hakuna kitu kama hiki usidanganywe, charity beggins at home.
Nyalandu aliondoka ccm kujiunga Chadema kwa ajili ya Lisu.
Kimewakaa..😂😂😂Aliyekuwa mwenyekiti wa kanda ya kaskazini CHADEMA Godbless Lema amesema Uchaguzi wa kanda Nyasa ulikuwa mbaya zaidi kuliko wa TAMISEMI kwani Peter Msigwa alionewa
View attachment 3201547
soma pia:
Msema ukweli namba 2 kaingia ulingoni. Kudos Mh Lema, hujawahi nyamazia ujinga ujinga. Mbowe alidanganywaje jamani? Ni lipi hilo lililonfanya akengeuke?? Struggle yote ile leo kakipeleka chama huku?!!Aliyekuwa mwenyekiti wa kanda ya kaskazini CHADEMA Godbless Lema amesema Uchaguzi wa kanda Nyasa ulikuwa mbaya zaidi kuliko wa TAMISEMI kwani Peter Msigwa alionewa
View attachment 3201547
soma pia:
Tatizo hapo TAKUKURU wakiamua kufuatilia rushwa ktk uchaguzi huo wataambiwa wametumwa na CCM wanavuruga uchaguzi.TAkukuru kazi yao nini