Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Kwanini msimuachie chama kimfie nyie muanzishe chama kingine?Aking'ang'ania kinaenda kumfia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini msimuachie chama kimfie nyie muanzishe chama kingine?Aking'ang'ania kinaenda kumfia.
👏👏👏👏🙏🙏🙏Ninafurahishwa sana na hii vita ya wenyewe kwa wenyewe ndani ya CHADEMA. Wapasuane tu.
Lema is always transparentAliyekuwa mwenyekiti wa kanda ya kaskazini CHADEMA Godbless Lema amesema Uchaguzi wa kanda Nyasa ulikuwa mbaya zaidi kuliko wa TAMISEMI kwani Peter Msigwa alionewa
View attachment 3201547
soma pia:
Tangu lini ukweli umekuwa uhuni?Lema anachanga karata zake vibaya, anadhani Watanzania ni wajinga.
Mbowe akimaliza uchaguzi atawashughurikia wahuni wote.
Lema hagombei ubunge Arusha si kwamba hataki pale kuna Makonda na Mbowe anamsubili amfunze adabu.
Sasa karata ya Lema ni kaamuwa kujilipuwa kwa Lisu apate Uenyekiti ili yeye awe katibu mkuu.
Hii ni total fairule plan.
Ndiyo sababu ukamshauri kurudi CCM na kuanza kuvurumusha mitusi.Aliyekuwa mwenyekiti wa kanda ya kaskazini CHADEMA Godbless Lema amesema Uchaguzi wa kanda Nyasa ulikuwa mbaya zaidi kuliko wa TAMISEMI kwani Peter Msigwa alionewa
View attachment 3201547
soma pia:
Alitumia hasira sana kufanya maamuzi kwenye maisha fanya maamuzi ukiwa ume-relaxMsigwa alikosea sana kwenda CCM, unakimbiaje RUSHWA mtoni unaenda kwenye Bahari ya RUSHWA?!
Lakini ni bora kuliko kuwa kijani ndani ya nyekunduSasa karata ya Lema ni kaamuwa kujilipuwa kwa Lisu apate Uenyekiti ili yeye awe katibu mkuu.
Hii ni total fairule plan.
Mkuu chukua maua yako 💐💐💐💐Alitumia hasira sana kufanya maamuzi kwenye maisha fanya maamuzi ukiwa ume-relax
Kwahiyo akina Mtobi, boni, M³, yule mhehe Nyerere ndio watasimama kuuza sera za CHADEMA kwa wananchi?Chama sio lazima kiwe na wanachama mamilioni. Vyama vikubwa kama Conservative cha UK wanachama wake hawafiki hata milioni.
Kinachotakiwa wakati wa uchaguzi vyama vinauza sera na wananchi bila kujali vyama vyao wanachagua chama chenye sera nzuri.
Hakafu nchi hii watu hawana uwezo wa kudadavua mambo hata kura wengi hawapigi inawezekana hata wewe huu uchaguzi uliopita wa serikali za mitaa hukupiga kura.
CHADEMA itabakia kama ilivyokuwa kabla ya uchaguzi wakina Lema watafutika soon watamjoin Maria kwenye mitandao.
Hayuko ccm kwa kupenda. Msigwa ni kama Dr. Slaa. Mbowe akishindwa uchaguzi, Msigwa atatupa kadi ya ccm na atadai hana chama ila anakuwa chadema kimya kimyaSi kapata faida zaidi kenda ccm?
Mbowe ataipasua ChademaLema anachanga karata zake vibaya, anadhani Watanzania ni wajinga.
Mbowe akimaliza uchaguzi atawashughurikia wahuni wote.
Lema hagombei ubunge Arusha si kwamba hataki pale kuna Makonda na Mbowe anamsubili amfunze adabu.
Sasa karata ya Lema ni kaamuwa kujilipuwa kwa Lisu apate Uenyekiti ili yeye awe katibu mkuu.
Hii ni total fairule plan.
Kaondoka Lowassa,Dr Slaa,Dr Mashinji.....CDM ipo imara itakuwa Lema mwizi wa magari.Aking'ang'ania kinaenda kumfia.
Kaondoka Lowassa,Dr Slaa,Dr Mashinji.....CDM ipo imara itakuwa Lema mwizi wa magari.
Inashangaza sana. Hiyo ni kusanda. Ajabu hata rushwa za CCM anashindwa kuzikemeaMsigwa alikosea sana kwenda CCM, unakimbiaje RUSHWA mtoni unaenda kwenye Bahari ya RUSHWA?!
Alikuambia hivyo au ni utabiri wako au ni Ramli au Kuna watu alimwambia nao wakakuambia hivyo ?Lema anachanga karata zake vibaya, anadhani Watanzania ni wajinga.
Mbowe akimaliza uchaguzi atawashughurikia wahuni wote.
Lema hagombei ubunge Arusha si kwamba hataki pale kuna Makonda na Mbowe anamsubili amfunze adabu.
Sasa karata ya Lema ni kaamuwa kujilipuwa kwa Lisu apate Uenyekiti ili yeye awe katibu mkuu.
Hii ni total fairule plan.
Hiyo inaitwa liwalo na liwe..Msigwa alikosea sana kwenda CCM, unakimbiaje RUSHWA mtoni unaenda kwenye Bahari ya RUSHWA?!
Mimi siyo mpiga kura, ila naona waziAlikuambia hivyo au ni utabiri wako au ni Ramli au Kuna watu alimwambia nao wakakuambia hivyo ?