Lema, upo Canada unaomba michango Tanzania

Hahaha [emoji1787][emoji23] waziri wa fedha ni Lema? Lema huyu huyu ambaye hata kuandika vizuri hawezi. Sasa wapo ulaya kwa wakubwa na wenye pesa, lakini bado wanaomba 'mbavu za mbwa' huku Tanzania michango. Anyway makamanda tuchangeni basi.
 
Hahaha [emoji1787][emoji23] waziri wa fedha ni Lema? Lema huyu huyu ambaye hata kuandika vizuri hawezi. Sasa wapo ulaya kwa wakubwa na wenye pesa, lakini bado wanaomba 'mbavu za mbwa' huku Tanzania michango. Anyway makamanda tuchangeni basi.
Ha ha ha 🤣🤣

Ulaghai mtupu....
 
I feel foe my brother lema

from a hero to a fugitive

not easy
 

Naunga mkono ishu ya katiba, na Mungu ajaarie mambo yaende sawia katiba mpya ipite. Lakini swala la Hella hapana kwakweli,, ngumu mno kuwaamini.
 
Hehe alifakiri Ulaya/Marekani mkyeso, huko hakuna bia za bure ,sijui atumuibia nani gari halafu aliuze na sijui nani atamuuzia kwa maana hakuna mwenye shida ya magari.
 
Wasivyo na akili. Hao viongozi. Yaani wanataka hela ili nnchi iwekewe vikwazo.
Kwa hiyo na wanachadema watapelekwa huko ughaibuni wale watakaochangia. Au dawa itawaingia na wanachama wao.?
Sasa tukiwekewa vikwazo tutapata wapi hela ya kuwachangia hawa wakimbizi hewa, endeleeni tu kupigwa baridi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…