johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mbunge wa Arusha mjini mh Lema amesema wabunge wa CCM wanajisahau sana lakini mambo yakiharibika ni kama " mafuriko" yatawazoa wote bila kujali itikadi.
Lema amesema atagombea ubunge mwezi octoba ili kuacha alama kwamba katika mminyo wa demokrasia kuna " wanaume" wachache walisimama hadi mwisho kama Daniel na wenzake.
Lema alikuwa akichangia ripoti ya kamati kuhusu Utawala bora.
My take; Ni mambo gani hayo yatakayovurugika?
Maendeleo hayana vyama!
Lema amesema atagombea ubunge mwezi octoba ili kuacha alama kwamba katika mminyo wa demokrasia kuna " wanaume" wachache walisimama hadi mwisho kama Daniel na wenzake.
Lema alikuwa akichangia ripoti ya kamati kuhusu Utawala bora.
My take; Ni mambo gani hayo yatakayovurugika?
Maendeleo hayana vyama!