ngalakeri
JF-Expert Member
- Jul 17, 2014
- 1,673
- 1,401
Yesu na mtume Muhamad hawapo duniani miaka nenda rudi bado wanaongelewa. Legacy.Ndugu Jpm hayupo duniani kwanini bado mnamuongea sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yesu na mtume Muhamad hawapo duniani miaka nenda rudi bado wanaongelewa. Legacy.Ndugu Jpm hayupo duniani kwanini bado mnamuongea sana.
LEMA NAYE NI MPUUZI TU YEYE ALIWASILIANAJE NA MKE WA KALEMANI AKAMWAMBIA HAYO? AJE ALIPE MADENI YAKE HUKU ASIFIKIRI KUYAKIMBIA NDIYO UJANJA MWIZI TU HUYOLema kupitia space anasema
"Waziri Kalemani, alimpigia mke wake simu kwamba polisi wanakuja hapo kuondoa kamera wape ushirikiano, hii ni baada ya Tundu Lissu kupigwa risasi.." —; Godbless Lema
Natamani kusikia hii Taarifa siyo kweli, natamani kusikia kutoka kwa Mhe. Kalemani. Kama mke aliambiwa atoe ushirikiano means waliomba ushirikiano kwa Kalemani wanafahamika na yeye anawafahamu.
Tunafanya haya kwa sababu yakutafuta Nini hapa Duniani? Vyeo tu au Kuna mengine. Inaumiza Sana pale mapadre, maaskofu na wachungaji wanapojua kwamba waumini wetu wanatembea na dhambi vifuani mwao. Pls natamani niskie full story ya huu ushahidi wa Lema.
Angemwita Tundu Lissu amwombe msamahaMagufuli alipata nafasi ya kufanya toba?
Magu atachomwa moto mkali sanaAngemwita Tundu Lissu amwombe msamaha
Kama unaushidi mpelekee Sirro amuunganishe.Lema ni muhuni na Propagandist aliebobea. Ni miongoni mwa Magaidi. Alifaaa kujumlishwa na Mboe.
Axis of Evil..... Awamu ya tano huko mbeleni inaweza kutolewa kwenye historia ya nchi kama walivyofanya Italy kumtoa Mussolini kwenye cariculum ya history ngazi zote za elimu.Lema kupitia space anasema
"Waziri Kalemani, alimpigia mke wake simu kwamba polisi wanakuja hapo kuondoa kamera wape ushirikiano, hii ni baada ya Tundu Lissu kupigwa risasi.." —; Godbless Lema
Natamani kusikia hii Taarifa siyo kweli, natamani kusikia kutoka kwa Mhe. Kalemani. Kama mke aliambiwa atoe ushirikiano means waliomba ushirikiano kwa Kalemani wanafahamika na yeye anawafahamu.
Tunafanya haya kwa sababu yakutafuta Nini hapa Duniani? Vyeo tu au Kuna mengine. Inaumiza Sana pale mapadre, maaskofu na wachungaji wanapojua kwamba waumini wetu wanatembea na dhambi vifuani mwao. Pls natamani niskie full story ya huu ushahidi wa Lema.
Nani amesema kifo cha mwendazake ndio kifo cha kila mtu?
kuporwa miaka yake iliosalia kutawala na Mwenyezi Mungu sio Adhabu tuu ni Adhabu kubwa sana kuliko hata alivyostahili.
Kama nachekesha we cheka alafu potezea, u know ongeza siku za kuishi.Ahhhhh. Mungu amekuwa wewe. Unachekeshs sana. Watu kama wewe Ni waovu sana. Mbona Mungu anakuangali tu. .