Lema: Waziri Kalemani alimpigia simu mkewe akimtaka kuwapa Polisi ushirikiano wa kuondoa kamera

LEMA NAYE NI MPUUZI TU YEYE ALIWASILIANAJE NA MKE WA KALEMANI AKAMWAMBIA HAYO? AJE ALIPE MADENI YAKE HUKU ASIFIKIRI KUYAKIMBIA NDIYO UJANJA MWIZI TU HUYO
 
Axis of Evil..... Awamu ya tano huko mbeleni inaweza kutolewa kwenye historia ya nchi kama walivyofanya Italy kumtoa Mussolini kwenye cariculum ya history ngazi zote za elimu.
 
Nani amesema kifo cha mwendazake ndio kifo cha kila mtu?

kuporwa miaka yake iliosalia kutawala na Mwenyezi Mungu sio Adhabu tuu ni Adhabu kubwa sana kuliko hata alivyostahili.

Ahhhhh. Mungu amekuwa wewe. Unachekeshs sana. Watu kama wewe Ni waovu sana. Mbona Mungu anakuangali tu. .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…