Lemma anajua uchaguzi unafanyika leo Arusha, na anatakiwa akabidhi ofisi, kwa nini amekimbilia Canada bila kukabidhi ofisi? Ana chuki na aliyeshinda?

Lemma anajua uchaguzi unafanyika leo Arusha, na anatakiwa akabidhi ofisi, kwa nini amekimbilia Canada bila kukabidhi ofisi? Ana chuki na aliyeshinda?

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Ilitarajiwa Lemma akabidhi ofisi ndio aondoke kwenda Canada kwenye ukimbizi wake. Haijulikani atakaa huko kwa miaka mingapi.

Lakini hajakabidhi ofisi kwa Mwenyekiti mpya wa Kanda ya Kaskazini. Kaondoka na fedha kiasi gani za Kanda hiyo? au kaondoka na nyaraka kiasi gani za fedha na mambo mengine, ikiwamo siri za chama pamoja na nyaraka za viwanja na nyumba?

Je hii sio chuki kubwa kwa uongozi mpya? Halafu anajifanya mtu wa kumjua Mungu sana!
 
Utapeli tu. Ni huyu Lema na wenzake waliilazimisha CHADEMA kuingia kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa, ila ilipofika siku ya kupiga kura akazira, akadai hata hangaika kwenye vituo, CCM ifanye inavyotaka..
 
Fedha zipi?
Hizo za hardship allowance kwani zilifika kwenye kanda?
 
Tangia lini ccm ikawa na upendo na viongozi (watu) wa chadema? Mkiwa mnatoa hizo taarifa zilizojaa fitina kwenye vyama vya upinzani muwe mnaweka na source..
 
Ilitarajiwa Lemma akabidhi ofisi ndio aondoke kwenda Canada kwenye ukimbizi wake. Haijulikani atakaa huko kwa miaka mingapi.

Lakini hajakabidhi ofisi kqa Mwenyekiti mpya wa Kanda ya Kaskazini. Kaondola na fedha kissing gani za Kanda hiyo? au kaondoka na nyaraka kiasi gani za fedha na mambo mengine, ikiwamo siri za chama?

Je hii sio chuki kubwa kwa uongozi mpya? Half anajifanya mtu wa kumjua Mungu sana!
Kwani katoa tangazo la kutorudi?

Yeye ni binadamu kama binadamu wengine hivyo anaweza kuwa na dharula kama binadamu wengine. Kama kuna wizi atawajibika tu
 
Mbona mapya mengi yanaibuka kwani hakuna pa kuyasemea haya mpaka huku. Maana tunawapa faida upande wapili tunajiweka uchi sana. Mara hili mara lile mnazidi kutuchanganya. Inamaana ndani ya chama kunamajizi mnayajuwa halafu mnayakumbatia. Kunashida kubwa. Wenzetu wanawatumbuwa hawa sisi tunapiga kelele tu mpaka lini.
 
Kwani katoa tangazo la kutorudi?

Yeye ni binadamu kama binadamu wengine hivyo anaweza kuwa na dharula kama binadamu wengine. Kama kuna wizi atawajibika tu
Hana dharura
 
Tangia lini ccm ikawa na upendo na viongozi (watu) wa chadema? Mkiwa mnatoa hizo taarifa zilizojaa fitina kwenye vyama vya upinzani muwe mnaweka na source..
Mimi Chadema
 
Utapeli tu. Ni huyu Lema na wenzake waliilazimisha CHADEMA kuingia kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa, ila ilipofika siku ya kupiga kura akazira, akadai hata hangaika kwenye vituo, CCM ifanye inavyotaka..
Wakati mwingine sema huko Chadema hakuna mwenye akili.
 
Ilitarajiwa Lemma akabidhi ofisi ndio aondoke kwenda Canada kwenye ukimbizi wake. Haijulikani atakaa huko kwa miaka mingapi.

Lakini hajakabidhi ofisi kwa Mwenyekiti mpya wa Kanda ya Kaskazini. Kaondoka na fedha kiasi gani za Kanda hiyo? au kaondoka na nyaraka kiasi gani za fedha na mambo mengine, ikiwamo siri za chama pamoja na nyaraka za viwanja na nyumba?

Je hii sio chuki kubwa kwa uongozi mpya? Halafu anajifanya mtu wa kumjua Mungu sana!
aliewahi kua mnyang'anyi wa malori ana shida sana aise 🐒
 
Wenye Ile clip ya Lema akielezea alivyoambiwa na Mkwere arudi nyumbani baada ya mwendazake Kuga aniwekee hapa
 
Mbona mapya mengi yanaibuka kwani hakuna pa kuyasemea haya mpaka huku. Maana tunawapa faida upande wapili tunajiweka uchi sana. Mara hili mara lile mnazidi kutuchanganya. Inamaana ndani ya chama kunamajizi mnayajuwa halafu mnayakumbatia. Kunashida kubwa. Wenzetu wanawatumbuwa hawa sisi tunapiga kelele tu mpaka lini.
Kwani alipopitq airport alihudumiwa na wana nyumbu c tumemuona sote lengo akabidhi ofisi mwana kondoo aliepotea hahaaa anarudisha taarifa kwa bwana zake
 
Mbona mapya mengi yanaibuka kwani hakuna pa kuyasemea haya mpaka huku. Maana tunawapa faida upande wapili tunajiweka uchi sana. Mara hili mara lile mnazidi kutuchanganya. Inamaana ndani ya chama kunamajizi mnayajuwa halafu mnayakumbatia. Kunashida kubwa. Wenzetu wanawatumbuwa hawa sisi tunapiga kelele tu mpaka lini.
Hili ni bata la ccm, wewe utakuwa ni mgeni humu
 
Ilitarajiwa Lemma akabidhi ofisi ndio aondoke kwenda Canada kwenye ukimbizi wake. Haijulikani atakaa huko kwa miaka mingapi.

Lakini hajakabidhi ofisi kwa Mwenyekiti mpya wa Kanda ya Kaskazini. Kaondoka na fedha kiasi gani za Kanda hiyo? au kaondoka na nyaraka kiasi gani za fedha na mambo mengine, ikiwamo siri za chama pamoja na nyaraka za viwanja na nyumba?

Je hii sio chuki kubwa kwa uongozi mpya? Halafu anajifanya mtu wa kumjua Mungu sana!
Kuna kukabidhiana online
 
Ilitarajiwa Lemma akabidhi ofisi ndio aondoke kwenda Canada kwenye ukimbizi wake. Haijulikani atakaa huko kwa miaka mingapi.

Lakini hajakabidhi ofisi kwa Mwenyekiti mpya wa Kanda ya Kaskazini. Kaondoka na fedha kiasi gani za Kanda hiyo? au kaondoka na nyaraka kiasi gani za fedha na mambo mengine, ikiwamo siri za chama pamoja na nyaraka za viwanja na nyumba?

Je hii sio chuki kubwa kwa uongozi mpya? Halafu anajifanya mtu wa kumjua Mungu sana!
Lema yupo 🍁 huku chama kikijiandaa na uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu. Dah tunapigwa walahi
 
Back
Top Bottom