Lemutuz aombwa kuwa makini na Hamisa Mobetto.

Lemutuz aombwa kuwa makini na Hamisa Mobetto.

Status
Not open for further replies.
Nimesoma comments zote za Willium nikagundua jamaa anashida kichwan yaan kuna fuse zimekatika kwa ndonga yake
 
Mashabiki wa Lemutuz wamemtaka gwiji hilo la mitandao ya kijamii kuwa makini na mrembo Hamisa Mobeto hasa kutokana na tabia yake ya mrembo huyo kutegeshea mimba kwa watu wenye ukwasi kama Lemutuz,huku wakitegemea kupata Rav4 na milioni 5 ya matumizi.
Mashabiki kadhaa walimwambia Lemutuz kuwa makini na Hamisa hasa ikizingatiwa wawili hao kuwa pamoja baada ya Lemutuz kumwagwa na mrembo Nasra International huku Hamisa akimwaga Diamond.
images
images
Ukwasi??
Le mutuz??
Umebugi aisee
 
- hahahahahahaha kwanza sijaaachana na Baby wangu Nasra, na pili hizo picha ni za miaka 3 iliyopita sijaonana na Hamisa toka Mwaka jana mara ya mwisho tulikutana Fish Market kabla hata hajawa mjamizto, sijamuona tena so guys mpuuzieni huyu jamaa na huu udaku!

le Mutuz
mzee hukui??
 
- hahahahahahaha kwanza sijaaachana na Baby wangu Nasra, na pili hizo picha ni za miaka 3 iliyopita sijaonana na Hamisa toka Mwaka jana mara ya mwisho tulikutana Fish Market kabla hata hajawa mjamizto, sijamuona tena so guys mpuuzieni huyu jamaa na huu udaku!

le Mutuz
Le mbebezzsuperbrand
 
Sasa le mutuz mwenyewe kashajiibia kila alichokuwa nacho ndo mnamuona hapo kkoo badala ya NYC USA.
Mobetto ataambulia lift tu kwenye Noah na kupigwa madenda na kiboko sikia tu mtandaoni
 
- Kwenye haya matusi unakosea sana maana sasa unamkumbusha Mange aliyofanyiwa marehemu Baba yake, imagine wewe mtu akukumbushe mabaya aliyofanyiwa baba yako ambaye ni marehemu?

le Mutuz
Dah so sad ilikuaje hii jebu nambie mkuu
 
- Sawa ila ninasema cha msingi ni kulekezea hayo matusi kwa muhusika yaani Mange ambaye baba yake marehemu ndiye aliyefanyiwa na mashahidi wapo, au nakosea?

le Mutuz
mkuu mbona mange na wewe picha haziend mda wote kinanuka nini hasa sababu kwa nini msikae mkaongea yakaisha nini sababu
 
Utoto na wivu. Kutembelea Noah ndo Mtu ashindwe kumnunulia Mtu hata Porsche. Inategemea na Interests wewe na mimi hatuwezi kuzungumzia uwezo Wa mtu ambaye sie Sisi. So zip up. Afu na mtoa mada kumwagwa Au kumwaga we utajuaje. Ushoga ndo mana haushi. Kuingilia vitu tu havikuhusu mtaoelewa
Sasa ww ata akikupa utafanya nini au ndio uziburiwe [emoji90] [emoji90]

LE SUPER VIDOLEZ[emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Hivi LeMutuzi bado yuko hai..ila kwenye watu waliojaa ujinga wa kuzaliwa nazani hili dubwasha linaongoza..mwili mkibwa akili kijiko..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom