Kishitokishito
Member
- Sep 16, 2017
- 65
- 27
Usimlaumu jamaa kalaaniwa since 1972Umri wake na mambo anayoyafanya haviendani unasikitisha sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usimlaumu jamaa kalaaniwa since 1972Umri wake na mambo anayoyafanya haviendani unasikitisha sana
WEWE KUBWA JINGA UWE NA ADABU KAMA MTOA POST ALIVYOKUSHAURIUncle naona kama haupo fair vile why watu wakikutukana we unang'ang'ana na baba ake Mange tu? Kwamba tuseme umeshindwa matusi ya kumtukana Mange mwenyewe ? Mbona hakutukanii baba ako au mama ? Sina undugu nae ila huwa najisikia vibaya tu marehemu kutukanwa .
Am sorry kama nimekuuzi
- hahahahahahaha kwanza sijaaachana na Baby wangu Nasra, na pili hizo picha ni za miaka 3 iliyopita sijaonana na Hamisa toka Mwaka jana mara ya mwisho tulikutana Fish Market kabla hata hajawa mjamizto, sijamuona tena so guys mpuuzieni huyu jamaa na huu udaku!
le Mutuz
we jamaa umeshinda Tabia in my girl friend voiceIvi unazani MSAGA SUMU yupo siriazi kama unavyofikiria... Na wala Akuna atakaechukulia ihii taarifa kwa umakini. Hivi na WW unaamini unaweza kummiliki hamisa wakati nasra asiejulikana hata na mjumbe wa nyumba kumi umemshidwa
Dahhh! Hivi huyu mzee ndiye yupo anachekacheka ovyo humu kwenye huu uzi!??View attachment 607034
Hii ndio kazi unayoweza hahahahahahah kweli wewe ni le mup........zzzz kupiga picha kwenye gari za wanaume
wenzako hahahahaha
Pitty
Uje na Kinoah chako upite Hapa Bamaga Nikupatie hata lita 5 za mafuta hahahahahahahahaha
forum kubwa hivi king of social media atakosekanaje!!!?No
Kumbe mkuu upo jf