Lemutuz Mobimba ni Mgonjwa tumuombee!

Lemutuz Mobimba ni Mgonjwa tumuombee!

Status
Not open for further replies.
Pole mkuu uwe unapumzika.. Usifanye kazi ukapitiliza
 
Yaani ulishasahau kazi nilokutuma?

Nilikutuma jumba tukufu, kwa malikia lizzy! Mbona unakuwa mzembe hivi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sijui nimtume lemutuz[emoji23] [emoji23]
Ooh dear oh dear
[emoji3][emoji3][emoji23][emoji23]
Usimtume huyo anakazi nyingi mpaka zimemzidi
Tutabalishe ile Motto ya hapa kazi tu itakuwa KAZI NA DRIP na A/C
Sasa naandika kwenye kitabu changu mambo ya kufanya yaani naona aibu kusema nilikuwa na kazi sana usije ukasema namuiga le-muuuu you know
 
Wapenda sifa banaa eti nmetoka five star hotel mamayo utakufa
 
Ila mzee baba huyo kiukweli anapenda sana AC..kuna siku nilibahatika kufika ofisini kwake ..jamaa kafungua AC utadhani huko nnje miale ya jua imulika moja kwa moja toka juu..yani kaifungua baridi sijui la wapi huko linanafuu
 
Nadhani Kitu cha Msingi alichotakiwa kutuambia ni kuwa anaumwa tu na kwamba anatuomba tumuombee lakini hizo sijui AC mara Five Star Hotel na Hospitali aliyopo ni Siri nadhani Kwangu Mimi hapo amezidi kutuonyesha ' Udhaifu ' wake mkubwa wa Akili / Upeo.

Sasa unapoficha hadi Hospitali wakati kuna Watu kama akina GENTAMYCINE wana ' Upako ' wa moja kwa moja kwa Kumshika au Kumgusa Mtu ' directly ' na anapona kweli kwa hapa Msaada wangu Kwake nitautoaje kama hata Hospitali tu aliyopo sasa ni Siri?

Natamani sana Siku nipate wasaa ' Maalum ' tu niweze kufanya ' Exclusive Interview ' na Waziri Mkuu Mstaafu Mzee John Malecela niweze Kumuuliza Swali langu ambalo linanitatiza Siku nyingi kwamba huyu kweli ni Mwanae ' Biologically ' au labda amesingiziwa au ni Mtoto wa Kaka yake kwani sioni Uhusiano wa Busara na Uwezo mkubwa wa Hekima wa Mzee Malecela na Yeye ( huyu Mgonjwa wa AC )

Mtoto wa Kiume AC tu inakusumbua si hatari sana hapa na tayari umeshatuonyesha jinsi ulivyo ' Nyoro Nyoro / Legevu Legevu ' kabisa. Halafu kwa Mtoto wa Kiume ambaye kila Asubuhi Mnara wako wa Babeli unasimama kuja Mitandaoni na ' Kudekadeka ' kuwa unaumwa Ugonjwa wa ' AC ' ni ishara tosha ya ' Uvimelea ' vya Ukike Kike.

Mtoto wa Kiume unatakiwa Kuugua Magonjwa kama ya Kuvimba Pumbu / Kende, Mboo kuzidi Urefu, Gono, Kaswende, Kutiririka kwa Kasi kwa Shahawa nyingi Mbooni / Uumeni / Mkuyengeni na Tezi Dume ila siyo Kuugua Ugonjwa wa Kike Kike wa ' AC '. Siku zingine acheni ' Kutudhalilisha ' Wanaume wenzenu humu Mitandaoni.
Duh
 
Ooh dear oh dear
[emoji3][emoji3][emoji23][emoji23]
Usimtume huyo anakazi nyingi mpaka zimemzidi
Tutabalishe ile Motto ya hapa kazi tu itakuwa KAZI NA DRIP na A/C
Sasa naandika kwenye kitabu changu mambo ya kufanya yaani naona aibu kusema nilikuwa na kazi sana usije ukasema namuiga le-muuuu you know
Good!! Fanya kazi kama nilivyokutuma.

You will be paid handsomely😂😂😂
 
Watu Wa mitandaoni mnawezana wenyewe aisee. Huyu baba si ana watoto huyu? I can't imagine how they feel anavyofanyiwa japo kayataka mwenyewe... It's funny but not funny... Kumbe kibamia chake Ni hazina ya taifa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Screenshot_2019-04-28-19-43-34-1.jpg
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom