Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooh dear oh dearYaani ulishasahau kazi nilokutuma?
Nilikutuma jumba tukufu, kwa malikia lizzy! Mbona unakuwa mzembe hivi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijui nimtume lemutuz[emoji23] [emoji23]
Ha ha ha kwa kweli.ha ha ha ha ha ha ha alikua homeless kule alikua anaendesha gari la takataka akawa analala humo humo
Mbona hafananii, kama vile toto la Inspector Haroun.Mtoto wa nje wa mzee malechela
😂😂😂aiseeMbona hafananii, kama vile toto la Inspector Haroun.
Eti kufanya kazi sana teh teh,ukuwadi na kujipendekeza kwa wenye nazo ndiyo kazi?Hili jamaa ni hasara sana
W. J. Malecela
DuhNadhani Kitu cha Msingi alichotakiwa kutuambia ni kuwa anaumwa tu na kwamba anatuomba tumuombee lakini hizo sijui AC mara Five Star Hotel na Hospitali aliyopo ni Siri nadhani Kwangu Mimi hapo amezidi kutuonyesha ' Udhaifu ' wake mkubwa wa Akili / Upeo.
Sasa unapoficha hadi Hospitali wakati kuna Watu kama akina GENTAMYCINE wana ' Upako ' wa moja kwa moja kwa Kumshika au Kumgusa Mtu ' directly ' na anapona kweli kwa hapa Msaada wangu Kwake nitautoaje kama hata Hospitali tu aliyopo sasa ni Siri?
Natamani sana Siku nipate wasaa ' Maalum ' tu niweze kufanya ' Exclusive Interview ' na Waziri Mkuu Mstaafu Mzee John Malecela niweze Kumuuliza Swali langu ambalo linanitatiza Siku nyingi kwamba huyu kweli ni Mwanae ' Biologically ' au labda amesingiziwa au ni Mtoto wa Kaka yake kwani sioni Uhusiano wa Busara na Uwezo mkubwa wa Hekima wa Mzee Malecela na Yeye ( huyu Mgonjwa wa AC )
Mtoto wa Kiume AC tu inakusumbua si hatari sana hapa na tayari umeshatuonyesha jinsi ulivyo ' Nyoro Nyoro / Legevu Legevu ' kabisa. Halafu kwa Mtoto wa Kiume ambaye kila Asubuhi Mnara wako wa Babeli unasimama kuja Mitandaoni na ' Kudekadeka ' kuwa unaumwa Ugonjwa wa ' AC ' ni ishara tosha ya ' Uvimelea ' vya Ukike Kike.
Mtoto wa Kiume unatakiwa Kuugua Magonjwa kama ya Kuvimba Pumbu / Kende, Mboo kuzidi Urefu, Gono, Kaswende, Kutiririka kwa Kasi kwa Shahawa nyingi Mbooni / Uumeni / Mkuyengeni na Tezi Dume ila siyo Kuugua Ugonjwa wa Kike Kike wa ' AC '. Siku zingine acheni ' Kutudhalilisha ' Wanaume wenzenu humu Mitandaoni.
Good!! Fanya kazi kama nilivyokutuma.Ooh dear oh dear
[emoji3][emoji3][emoji23][emoji23]
Usimtume huyo anakazi nyingi mpaka zimemzidi
Tutabalishe ile Motto ya hapa kazi tu itakuwa KAZI NA DRIP na A/C
Sasa naandika kwenye kitabu changu mambo ya kufanya yaani naona aibu kusema nilikuwa na kazi sana usije ukasema namuiga le-muuuu you know
Mtu kapiga muhogo na mende hadi kuzima ahahahahKaka mkubwa connection ya ugonjwa na dinner ya five star hotel ni nini?
Kwani hajaku unblock??? Maana nimeanza kuona posts zAke tena...
Na sikuangushi hata kama ni kuparamia ukuta wao [emoji3254]Good!! Fanya kazi kama nilivyokutuma.
You will be paid handsomely[emoji23][emoji23][emoji23]
Kuwa mshamba hakujalishi umezaliwa na kukulia wapi kuna watu wamezaliwa na kukulia town lakini ni washamba mpaka nomaKatika account yake ya instagram amethibitisha kuwa ni mgonjwa kutokana na matumizi makali ya AC na kufanya kazi bila kupumzika you know
View attachment 1083250
Anamiliki le super studio ya kurusha matangazo pia anasema ni le super king of all social mediaSEMENI BASI ANA KAZI GANI JAMANI KUPOOONDA TUUUUUU