Machame Juu
JF-Expert Member
- Jul 25, 2013
- 1,514
- 3,363
cyo najigamba bro. Ujaipata concept yangu. Huyu jamaa humu jamvin anatuzarau sana wanadiaspora eti tumechoka mbaya sana bora turud homu. Ni hasira tu mwanajamv mwenzangu.Sasa sisi wewe kuwepo Denmark sisi inatuhusu nini? Ushamba wa kizamani sana huu.
Lemutuz ana miaka.mingapi tafadhali. Kuna kipindi alikuwa 52.
Nimecheka sana aisee
yes she!! Unafkir nmekosea. SHE IS STUPID... It is she
piga nae hata picha basi
huyu jamaa ananiuz sana. Lipo Lipo Tu. Mimi nameki hela kichiz hapa Copenhagen kwakuosha vyombo na kufagia tu hata kuliko mishahara ya mameneja mafisad bongo. 170 krone per hour bliv me not. 47,000 madaf iyo ma'am make!! Nakwacku nakupigia masaa 14 ma'am mae! Hili KJ nalichukia. Namlia tu taiming. Nxt summer nikitinga homu ntamfuata ofisin kwake. Kila kofi laki nampa ma'am make! ! Cheseya Denmark weyee
Hizo party mi zishanipitaa nipo nalea mume!
Hehee watu kwa kujigamba ni hatari.
cyo najigamba bro. Ujaipata concept yangu. Huyu jamaa humu jamvin anatuzarau sana wanadiaspora eti tumechoka mbaya sana bora turud homu. Ni hasira tu mwanajamv mwenzangu.
nimekwambia piga nae picha tu kwani mume umeanza kulea wewe ?
Hivi huwezi kuchangia bila kusema uko denmark?acha uboya wewe!
una maumiv makal Sn. Jikaze 2. Bado kijana mdogo @25 tu nakamata hela kichiz ma'am maee. Mimi ni mtu kati ya watu anayeishi na watu na aliyeona watu. This my last post in JF as Mufti lion.huyo ndo kawaida yake,ni limbukeni hakuna maelezo hakuna mchango atakaotoa bila kujishebedua humu.
she is very stupid
una maumiv makal Sn. Jikaze 2. Bado kijana mdogo @25 tu nakamata hela kichiz ma'am maee. Mimi ni mtu kati ya watu anayeishi na watu na aliyeona watu. This my last post in JF as Mufti lion.
Mi nipo nchi za nje Kenya teh teh
Hivi huwezi kuchangia bila kusema uko denmark?acha uboya wewe!
Polen Sn wanajamvi wenzangu wote cc ni ndugu. Cjigamb wala kujishebedua. Cta2mia Tena mufti lion. Ila lemutuz acha zarau kwa wanadiaspora.