Lemutuz na instagram

Status
Not open for further replies.
Huu ndo upuuzi ambao sipendi kuusikia KAMWE Kwa wasomi wenzangu wa JF
It's embarrassing kuweka such comment,ni kukosa adabu na umakini
It really shows that your calibre is just too low

Hahahaha wasomi wenzako? Hahaha nani alikwambia kuna wasomi wenzako humu JF? Nini kilikufanya ufikirie una wasomi WENZAKO humu? Kwani siku hizi uki apply membership JF unatuma CV? Naomba nijulishwe maana mimi wa zamani kidogo.

Halaf kwani msomi wewe umesoma mpaka la ngapi mwenzetu?
 

Nini maana ya great thinkers?ukifanikiwa kujibu hili then swali Lako hapo juu litakuwa valid otherwise
#iamout
 
Ndo tatizo la vijana waliolelewa na mama wa kambo km le mutuz
 

Mapambano dhidi ya uongozi,sikazi ndogo ila bidii
 
Katika thread zote kwa mwaka huu hii kwangu ni kiboko, nimecheka sana hadi najishangaa.
 

Eneo lake ni mashati kumi ya Le Mutuz
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…