Gazeti la Raia Mwema la Jumamosi, 15 May 2021 limeripoti kuwa DC aliyefurushwa huko Hai, Lengai Ole Sabaya (34) amepekuliwa na vyombo vya ulinzi na usalama na kukutwa na ukwasi wa zaidi ya TZS 3 Bilioni.
Kwa mujibu wa gazeti hilo baadhi ya fedha zimekutwa nyumbani kwake na nyingine kwenye taasisi mbalimbali za fedha.
Mzee wa vijisent alipobainika kuwa na fedha nje ya nchi, alisema fedha zile(sikumbuki kiasi) zilkuwa ni vijsenti tu bila shaka akimanisha kuna wenzake ( probably mabosi wake) walikuwa na ukwasi mkubwa zaidi.
Sasa kwa concept hiyo hiyo, Kama Sabaya kakutwa na bilioni 3, je waliokuwa wanakingia kifua( pengine ndio walikuwa wakimtuma) watakuwa na fedha kiasi gani?
Bado kuna yule anaesuburi kuapishwa ambae nae anatuhumiwa kuchukua fedha za watu kinyume na utaratibu na kuziweka katika akaunti yake pale Benki Kubwa.
Hii nchi inachosha sana!
Hii itakuwa chai kama chai zingine!!?
alafu wazushi wanapenda kweli bilioni 3
Kakonko alizushiwa B3!!?
sema yenyewe waliweka kwenye Dola
Haya mambo yatawezekana tu siku upinzani ukikamata uongozi wa hii nchi na kamwe si vinginevyo.Viongozi na waliokuwa viongozi wengi wanatakiwa kupekuliwa
Kuanzia Sabaya,Makonda, Polepole bashiru Biswalo na Dotto James
Hata makamo wa rais anatakiwa kufanyiwa uchunguzi
Hata kapilimba aliyeenda Namibia kuna ufisadi wa kutisha hawa jamaa cycle yao imefanya.
Diwani chunguza hawa watu walikusanya pesa nyingi sana na Magufuli.
Maisha tu anayoishi yule aliyekuwa rc wa mkoa fulani!
CCM ni kama ukoo wa Panya Buku wanakula mpaka Jamvi la kulaliaOgopa sana mtu anayejifanya mzalendo
Anajifanya mkali anaongea sana mikwala
Mingi....huyo lazima atakuwa anapiga
Ova
Yani hawa vijana walikuwa wanamchezea kweli mwendazake,walikuwa wanajua kucheza na akili yakeLengai Ole Sabaya alikuwa anatembea na dola za marekani tu, msaidizi wake ndiye alikuwa anapewa jukumu la kwenda kuzibadilisha mitaani, hizo fedha alizitoa wapi? ni dili la dhahabu alilowapiga wafanyabiashara fulani huko Hai ambao mapande ya dhahabu hayo walikuwa wameyaficha kwenye kiti na kuchomelea kisawasawa, kupitia vijana wake, sabaya alilikamata gari hilo na kumwamuru OCD gari hiyo ifanye doria kwa siku hiyo pasipo Sabaya kumweleza uwazi OCD wafanyabiashara hao walitaka kumuhonga milioni 50 hadi 100 OCD na kijana wa Sabaya ambaye aliwekwa kwenye doria katika gari hilo kimkakati kwa ajili ya kumpa sabaya taarifa zote zitakazojiri kutoka kwa wafanyabiashara hao, DSO alipopenyezewa taarifa hizo alianza kufuatilia taarifa hizo na dhahabu hiyo, lakini Ole Sabaya aliamuru DSO huyo ashughulikiwe na vijana wake, na DSO alipigwa sana hadi akapelekwa kulazwa hospitali, Sabaya aliichukua ile dhahabu yote ikawa mali yake binafsi, DSO alipotoka hospitali aliandaa report yake akaituma hadi kumfikia Rais, Magufuli alimuita Sabaya ikulu akamhoji kuhusu tuhuma hizo, lakini Sabaya ili kumfurahisha Magufuli akamweleza kwamba ni fedha siyo dhahabu zilizokuwa zimepelekwa Hai na Mbowe ili achukue jimbo yeye akawa amezikamata.....mambo ni mengi sana....lakini naona faili lake lilisahulika mezani kwa Rais hadi Samia kulikuta.
Vile vile, jiulize ni kwa nini wilaya ya HAI ilikuwa ni ya 5 -6 katika kukusanya mapato ya serikali, ukishajua ndo uelewe umafia mwingine wa sabaya aliowafanyia wafanyabiashara ili kumfurahisha Magu
Maguf.uli alikuwa dikteta mwenye mori wa kumwaga blood,we babako amekupeleka pazuri kuendelea na umbea huu
Ogopa sana mtu anayejifanya mzalendo
Anajifanya mkali anaongea sana mikwala
Mingi....huyo lazima atakuwa anapiga
Ova
Serikali ya Wanyonge katika ubora wakeGazeti la Raia Mwema la Jumamosi, 15 May 2021 limeripoti kuwa DC aliyefurushwa huko Hai, Lengai Ole Sabaya (34) amepekuliwa na vyombo vya ulinzi na usalama na kukutwa na ukwasi wa zaidi ya TZS 3 Bilioni.
Kwa mujibu wa gazeti hilo baadhi ya fedha zimekutwa nyumbani kwake na nyingine kwenye taasisi mbalimbali za fedha.
Ongea polepole mkuu, team YATIMA HADEKI wana makasiriko sana, wasije wakakusikia. π π π π πMagufuli aliipeleka hii nchi pabaya sana
Hawa vijana sijawahi kuwaaminiYaani tuliimbishwa nyimbo za uzalendo tukiwa na njaa, unashangaa wananchi tunakonda wao vitambi vinatoka kumbe walilia nasi mchana huku usiku wakitucheka huku wakigonga cheers glass za wine na nyama choma
Hivi Haji Manara anaweza kuwa chanzo cha habari yako kikaheshimiwa!Hilo gazeti limekuwa msemaji wa polisi/takukuru na hata wa bandari mlipayuka hivi hivi, hilo gazeti la kufungia utumbo tu na hawa ndio waandishi Haji Manara anawaita taka taka tu.
Kumbe ni sawa kutajirika hata Kama unanyang'anya watu?Kutajirika nalo kosa jamani?
Ni kwa vile alikuwa mshamba sana anayedhani anajua kupita woteYani hawa vijana walikuwa wanamchezea kweli mwendazake,walikuwa wanajua kucheza na akili yake
Ova