Lengai ole Sabaya akutwa na ukwasi wa Tsh. Bilioni 3 baada ya kupekuliwa


Hivi unazifahamu billion 3?
 

Na uchoke zaidi kwani licha ya hayo UJINGA umeongezeka mno ndani ya miaka 6 iliyopita. Kila kona wajinga kibao. Humo yumo Sabaya na wengi aina yake. MJINGA unampa rungu
 
Viongozi na waliokuwa viongozi wengi wanatakiwa kupekuliwa

Kuanzia Sabaya,Makonda, Polepole bashiru Biswalo na Dotto James

Hata makamo wa rais anatakiwa kufanyiwa uchunguzi

Hata kapilimba aliyeenda Namibia kuna ufisadi wa kutisha hawa jamaa cycle yao imefanya.

Diwani chunguza hawa watu walikusanya pesa nyingi sana na Magufuli.
 
Haya mambo yatawezekana tu siku upinzani ukikamata uongozi wa hii nchi na kamwe si vinginevyo.
 
Yani hawa vijana walikuwa wanamchezea kweli mwendazake,walikuwa wanajua kucheza na akili yake

Ova
 
Ogopa sana mtu anayejifanya mzalendo
Anajifanya mkali anaongea sana mikwala
Mingi....huyo lazima atakuwa anapiga

Ova

Yaani tuliimbishwa nyimbo za uzalendo tukiwa na njaa, unashangaa wananchi tunakonda wao vitambi vinatoka kumbe walilia nasi mchana huku usiku wakitucheka huku wakigonga cheers glass za wine na nyama choma
 
Serikali ya Wanyonge katika ubora wake
 
Usishangae baada ya miaka kadhaa mbele akakugombea ubunge na akapewa ama akateuliwa tena kuwa kiongozi.
Hili linchi huwa halieleweki lipoje.
 
Tarifa hizi ili ziwe Sawa, ni Ile tume ya uchunguzi kuwa imemaliza kazi yake na kuiwasilisha Kwa aliyewatuma, hizi mambo za kujazana upumbavu zinatoka wapi?

Tume ya uchunguzi imeshatoa ripoti yake lini na Kwa nani Au ni upumbavu wa jamii ya Twitter na kusambazwa na wapumbavu wambea wasiotaka kutafuta ukweli?
 
Yaani tuliimbishwa nyimbo za uzalendo tukiwa na njaa, unashangaa wananchi tunakonda wao vitambi vinatoka kumbe walilia nasi mchana huku usiku wakitucheka huku wakigonga cheers glass za wine na nyama choma
Hawa vijana sijawahi kuwaamini
Wote walikuwa wanapiga mzee hajui

Ova
 
Hilo gazeti limekuwa msemaji wa polisi/takukuru na hata wa bandari mlipayuka hivi hivi, hilo gazeti la kufungia utumbo tu na hawa ndio waandishi Haji Manara anawaita taka taka tu.
Hivi Haji Manara anaweza kuwa chanzo cha habari yako kikaheshimiwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…