Lengai Ole Sabaya, asante kwa utumishi wako

Lengai Ole Sabaya, asante kwa utumishi wako

Nchi ina taratibu zake, kama una habari za magendo kwanza kaombe search warrant halafu nenda muda wa kawaida tu. Haina haja ya kwenda usiku
Mbona duka lenyewe halijali "mida ya kawaida" ?

Liko wazi usiku kucha, kwa nini Mkuu wa Wilaya alale usiku kucha ?
 
Ole Sabaya alivamia usiku kwa sababu duka lilikuwa lina operate usiku.

Kama biashara ziko wazi usiku kwa nini serikali ilale usiku ?
Punguani wewe,
Sasa ndo keshatumbuliwa na bado kuna jambo linamsubiri.
We uliona tu akivamia hilo duka mengine hukuona
 
Ahsante

Angalau umeona hilo lilikuwa jema

Nikajiuliza, hivi kumbe hao wafanyabiashara wenyewe wanaosemwa wanaonewa ndio hawa wanaoficha shehena za mapipa ya dizeli ndani ya go down??

Yakilipuka majirani watapona?

Tunawatetea hawa watu ?
Kajinyonge uungane na mwendazake
 
chini ya jeshi la polis na kwenda fanya ukaguzi kwake KWA kushirikiana na vyombo vingine ikiwemo TRA n.k
TRA walikuwepo

Polisi walikuwepo

Afisa biashara wa Wilaya alikuwepo

Jeshi la polisi lilikuwepo

Waandishi walikuwepo.

Nani alikosekana wa kuambatana nae, international observer from the European Union?
 
Utawala mpya wa Rais Samia Suluhu Hassan leo umeangusha moja ya nguzo za katikati za urithi, legacy, ya aliyekuwa Rais John Pombe Magufuli kwa kutumbuliwa kwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya.

Kama ulipenda alichokisimamia John Magufuli pengine leo ni siku ya huzuni.

Nilimwona kwenye clip mapema mwaka huu saa sita za usiku akivamia kibanda cha mchaga kwa mbele, kwa nyuma ni ghala lenye shehena ya mzigo wa bia na mapipa ya dizeli na petroli zinazouzwa bila kulipiwa kodi, bila kutolewa risiti, bila taratibu za kuhifadhi shehena ya petroli ndani ya jengo wala bila ya usajili wa biashara zaidi ya leseni za kuuza vocha na mafuta ya taa.

Alikuwa amebeba tochi, amejikunyata kwenye kikoti cha baridi, ameambatana na afisa wa TRA, mwanahabari na askari polisi.

Sikuwahi kumwona au kusikia kiongozi wa nchi hii katika historia yake ya miaka 60 akifanya kazi nje ya ofisi kwenye giza tororo, awe Afisa Mtendaji, Diwani, Mbunge, Mkuu wa Wilaya, Mkuu wa Mkoa, Waziri, Waziri Mkuu, Makamu wa Rais au Rais.

Nitamkumbuka kwa taswira ile.
Mama yetu bado anahasira na JPM! Uhakika ni kwamba ghafla atajikwaa na kuvunjika!
 
Utawala mpya wa Rais Samia Suluhu Hassan leo umeangusha moja ya nguzo za katikati za urithi, legacy, ya aliyekuwa Rais John Pombe Magufuli kwa kutumbuliwa kwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya.

Kama ulipenda alichokisimamia John Magufuli pengine leo ni siku ya huzuni.

Nilimwona kwenye clip mapema mwaka huu saa sita za usiku akivamia kibanda cha mchaga kwa mbele, kwa nyuma ni ghala lenye shehena ya mzigo wa bia na mapipa ya dizeli na petroli zinazouzwa bila kulipiwa kodi, bila kutolewa risiti, bila taratibu za kuhifadhi shehena ya petroli ndani ya jengo wala bila ya usajili wa biashara zaidi ya leseni za kuuza vocha na mafuta ya taa.

Alikuwa amebeba tochi, amejikunyata kwenye kikoti cha baridi, ameambatana na afisa wa TRA, mwanahabari na askari polisi.

Sikuwahi kumwona au kusikia kiongozi wa nchi hii katika historia yake ya miaka 60 akifanya kazi nje ya ofisi kwenye giza tororo saba usiku, awe Afisa Mtendaji, Diwani, Mbunge, Mkuu wa Wilaya, Mkuu wa Mkoa, Waziri, Waziri Mkuu, Makamu wa Rais au Rais.

Nitamkumbuka kwa taswira ile.
Acha upumbafu wewe , huyu mtu hatofautiani na shetani
 
Utawala mpya wa Rais Samia Suluhu Hassan leo umeangusha moja ya nguzo za katikati za urithi, legacy, ya aliyekuwa Rais John Pombe Magufuli kwa kutumbuliwa kwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya.

Kama ulipenda alichokisimamia John Magufuli pengine leo ni siku ya huzuni.

Nilimwona kwenye clip mapema mwaka huu saa sita za usiku akivamia kibanda cha mchaga kwa mbele, kwa nyuma ni ghala lenye shehena ya mzigo wa bia na mapipa ya dizeli na petroli zinazouzwa bila kulipiwa kodi, bila kutolewa risiti, bila taratibu za kuhifadhi shehena ya petroli ndani ya jengo wala bila ya usajili wa biashara zaidi ya leseni za kuuza vocha na mafuta ya taa.

Alikuwa amebeba tochi, amejikunyata kwenye kikoti cha baridi, ameambatana na afisa wa TRA, mwanahabari na askari polisi.

Sikuwahi kumwona au kusikia kiongozi wa nchi hii katika historia yake ya miaka 60 akifanya kazi nje ya ofisi kwenye giza tororo saba usiku, awe Afisa Mtendaji, Diwani, Mbunge, Mkuu wa Wilaya, Mkuu wa Mkoa, Waziri, Waziri Mkuu, Makamu wa Rais au Rais.

Nitamkumbuka kwa taswira ile.

Mama Samia kikulacho ki nguoni mwako. Bado wapo wengi. Kumbuka genge la wasukuma si la kikabila bali la ki imani zaidi.

Katelefoni, katelefoni. Ninakazia katelefoni!
 
Unafahamu vipi kuwa huyu halipi kodi, na mkwepa kodi anaadhibiwa vipi ikithibitika, anathibitishwa na nani kuwa ana hatia, hukumu inatolewa na nani na kwa utaratibu upi?
Ukifuata taratibu tulizojiwekea utapendwa na raia wema maana hutamwonea mtu.
Alijua halipi kodi kwa sababu leseni iliyotundikwa mbele ya kiduka ni ya kuuza vocha, vibanio vya mabutu na mafuta ya taa.

Pia alitumwa government informant akapewa risiti feki, ina jina la duka lingine.

Unalipaje kodi kama biashara hujasajili ?
 
Utawala mpya wa Rais Samia Suluhu Hassan leo umeangusha moja ya nguzo za katikati za urithi, legacy, ya aliyekuwa Rais John Pombe Magufuli kwa kutumbuliwa kwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya.

Kama ulipenda alichokisimamia John Magufuli pengine leo ni siku ya huzuni.

Nilimwona kwenye clip mapema mwaka huu saa sita za usiku akivamia kibanda cha mchaga kwa mbele, kwa nyuma ni ghala lenye shehena ya mzigo wa bia na mapipa ya dizeli na petroli zinazouzwa bila kulipiwa kodi, bila kutolewa risiti, bila taratibu za kuhifadhi shehena ya petroli ndani ya jengo wala bila ya usajili wa biashara zaidi ya leseni za kuuza vocha na mafuta ya taa.

Alikuwa amebeba tochi, amejikunyata kwenye kikoti cha baridi, ameambatana na afisa wa TRA, mwanahabari na askari polisi.

Sikuwahi kumwona au kusikia kiongozi wa nchi hii katika historia yake ya miaka 60 akifanya kazi nje ya ofisi kwenye giza tororo saba usiku, awe Afisa Mtendaji, Diwani, Mbunge, Mkuu wa Wilaya, Mkuu wa Mkoa, Waziri, Waziri Mkuu, Makamu wa Rais au Rais.

Nitamkumbuka kwa taswira ile.
Ha ha haaaaaa!, kwa hiyo Ole Lengai Sabaya alikuwa modal wako?, Hahahaaaaa
 
TRA walikuwepo

Polisi walikuwepo

Afisa biashara wa Wilaya alikuwepo

Jeshi la polisi lilikuwepo

Waandishi walikuwepo.

Nani alikosekana wa kuambatana nae, international observer from the European Union?
Vipi tuhuma zingine ambazo zinamuonesha kupitia cctv clip n.k akitumia UN fake car , akiwa kwenye duka moja anachukua pesa usiku, ile ya kuomba ml 5 TOKA KWA mmiliki wa hotel ile ya kitalii, watu Katwa masikio, kupigilia misumali watu , na zinge unazungumziaje,? Tusubili uchunguzi na Kama zitakua za kweli Basi kifungo Cha maisha kinamuhusu,shame on him
 
Utawala mpya wa Rais Samia Suluhu Hassan leo umeangusha moja ya nguzo za katikati za urithi, legacy, ya aliyekuwa Rais John Pombe Magufuli kwa kutumbuliwa kwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya.

Kama ulipenda alichokisimamia John Magufuli pengine leo ni siku ya huzuni.

Nilimwona kwenye clip mapema mwaka huu saa sita za usiku akivamia kibanda cha mchaga kwa mbele, kwa nyuma ni ghala lenye shehena ya mzigo wa bia na mapipa ya dizeli na petroli zinazouzwa bila kulipiwa kodi, bila kutolewa risiti, bila taratibu za kuhifadhi shehena ya petroli ndani ya jengo wala bila ya usajili wa biashara zaidi ya leseni za kuuza vocha na mafuta ya taa.

Alikuwa amebeba tochi, amejikunyata kwenye kikoti cha baridi, ameambatana na afisa wa TRA, mwanahabari na askari polisi.

Sikuwahi kumwona au kusikia kiongozi wa nchi hii katika historia yake ya miaka 60 akifanya kazi nje ya ofisi kwenye giza tororo saba usiku, awe Afisa Mtendaji, Diwani, Mbunge, Mkuu wa Wilaya, Mkuu wa Mkoa, Waziri, Waziri Mkuu, Makamu wa Rais au Rais.

Nitamkumbuka kwa taswira ile.
We tapeli unajisumbua tu,we ni jambazi
 
hiyo biashara ilikua inaoparate usiku,so hata miliki wake alikua hajulikani , kwamba hakuna taratibu zingine za kumkamata mchana chini ya jeshi la polis na kwenda fanya ukaguzi kwake KWA kushirikiana na vyombo vingine ikiwemo TRA n.k achana kufanya Mambo Kama vile tz haijawai kuwa na taratibu au mifumo mnatia aibu
Kumbe Sabaya umeanzisha nyuzi kibao kusafisha ujambazi wako
 
Utawala mpya wa Rais Samia Suluhu Hassan leo umeangusha moja ya nguzo za katikati za urithi, legacy, ya aliyekuwa Rais John Pombe Magufuli kwa kutumbuliwa kwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya.

Kama ulipenda alichokisimamia John Magufuli pengine leo ni siku ya huzuni.

Nilimwona kwenye clip mapema mwaka huu saa sita za usiku akivamia kibanda cha mchaga kwa mbele, kwa nyuma ni ghala lenye shehena ya mzigo wa bia na mapipa ya dizeli na petroli zinazouzwa bila kulipiwa kodi, bila kutolewa risiti, bila taratibu za kuhifadhi shehena ya petroli ndani ya jengo wala bila ya usajili wa biashara zaidi ya leseni za kuuza vocha na mafuta ya taa.

Alikuwa amebeba tochi, amejikunyata kwenye kikoti cha baridi, ameambatana na afisa wa TRA, mwanahabari na askari polisi.

Sikuwahi kumwona au kusikia kiongozi wa nchi hii katika historia yake ya miaka 60 akifanya kazi nje ya ofisi kwenye giza tororo saba usiku, awe Afisa Mtendaji, Diwani, Mbunge, Mkuu wa Wilaya, Mkuu wa Mkoa, Waziri, Waziri Mkuu, Makamu wa Rais au Rais.

Nitamkumbuka kwa taswira ile.
Kwenye giza totoro ndiyo mlikuwa mnafanya yenu

Ova
 
Alijua halipi kodi kwa sababu leseni iliyotundikwa mbele ya kiduka ni ya kuuza vocha, vibanio vya mabutu na mafuta ya taa.

Pia alitumwa informant akapewa risiti feki, ina jina la duka lingine.

Unalipaje kodi kama biashara hujasajili ?
Halafu akafanyaje kumwajibisha? Usieleze nusunusu. Tuna taratibu na sheria ya kushughulika na majambazi ya kodi, alizifuata?
 
Utawala mpya wa Rais Samia Suluhu Hassan leo umeangusha moja ya nguzo za katikati za urithi, legacy, ya aliyekuwa Rais John Pombe Magufuli kwa kutumbuliwa kwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya.

Kama ulipenda alichokisimamia John Magufuli pengine leo ni siku ya huzuni.

Nilimwona kwenye clip mapema mwaka huu saa sita za usiku akivamia kibanda cha mchaga kwa mbele, kwa nyuma ni ghala lenye shehena ya mzigo wa bia na mapipa ya dizeli na petroli zinazouzwa bila kulipiwa kodi, bila kutolewa risiti, bila taratibu za kuhifadhi shehena ya petroli ndani ya jengo wala bila ya usajili wa biashara zaidi ya leseni za kuuza vocha na mafuta ya taa.

Alikuwa amebeba tochi, amejikunyata kwenye kikoti cha baridi, ameambatana na afisa wa TRA, mwanahabari na askari polisi.

Sikuwahi kumwona au kusikia kiongozi wa nchi hii katika historia yake ya miaka 60 akifanya kazi nje ya ofisi kwenye giza tororo saba usiku, awe Afisa Mtendaji, Diwani, Mbunge, Mkuu wa Wilaya, Mkuu wa Mkoa, Waziri, Waziri Mkuu, Makamu wa Rais au Rais.

Nitamkumbuka kwa taswira ile.
Unge attach na evidence zinazoonyesha ni mkwepa kodi na anamiliki nishati ya mafuta kinyume na utaratib. Mjifunze kuleta malalamiko mki attach na evidence, acheni mamb ya conspiracy theories!!!
 
wapuuuzi wa humu hawatakuelewa ...ktk serikali ya sasa wanaohitajika sio wa hulka ya ole sabaya wanaotafutwa ni wa dizaini ya kina nape,january,ridhiwani,nyalandu na the like
 
Utawala mpya wa Rais Samia Suluhu Hassan leo umeangusha moja ya nguzo za katikati za urithi, legacy, ya aliyekuwa Rais John Pombe Magufuli kwa kutumbuliwa kwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya.

Kama ulipenda alichokisimamia John Magufuli pengine leo ni siku ya huzuni.

Nilimwona kwenye clip mapema mwaka huu saa sita za usiku akivamia kibanda cha mchaga kwa mbele, kwa nyuma ni ghala lenye shehena ya mzigo wa bia na mapipa ya dizeli na petroli zinazouzwa bila kulipiwa kodi, bila kutolewa risiti, bila taratibu za kuhifadhi shehena ya petroli ndani ya jengo wala bila ya usajili wa biashara zaidi ya leseni za kuuza vocha na mafuta ya taa.

Alikuwa amebeba tochi, amejikunyata kwenye kikoti cha baridi, ameambatana na afisa wa TRA, mwanahabari na askari polisi.

Sikuwahi kumwona au kusikia kiongozi wa nchi hii katika historia yake ya miaka 60 akifanya kazi nje ya ofisi kwenye giza tororo saba usiku, awe Afisa Mtendaji, Diwani, Mbunge, Mkuu wa Wilaya, Mkuu wa Mkoa, Waziri, Waziri Mkuu, Makamu wa Rais au Rais.

Nitamkumbuka kwa taswira ile.
Kwani angeenda mchana hivyo vitu asingevikuta?
 
Back
Top Bottom