Lengai Ole Sabaya, asante kwa utumishi wako

Lengai Ole Sabaya, asante kwa utumishi wako

Another shit.


ASANTE MUNGU KWAAJILI YA TAREHE 17.

NAMPENDA SAMIA MIE JAMAANI.
 
Utawala mpya wa Rais Samia Suluhu Hassan leo umeangusha moja ya nguzo za katikati za urithi, legacy, ya aliyekuwa Rais John Pombe Magufuli kwa kutumbuliwa kwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya.

Kama ulipenda alichokisimamia John Magufuli pengine leo ni siku ya huzuni.

Nilimwona kwenye clip mapema mwaka huu saa sita za usiku akivamia kibanda cha mchaga kwa mbele, kwa nyuma ni ghala lenye shehena ya mzigo wa bia na mapipa ya dizeli na petroli zinazouzwa bila kulipiwa kodi, bila kutolewa risiti, bila taratibu za kuhifadhi shehena ya petroli ndani ya jengo wala bila ya usajili wa biashara zaidi ya leseni za kuuza vocha na mafuta ya taa.

Alikuwa amebeba tochi, amejikunyata kwenye kikoti cha baridi, ameambatana na afisa wa TRA, mwanahabari na askari polisi.

Sikuwahi kumwona au kusikia kiongozi wa nchi hii katika historia yake ya miaka 60 akifanya kazi nje ya ofisi kwenye giza tororo saba usiku, awe Afisa Mtendaji, Diwani, Mbunge, Mkuu wa Wilaya, Mkuu wa Mkoa, Waziri, Waziri Mkuu, Makamu wa Rais au Rais.

Nitamkumbuka kwa taswira ile.
Huyu ni jambazi sugu ndiyo maana alikuwa anavamia usiku wa manane
 
Mkuki kwa nguruwe... .....
Kuna wakati members wa humu waliomba jukwaa lakuporomosheana lugha za kuudhi. Lakini mamlaka ya JF ilikataa wakati huo. Sasa kwa kuwa " kuna kufunguliwa fulani hivi" hapa jukwaani, ni wakati sasa moderators watangaze uwepo wa Jukwaa hilo, ili sisi tusioshabikia lugha hizo tujue chakufanya.
 
Maisha ya filamu,,,naona Jambazi kuu ameshakufa so movie imeisha.

Thanks
 
Kwa nini mwanahabari asiwepo kwenye ambush?

Mfanyabiashara akisema DC Ole Sabaya alikuja kuomba rushwa nikamkatalia, atajitetea vipi bila ushahidi wa camera ??

Na akishambuliwa akiuliwa kwenye ambush ya serikali saa sita usiku kwenye go down la mtu kwa nini kusiwe na recording cameras ????
Hata vitani kuna wanahabari. Na uwepo wao uweka mambo hadharani. Tanzania yetu ukijitoa kwa moyo kuitumikia, utapigwa vita siku zote. Sikuwa mshabiki wa Sabaya wala simjui. Lakini nadhani alichofanya alifanya kwa maslahi mapana ya Taifa.
Kuna watu wanajiona hawaguswi, wanajiona wanauwezo wa kuhujumu uchumi kwa faida zao na familia zao.
Kikubwa Sabaya atajivunia utendaji wake.
 
Utawala mpya wa Rais Samia Suluhu Hassan leo umeangusha moja ya nguzo za katikati za urithi, legacy, ya aliyekuwa Rais John Pombe Magufuli kwa kutumbuliwa kwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya.

Kama ulipenda alichokisimamia John Magufuli pengine leo ni siku ya huzuni.

Nilimwona kwenye clip mapema mwaka huu saa sita za usiku akivamia kibanda cha mchaga kwa mbele, kwa nyuma ni ghala lenye shehena ya mzigo wa bia na mapipa ya dizeli na petroli zinazouzwa bila kulipiwa kodi, bila kutolewa risiti, bila taratibu za kuhifadhi shehena ya petroli ndani ya jengo wala bila ya usajili wa biashara zaidi ya leseni za kuuza vocha na mafuta ya taa.

Alikuwa amebeba tochi, amejikunyata kwenye kikoti cha baridi, ameambatana na afisa wa TRA, mwanahabari na askari polisi.

Sikuwahi kumwona au kusikia kiongozi wa nchi hii katika historia yake ya miaka 60 akifanya kazi nje ya ofisi kwenye giza tororo saba usiku, awe Afisa Mtendaji, Diwani, Mbunge, Mkuu wa Wilaya, Mkuu wa Mkoa, Waziri, Waziri Mkuu, Makamu wa Rais au Rais.

Nitamkumbuka kwa taswira ile.
Mkafie mbali na hizo LEGACY zenu. Na ningekuwa mimi ndiye Rais, ningewaondoa wendawazimu na vichaa wote waliopewa majukumu makubwa ya kiutawala, kinyume kabisa na utaratibu.
 
Unge attach na evidence zinazoonyesha ni mkwepa kodi na anamiliki nishati ya mafuta kinyume na utaratib. Mjifunze kuleta malalamiko mki attach na evidence, acheni mamb ya conspiracy theories!!!
Hakuweza kuonyesha leseni ya biashara ya bia, makreti elfu tano

Alikuwa na shehena ya mapipa ya petroli na dizeli ndani ya go down. Kwa kusindwa kufuata taratibu za kutunza mafuta angeweza kulipua Hai nzima kwa moto

Hizo ni probable cause za kutosha kumkamata kwa kukwepa kodi, kuhujumu uchumi, kuhatarisha maisha ya watu...

Unapendekeza DC afuate utaratibu gani kabla ya kumkamata, amuundie tume ya wahasibu?
 
Unafiki unaliangamiza taifa. Mama suluhu ana kazi kubwa ya kufanya.
 
kwamba hakuna taratibu zingine za kumkamata mchana chini ya jeshi la polis na kwenda fanya ukaguzi kwake KWA kushirikiana na vyombo vingine ikiwemo TRA n.k achana kufanya Mambo Kama vile tz haijawai kuwa na taratibu au mifumo mnatia aibu
Kwani alikamatwa na nani, Sungusungu wa Kimasai wa ulinzi binafsi wa Ole Sabaya?

Polisi walikuwepo

TRA walikuwepo

Afisa Biashara wa Wilaya alikuwepo

Waandishi walikuwepo

Cooperating witness aliyetumwa na serikali kwenda kununua ma elfu ya kreti za bia usiku wa manane kwenye duka la makompasi ya watoto na vibanio vya mabutu alikuwepo.

Nani mwingine unashauri alitakiwa kuambatana na DC Sabaya, Mwangalizi wa Kimataifa kutoka Umoja wa Ulaya ???????
 
Wakumtetea sabaya wamtetetee tena kwa nguvu zote ila ukweli utabaki kua sabaya ni jambazi katili mshenzi nukta
 
Kwani alikamatwa na nani, Sungusungu wa Kimasai wa ulinzi binafsi wa Ole Sabaya?

Polisi walikuwepo

TRA walikuwepo

Afisa Biashara wa Wilaya alikuwepo

Waandishi walikuwepo

Cooperating witness aliyetumwa na serikali kwenda kununua ma elfu ya kreti za bia usiku wa manane kwenye duka la makompasi ya watoto na vibanio vya mabutu alikuwepo.

Nani mwingine unashauri alitakiwa kuambatana na DC Sabaya, Mwangalizi wa Kimataifa kutoka Umoja wa Ulaya ???????
Tusubili report ya uchunguzi , utetezi usio na tija kwa sabaya hautakiwi
 
Hahaha .. vichekesho kama hivi unavipata wapi?
Yaani mwanahabari pia alikuwepo kwenye ambush?Na bado unaona huyo ni mchapakazi?

Watu huwa mnarogwa vibaya sana
akienda kimya kimya mnakuja na nyuzi kwamba kateka mfanyabisha,kampiga sana na kumkata rinda.

mkuu kuwa neutral,uujue uzuri na ubaya wa kila kiumbe.
 
Nchi ina taratibu zake, kama una habari za magendo kwanza kaombe search warrant halafu nenda muda wa kawaida tu. Haina haja ya kwenda usiku wakati mapipa ya mafuta si madawa ya kulevya kuwa unaweza kuuficha
hii ni kwa utaratibu wa kijiwe gani???
 
Utawala mpya wa Rais Samia Suluhu Hassan leo umeangusha moja ya nguzo za katikati za urithi, legacy, ya aliyekuwa Rais John Pombe Magufuli kwa kutumbuliwa kwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya.

Kama ulipenda alichokisimamia John Magufuli pengine leo ni siku ya huzuni.

Nilimwona kwenye clip mapema mwaka huu saa sita za usiku akivamia kibanda cha mchaga kwa mbele, kwa nyuma ni ghala lenye shehena ya mzigo wa bia na mapipa ya dizeli na petroli zinazouzwa bila kulipiwa kodi, bila kutolewa risiti, bila taratibu za kuhifadhi shehena ya petroli ndani ya jengo wala bila ya usajili wa biashara zaidi ya leseni za kuuza vocha na mafuta ya taa.

Alikuwa amebeba tochi, amejikunyata kwenye kikoti cha baridi, ameambatana na afisa wa TRA, mwanahabari na askari polisi.

Sikuwahi kumwona au kusikia kiongozi wa nchi hii katika historia yake ya miaka 60 akifanya kazi nje ya ofisi kwenye giza tororo saba usiku, awe Afisa Mtendaji, Diwani, Mbunge, Mkuu wa Wilaya, Mkuu wa Mkoa, Waziri, Waziri Mkuu, Makamu wa Rais au Rais.

Nitamkumbuka kwa taswira ile.
Ndio kazi ya DC,??
 
Wale mabaunsa wake sahivi watakuwa wana tangatanga tu

Ova
 
Ndio kazi ya DC,??
Ndio.

DC ni mwakilishi wa Rais wilayanil, kila kitu ni kazi yake.

Not least Usalama wa wilaya.

Mtu ana matenki ya Dizeli ndani ya jengo, hilo halihusiani na usalama wa watu ?

Halmashauri ya Hai ilikuwa ya 112 katika ukusanyaji kodi. Chini ya Sabaya ikawa ya sita nchi nzima. Kwa sababu Sabaya alikuwa anawakokota TRA wakakusanye kodi.

Tuna upungufu mkubwa Afrika wa viongozi wa mithili ya Ole Sabaya.
 
Rais afanye uchunguzi nchi nzima kwa viongozi aina ya huyo Lengai Ole Sabaya!! Ndiyo maana Chadema wanadai Chombo kiundwe cha kuendesha process ya reconciliation Tanzania kwani kuna watu waliisha kama kings na wengine kama watumwa katika nchi moja!
Siku moja nilisoma clip inayosema kuwa Rc Mnyeti wa Manyara aliamuru wachagga wanaoishi Manyara wakitaka kufanya mikutano yao ya kuendeleza mkoa wao waende wafanyie kilimanjaro na siyo Manyara!!
Nilishangaa sana! Je Tanzania tumefikaje huko? Je mtu hana uhuru wa kuongelea maendeleo ya nyumbani kwake akiwa sehemu nyingine ya nchi????

Her excellency leo yuko Dar lakini yeye ni Mzanzibari je haruhusiwi kujumuika katika mkutano wa wazanzibari walioko Dar wakiongelea ujenzi wa barabara kwao??

Huyu huyu Mnyeti ndiye alikuwa akinunua wapinzani Meru na ndipo kupandishwa kuwa Rc kutoka DC!!!!! Enzi za kupongezwa kwa kufanya maovu!! Wakati wa mwendazake!!
 
Back
Top Bottom