Lengai Ole Sabaya, asante kwa utumishi wako

Lengai Ole Sabaya, asante kwa utumishi wako

Utawala mpya wa Rais Samia Suluhu Hassan leo umeangusha moja ya nguzo za katikati za urithi, legacy, ya aliyekuwa Rais John Pombe Magufuli kwa kutumbuliwa kwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya.

Kama ulipenda alichokisimamia John Magufuli pengine leo ni siku ya huzuni.

Nilimwona kwenye clip mapema mwaka huu saa sita za usiku akivamia kibanda cha mchaga kwa mbele, kwa nyuma ni ghala lenye shehena ya mzigo wa bia na mapipa ya dizeli na petroli zinazouzwa bila kulipiwa kodi, bila kutolewa risiti, bila taratibu za kuhifadhi shehena ya petroli ndani ya jengo wala bila ya usajili wa biashara zaidi ya leseni za kuuza vocha na mafuta ya taa.

Alikuwa amebeba tochi, amejikunyata kwenye kikoti cha baridi, ameambatana na afisa wa TRA, mwanahabari na askari polisi.

Sikuwahi kumwona au kusikia kiongozi wa nchi hii katika historia yake ya miaka 60 akifanya kazi nje ya ofisi kwenye giza tororo saba usiku, awe Afisa Mtendaji, Diwani, Mbunge, Mkuu wa Wilaya, Mkuu wa Mkoa, Waziri, Waziri Mkuu, Makamu wa Rais au Rais.

Nitamkumbuka kwa taswira ile.
Tafuta wa kukutetea sio kila dk unabadili Id ili uonekane unawatetezi na Leo ndio mmenifumbua macho Lumumba fc hamfiki hata 10 hapa jukwaani
 
Huyo Sabaya ni Afisa wa TRA hadi ajue kodi haikua ikilipwa
Utawala mpya wa Rais Samia Suluhu Hassan leo umeangusha moja ya nguzo za katikati za urithi, legacy, ya aliyekuwa Rais John Pombe Magufuli kwa kutumbuliwa kwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya.

Kama ulipenda alichokisimamia John Magufuli pengine leo ni siku ya huzuni.

Nilimwona kwenye clip mapema mwaka huu saa sita za usiku akivamia kibanda cha mchaga kwa mbele, kwa nyuma ni ghala lenye shehena ya mzigo wa bia na mapipa ya dizeli na petroli zinazouzwa bila kulipiwa kodi, bila kutolewa risiti, bila taratibu za kuhifadhi shehena ya petroli ndani ya jengo wala bila ya usajili wa biashara zaidi ya leseni za kuuza vocha na mafuta ya taa.

Alikuwa amebeba tochi, amejikunyata kwenye kikoti cha baridi, ameambatana na afisa wa TRA, mwanahabari na askari polisi.

Sikuwahi kumwona au kusikia kiongozi wa nchi hii katika historia yake ya miaka 60 akifanya kazi nje ya ofisi kwenye giza tororo saba usiku, awe Afisa Mtendaji, Diwani, Mbunge, Mkuu wa Wilaya, Mkuu wa Mkoa, Waziri, Waziri Mkuu, Makamu wa Rais au Rais.

Nitamkumbuka kwa taswira ile.
 
Na kwanini afanye msako usiku wa manane wakati wananchi walio wengi wakiwa wamelala Kama hakuwa anajitengenezea mazingira ya wizi na rushwa! Kwanini Kama alikuwa na taarifa za uhujumu uchumi hakusubiri kukuche? Huyu alikuwa jambazi tu na hakuna jina jingine zuri la kumuita!
Wananchi walikuwa wamelala lakini duka lilikuwa wazi.

John Magufuli alipinga vikali serikali kwenda kulala saa 12 jioni bendera ya Jamhuri ikishuka. DC Sabaya alikuwa macho usiku Hai muda wowote ambao Rais alikuwa macho usiku Ikulu.

Himaya ya nchi inasimama masaa 24.

Biashara zikiwa wazi, tena za magendo, kwa nini serikali ikalale ?
 
Kwa nini mwanahabari asiwepo kwenye ambush?

Mfanyabiashara akisema DC Ole Sabaya kanikamata kwa vipe alikuja kuomba rushwa nikamkatalia, atajitetea vipi bila ushahidi wa camera ??

Na akishambuliwa akiuliwa kwenye ambush ya serikali saa sita usiku kwenye go down la mtu, kwa nini kusiwe na recording cameras ????
Raia anakwenda kufanya ambush kama si ujqmbazi ni nini?
 
Utawala mpya wa Rais Samia Suluhu Hassan leo umeangusha moja ya nguzo za katikati za urithi, legacy, ya aliyekuwa Rais John Pombe Magufuli kwa kutumbuliwa kwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya.

Kama ulipenda alichokisimamia John Magufuli pengine leo ni siku ya huzuni.

Nilimwona kwenye clip mapema mwaka huu saa sita za usiku akivamia kibanda cha mchaga kwa mbele, kwa nyuma ni ghala lenye shehena ya mzigo wa bia na mapipa ya dizeli na petroli zinazouzwa bila kulipiwa kodi, bila kutolewa risiti, bila taratibu za kuhifadhi shehena ya petroli ndani ya jengo wala bila ya usajili wa biashara zaidi ya leseni za kuuza vocha na mafuta ya taa.

Alikuwa amebeba tochi, amejikunyata kwenye kikoti cha baridi, ameambatana na afisa wa TRA, mwanahabari na askari polisi.

Sikuwahi kumwona au kusikia kiongozi wa nchi hii katika historia yake ya miaka 60 akifanya kazi nje ya ofisi kwenye giza tororo saba usiku, awe Afisa Mtendaji, Diwani, Mbunge, Mkuu wa Wilaya, Mkuu wa Mkoa, Waziri, Waziri Mkuu, Makamu wa Rais au Rais.

Nitamkumbuka kwa taswira ile.
Kumbe sabaya alikua na wake wengi hivi. Mtalia sana mpaka 2030
 
Wananchi walikuwa wamelala lakini duka lilikuwa wazi.

John Magufuli alipinga vikali serikali kwenda kulala saa 12 jioni bendera ya Jamhuri ikishuka. DC Sabaya alikuwa macho usiku Hai muda wowote ambao Rais alikuwa macho usiku Ikulu.

Himaya ya nchi inasimama masaa 24.

Biashara zikiwa wazi, tena za magendo, kwa nini serikali ikalale ?
Wahitaji tubu maana akili YAO ipo mbali Sana, na Kama taifa bado mzigo tulionao bado mkubwa WATU ni wasomi ila maarifa bado sana
 
Utawala mpya wa Rais Samia Suluhu Hassan leo umeangusha moja ya nguzo za katikati za urithi, legacy, ya aliyekuwa Rais John Pombe Magufuli kwa kutumbuliwa kwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya.

Kama ulipenda alichokisimamia John Magufuli pengine leo ni siku ya huzuni.

Nilimwona kwenye clip mapema mwaka huu saa sita za usiku akivamia kibanda cha mchaga kwa mbele, kwa nyuma ni ghala lenye shehena ya mzigo wa bia na mapipa ya dizeli na petroli zinazouzwa bila kulipiwa kodi, bila kutolewa risiti, bila taratibu za kuhifadhi shehena ya petroli ndani ya jengo wala bila ya usajili wa biashara zaidi ya leseni za kuuza vocha na mafuta ya taa.

Alikuwa amebeba tochi, amejikunyata kwenye kikoti cha baridi, ameambatana na afisa wa TRA, mwanahabari na askari polisi.

Sikuwahi kumwona au kusikia kiongozi wa nchi hii katika historia yake ya miaka 60 akifanya kazi nje ya ofisi kwenye giza tororo saba usiku, awe Afisa Mtendaji, Diwani, Mbunge, Mkuu wa Wilaya, Mkuu wa Mkoa, Waziri, Waziri Mkuu, Makamu wa Rais au Rais.

Nitamkumbuka kwa taswira ile.
...ni hicho tu unachokifahamu?
 
Huu ni ushahid wa kusadikika tuu TRA wangetoa sababu za uvamizi, kisheria wangesema makosa yake lkn sio huyo jamaa yako. Hana uelewa wowote, inakuaje avamie hotel ya mtu saa nane za ucku? Kama sio ujambaz huo
Jambazi haendi mahala na polisi.

Jambazi hafuatwi na waandishi wa habari.

Lengai Sabaya alifanya kazi usiku na mchana.

Alikera wengi kwa kuua ngome ya upinzani Kaskazini
 
Utawala mpya wa Rais Samia Suluhu Hassan leo umeangusha moja ya nguzo za katikati za urithi, legacy, ya aliyekuwa Rais John Pombe Magufuli kwa kutumbuliwa kwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya.

Kama ulipenda alichokisimamia John Magufuli pengine leo ni siku ya huzuni.

Nilimwona kwenye clip mapema mwaka huu saa sita za usiku akivamia kibanda cha mchaga kwa mbele, kwa nyuma ni ghala lenye shehena ya mzigo wa bia na mapipa ya dizeli na petroli zinazouzwa bila kulipiwa kodi, bila kutolewa risiti, bila taratibu za kuhifadhi shehena ya petroli ndani ya jengo wala bila ya usajili wa biashara zaidi ya leseni za kuuza vocha na mafuta ya taa.

Alikuwa amebeba tochi, amejikunyata kwenye kikoti cha baridi, ameambatana na afisa wa TRA, mwanahabari na askari polisi.

Sikuwahi kumwona au kusikia kiongozi wa nchi hii katika historia yake ya miaka 60 akifanya kazi nje ya ofisi kwenye giza tororo saba usiku, awe Afisa Mtendaji, Diwani, Mbunge, Mkuu wa Wilaya, Mkuu wa Mkoa, Waziri, Waziri Mkuu, Makamu wa Rais au Rais.

Nitamkumbuka kwa taswira ile.
Kweli alikuwa jambazi la usiku, magufuli ana ya kujibu.
 
Jambazi haendi mahala na polisi.

Jambazi hafuatwi na waandishi wa habari.

Lengai Sabaya alifanya kazi usiku na mchana.

Alikera wengi kwa kuua ngome ya upinzani Kaskazini
Saa nane za ucku?🤣🤣🤣 Upinzani unakufa kwa kura halali na huru si vinginevyo
 
Utawala mpya wa Rais Samia Suluhu Hassan leo umeangusha moja ya nguzo za katikati za urithi, legacy, ya aliyekuwa Rais John Pombe Magufuli kwa kutumbuliwa kwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya.

Kama ulipenda alichokisimamia John Magufuli pengine leo ni siku ya huzuni.

Nilimwona kwenye clip mapema mwaka huu saa sita za usiku akivamia kibanda cha mchaga kwa mbele, kwa nyuma ni ghala lenye shehena ya mzigo wa bia na mapipa ya dizeli na petroli zinazouzwa bila kulipiwa kodi, bila kutolewa risiti, bila taratibu za kuhifadhi shehena ya petroli ndani ya jengo wala bila ya usajili wa biashara zaidi ya leseni za kuuza vocha na mafuta ya taa.

Alikuwa amebeba tochi, amejikunyata kwenye kikoti cha baridi, ameambatana na afisa wa TRA, mwanahabari na askari polisi.

Sikuwahi kumwona au kusikia kiongozi wa nchi hii katika historia yake ya miaka 60 akifanya kazi nje ya ofisi kwenye giza tororo saba usiku, awe Afisa Mtendaji, Diwani, Mbunge, Mkuu wa Wilaya, Mkuu wa Mkoa, Waziri, Waziri Mkuu, Makamu wa Rais au Rais.

Nitamkumbuka kwa taswira ile.
Unampenda sana mumeo
 
Utawala mpya wa Rais Samia Suluhu Hassan leo umeangusha moja ya nguzo za katikati za urithi, legacy, ya aliyekuwa Rais John Pombe Magufuli kwa kutumbuliwa kwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya.

Kama ulipenda alichokisimamia John Magufuli pengine leo ni siku ya huzuni.

Nilimwona kwenye clip mapema mwaka huu saa sita za usiku akivamia kibanda cha mchaga kwa mbele, kwa nyuma ni ghala lenye shehena ya mzigo wa bia na mapipa ya dizeli na petroli zinazouzwa bila kulipiwa kodi, bila kutolewa risiti, bila taratibu za kuhifadhi shehena ya petroli ndani ya jengo wala bila ya usajili wa biashara zaidi ya leseni za kuuza vocha na mafuta ya taa.

Alikuwa amebeba tochi, amejikunyata kwenye kikoti cha baridi, ameambatana na afisa wa TRA, mwanahabari na askari polisi.

Sikuwahi kumwona au kusikia kiongozi wa nchi hii katika historia yake ya miaka 60 akifanya kazi nje ya ofisi kwenye giza tororo saba usiku, awe Afisa Mtendaji, Diwani, Mbunge, Mkuu wa Wilaya, Mkuu wa Mkoa, Waziri, Waziri Mkuu, Makamu wa Rais au Rais.

Nitamkumbuka kwa taswira ile.
Aliendesha genge la wahalifu kuteka, kuua, kubambikia kesi watu haswa wenye mrengo wa upinzani na kwa kuwa tulikuwa na kiongozi wa ajabu akamwambia "You have my full support'
 
IMG-20210514-WA0012.jpg
 
Back
Top Bottom