Mbona duka lenyewe halijali "mida ya kawaida" ?Nchi ina taratibu zake, kama una habari za magendo kwanza kaombe search warrant halafu nenda muda wa kawaida tu. Haina haja ya kwenda usiku
Punguani wewe,Ole Sabaya alivamia usiku kwa sababu duka lilikuwa lina operate usiku.
Kama biashara ziko wazi usiku kwa nini serikali ilale usiku ?
Kajinyonge uungane na mwendazakeAhsante
Angalau umeona hilo lilikuwa jema
Nikajiuliza, hivi kumbe hao wafanyabiashara wenyewe wanaosemwa wanaonewa ndio hawa wanaoficha shehena za mapipa ya dizeli ndani ya go down??
Yakilipuka majirani watapona?
Tunawatetea hawa watu ?
TRA walikuwepochini ya jeshi la polis na kwenda fanya ukaguzi kwake KWA kushirikiana na vyombo vingine ikiwemo TRA n.k
Mama yetu bado anahasira na JPM! Uhakika ni kwamba ghafla atajikwaa na kuvunjika!Utawala mpya wa Rais Samia Suluhu Hassan leo umeangusha moja ya nguzo za katikati za urithi, legacy, ya aliyekuwa Rais John Pombe Magufuli kwa kutumbuliwa kwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya.
Kama ulipenda alichokisimamia John Magufuli pengine leo ni siku ya huzuni.
Nilimwona kwenye clip mapema mwaka huu saa sita za usiku akivamia kibanda cha mchaga kwa mbele, kwa nyuma ni ghala lenye shehena ya mzigo wa bia na mapipa ya dizeli na petroli zinazouzwa bila kulipiwa kodi, bila kutolewa risiti, bila taratibu za kuhifadhi shehena ya petroli ndani ya jengo wala bila ya usajili wa biashara zaidi ya leseni za kuuza vocha na mafuta ya taa.
Alikuwa amebeba tochi, amejikunyata kwenye kikoti cha baridi, ameambatana na afisa wa TRA, mwanahabari na askari polisi.
Sikuwahi kumwona au kusikia kiongozi wa nchi hii katika historia yake ya miaka 60 akifanya kazi nje ya ofisi kwenye giza tororo, awe Afisa Mtendaji, Diwani, Mbunge, Mkuu wa Wilaya, Mkuu wa Mkoa, Waziri, Waziri Mkuu, Makamu wa Rais au Rais.
Nitamkumbuka kwa taswira ile.
Acha upumbafu wewe , huyu mtu hatofautiani na shetaniUtawala mpya wa Rais Samia Suluhu Hassan leo umeangusha moja ya nguzo za katikati za urithi, legacy, ya aliyekuwa Rais John Pombe Magufuli kwa kutumbuliwa kwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya.
Kama ulipenda alichokisimamia John Magufuli pengine leo ni siku ya huzuni.
Nilimwona kwenye clip mapema mwaka huu saa sita za usiku akivamia kibanda cha mchaga kwa mbele, kwa nyuma ni ghala lenye shehena ya mzigo wa bia na mapipa ya dizeli na petroli zinazouzwa bila kulipiwa kodi, bila kutolewa risiti, bila taratibu za kuhifadhi shehena ya petroli ndani ya jengo wala bila ya usajili wa biashara zaidi ya leseni za kuuza vocha na mafuta ya taa.
Alikuwa amebeba tochi, amejikunyata kwenye kikoti cha baridi, ameambatana na afisa wa TRA, mwanahabari na askari polisi.
Sikuwahi kumwona au kusikia kiongozi wa nchi hii katika historia yake ya miaka 60 akifanya kazi nje ya ofisi kwenye giza tororo saba usiku, awe Afisa Mtendaji, Diwani, Mbunge, Mkuu wa Wilaya, Mkuu wa Mkoa, Waziri, Waziri Mkuu, Makamu wa Rais au Rais.
Nitamkumbuka kwa taswira ile.
Utawala mpya wa Rais Samia Suluhu Hassan leo umeangusha moja ya nguzo za katikati za urithi, legacy, ya aliyekuwa Rais John Pombe Magufuli kwa kutumbuliwa kwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya.
Kama ulipenda alichokisimamia John Magufuli pengine leo ni siku ya huzuni.
Nilimwona kwenye clip mapema mwaka huu saa sita za usiku akivamia kibanda cha mchaga kwa mbele, kwa nyuma ni ghala lenye shehena ya mzigo wa bia na mapipa ya dizeli na petroli zinazouzwa bila kulipiwa kodi, bila kutolewa risiti, bila taratibu za kuhifadhi shehena ya petroli ndani ya jengo wala bila ya usajili wa biashara zaidi ya leseni za kuuza vocha na mafuta ya taa.
Alikuwa amebeba tochi, amejikunyata kwenye kikoti cha baridi, ameambatana na afisa wa TRA, mwanahabari na askari polisi.
Sikuwahi kumwona au kusikia kiongozi wa nchi hii katika historia yake ya miaka 60 akifanya kazi nje ya ofisi kwenye giza tororo saba usiku, awe Afisa Mtendaji, Diwani, Mbunge, Mkuu wa Wilaya, Mkuu wa Mkoa, Waziri, Waziri Mkuu, Makamu wa Rais au Rais.
Nitamkumbuka kwa taswira ile.
Alijua halipi kodi kwa sababu leseni iliyotundikwa mbele ya kiduka ni ya kuuza vocha, vibanio vya mabutu na mafuta ya taa.Unafahamu vipi kuwa huyu halipi kodi, na mkwepa kodi anaadhibiwa vipi ikithibitika, anathibitishwa na nani kuwa ana hatia, hukumu inatolewa na nani na kwa utaratibu upi?
Ukifuata taratibu tulizojiwekea utapendwa na raia wema maana hutamwonea mtu.
Ha ha haaaaaa!, kwa hiyo Ole Lengai Sabaya alikuwa modal wako?, HahahaaaaaUtawala mpya wa Rais Samia Suluhu Hassan leo umeangusha moja ya nguzo za katikati za urithi, legacy, ya aliyekuwa Rais John Pombe Magufuli kwa kutumbuliwa kwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya.
Kama ulipenda alichokisimamia John Magufuli pengine leo ni siku ya huzuni.
Nilimwona kwenye clip mapema mwaka huu saa sita za usiku akivamia kibanda cha mchaga kwa mbele, kwa nyuma ni ghala lenye shehena ya mzigo wa bia na mapipa ya dizeli na petroli zinazouzwa bila kulipiwa kodi, bila kutolewa risiti, bila taratibu za kuhifadhi shehena ya petroli ndani ya jengo wala bila ya usajili wa biashara zaidi ya leseni za kuuza vocha na mafuta ya taa.
Alikuwa amebeba tochi, amejikunyata kwenye kikoti cha baridi, ameambatana na afisa wa TRA, mwanahabari na askari polisi.
Sikuwahi kumwona au kusikia kiongozi wa nchi hii katika historia yake ya miaka 60 akifanya kazi nje ya ofisi kwenye giza tororo saba usiku, awe Afisa Mtendaji, Diwani, Mbunge, Mkuu wa Wilaya, Mkuu wa Mkoa, Waziri, Waziri Mkuu, Makamu wa Rais au Rais.
Nitamkumbuka kwa taswira ile.
Vipi tuhuma zingine ambazo zinamuonesha kupitia cctv clip n.k akitumia UN fake car , akiwa kwenye duka moja anachukua pesa usiku, ile ya kuomba ml 5 TOKA KWA mmiliki wa hotel ile ya kitalii, watu Katwa masikio, kupigilia misumali watu , na zinge unazungumziaje,? Tusubili uchunguzi na Kama zitakua za kweli Basi kifungo Cha maisha kinamuhusu,shame on himTRA walikuwepo
Polisi walikuwepo
Afisa biashara wa Wilaya alikuwepo
Jeshi la polisi lilikuwepo
Waandishi walikuwepo.
Nani alikosekana wa kuambatana nae, international observer from the European Union?
We tapeli unajisumbua tu,we ni jambaziUtawala mpya wa Rais Samia Suluhu Hassan leo umeangusha moja ya nguzo za katikati za urithi, legacy, ya aliyekuwa Rais John Pombe Magufuli kwa kutumbuliwa kwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya.
Kama ulipenda alichokisimamia John Magufuli pengine leo ni siku ya huzuni.
Nilimwona kwenye clip mapema mwaka huu saa sita za usiku akivamia kibanda cha mchaga kwa mbele, kwa nyuma ni ghala lenye shehena ya mzigo wa bia na mapipa ya dizeli na petroli zinazouzwa bila kulipiwa kodi, bila kutolewa risiti, bila taratibu za kuhifadhi shehena ya petroli ndani ya jengo wala bila ya usajili wa biashara zaidi ya leseni za kuuza vocha na mafuta ya taa.
Alikuwa amebeba tochi, amejikunyata kwenye kikoti cha baridi, ameambatana na afisa wa TRA, mwanahabari na askari polisi.
Sikuwahi kumwona au kusikia kiongozi wa nchi hii katika historia yake ya miaka 60 akifanya kazi nje ya ofisi kwenye giza tororo saba usiku, awe Afisa Mtendaji, Diwani, Mbunge, Mkuu wa Wilaya, Mkuu wa Mkoa, Waziri, Waziri Mkuu, Makamu wa Rais au Rais.
Nitamkumbuka kwa taswira ile.
Kumbe Sabaya umeanzisha nyuzi kibao kusafisha ujambazi wakohiyo biashara ilikua inaoparate usiku,so hata miliki wake alikua hajulikani , kwamba hakuna taratibu zingine za kumkamata mchana chini ya jeshi la polis na kwenda fanya ukaguzi kwake KWA kushirikiana na vyombo vingine ikiwemo TRA n.k achana kufanya Mambo Kama vile tz haijawai kuwa na taratibu au mifumo mnatia aibu
Kwenye giza totoro ndiyo mlikuwa mnafanya yenuUtawala mpya wa Rais Samia Suluhu Hassan leo umeangusha moja ya nguzo za katikati za urithi, legacy, ya aliyekuwa Rais John Pombe Magufuli kwa kutumbuliwa kwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya.
Kama ulipenda alichokisimamia John Magufuli pengine leo ni siku ya huzuni.
Nilimwona kwenye clip mapema mwaka huu saa sita za usiku akivamia kibanda cha mchaga kwa mbele, kwa nyuma ni ghala lenye shehena ya mzigo wa bia na mapipa ya dizeli na petroli zinazouzwa bila kulipiwa kodi, bila kutolewa risiti, bila taratibu za kuhifadhi shehena ya petroli ndani ya jengo wala bila ya usajili wa biashara zaidi ya leseni za kuuza vocha na mafuta ya taa.
Alikuwa amebeba tochi, amejikunyata kwenye kikoti cha baridi, ameambatana na afisa wa TRA, mwanahabari na askari polisi.
Sikuwahi kumwona au kusikia kiongozi wa nchi hii katika historia yake ya miaka 60 akifanya kazi nje ya ofisi kwenye giza tororo saba usiku, awe Afisa Mtendaji, Diwani, Mbunge, Mkuu wa Wilaya, Mkuu wa Mkoa, Waziri, Waziri Mkuu, Makamu wa Rais au Rais.
Nitamkumbuka kwa taswira ile.
sidhan kama anafanya kazi kumkomoa mfu.Mama yetu bado anahasira na JPM! Uhakika ni kwamba ghafla atajikwaa na kuvunjika!
Halafu akafanyaje kumwajibisha? Usieleze nusunusu. Tuna taratibu na sheria ya kushughulika na majambazi ya kodi, alizifuata?Alijua halipi kodi kwa sababu leseni iliyotundikwa mbele ya kiduka ni ya kuuza vocha, vibanio vya mabutu na mafuta ya taa.
Pia alitumwa informant akapewa risiti feki, ina jina la duka lingine.
Unalipaje kodi kama biashara hujasajili ?
Unge attach na evidence zinazoonyesha ni mkwepa kodi na anamiliki nishati ya mafuta kinyume na utaratib. Mjifunze kuleta malalamiko mki attach na evidence, acheni mamb ya conspiracy theories!!!Utawala mpya wa Rais Samia Suluhu Hassan leo umeangusha moja ya nguzo za katikati za urithi, legacy, ya aliyekuwa Rais John Pombe Magufuli kwa kutumbuliwa kwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya.
Kama ulipenda alichokisimamia John Magufuli pengine leo ni siku ya huzuni.
Nilimwona kwenye clip mapema mwaka huu saa sita za usiku akivamia kibanda cha mchaga kwa mbele, kwa nyuma ni ghala lenye shehena ya mzigo wa bia na mapipa ya dizeli na petroli zinazouzwa bila kulipiwa kodi, bila kutolewa risiti, bila taratibu za kuhifadhi shehena ya petroli ndani ya jengo wala bila ya usajili wa biashara zaidi ya leseni za kuuza vocha na mafuta ya taa.
Alikuwa amebeba tochi, amejikunyata kwenye kikoti cha baridi, ameambatana na afisa wa TRA, mwanahabari na askari polisi.
Sikuwahi kumwona au kusikia kiongozi wa nchi hii katika historia yake ya miaka 60 akifanya kazi nje ya ofisi kwenye giza tororo saba usiku, awe Afisa Mtendaji, Diwani, Mbunge, Mkuu wa Wilaya, Mkuu wa Mkoa, Waziri, Waziri Mkuu, Makamu wa Rais au Rais.
Nitamkumbuka kwa taswira ile.
Shindwa Pepo!! Mlitakaje nyie? TAGA' at there best dumb ass shit!!Mama yetu bado anahasira na JPM! Uhakika ni kwamba ghafla atajikwaa na kuvunjika!
Kwani angeenda mchana hivyo vitu asingevikuta?Utawala mpya wa Rais Samia Suluhu Hassan leo umeangusha moja ya nguzo za katikati za urithi, legacy, ya aliyekuwa Rais John Pombe Magufuli kwa kutumbuliwa kwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya.
Kama ulipenda alichokisimamia John Magufuli pengine leo ni siku ya huzuni.
Nilimwona kwenye clip mapema mwaka huu saa sita za usiku akivamia kibanda cha mchaga kwa mbele, kwa nyuma ni ghala lenye shehena ya mzigo wa bia na mapipa ya dizeli na petroli zinazouzwa bila kulipiwa kodi, bila kutolewa risiti, bila taratibu za kuhifadhi shehena ya petroli ndani ya jengo wala bila ya usajili wa biashara zaidi ya leseni za kuuza vocha na mafuta ya taa.
Alikuwa amebeba tochi, amejikunyata kwenye kikoti cha baridi, ameambatana na afisa wa TRA, mwanahabari na askari polisi.
Sikuwahi kumwona au kusikia kiongozi wa nchi hii katika historia yake ya miaka 60 akifanya kazi nje ya ofisi kwenye giza tororo saba usiku, awe Afisa Mtendaji, Diwani, Mbunge, Mkuu wa Wilaya, Mkuu wa Mkoa, Waziri, Waziri Mkuu, Makamu wa Rais au Rais.
Nitamkumbuka kwa taswira ile.