Lengai Ole Sabaya na Wenzake wawili wahukumiwa miaka 30 Jela kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha

Sijapenda hukumu hii maana wasiwe wanajenga ngao ya kumfunga Mbowe na baadaye wam- pardon Sabaya na kumsamehe na kumpa cheo!
 
Hatimaye amepigwa miaka 30πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘

Safi sana huyu gaidi amepata alichokuwa akikitafuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…