Lengai Ole Sabaya na Wenzake wawili wahukumiwa miaka 30 Jela kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha

Lengai Ole Sabaya na Wenzake wawili wahukumiwa miaka 30 Jela kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha

Johnthebaptist upo ndugu,kimeumana huko *****,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Maandalizi ya kumfunga Mbowe halafu atakuja kuachiwa kwa msamaha wa rais

Wanataka kubalance Mbowe atapigwa miaka 5+ ili wamtoe baada ya uchaguzi 2025 na ndio katiba mpya itaandikwa..

Sabaya ana makosa lakini mh hii kesi yake imehukumiwa kisiasa Sana kwa sababu ya kesi ya Mbowe.

Hii Nchi inahitaji katiba huu upuuzi unaendelea. Sawa sabaya anafungwa lakini je wale aliokuwa alifanya nao uhuni ule wako wapi? Wakina Makonda na watu walioiba uchaguzi 2020 ?
 
Atapata si chini ya kifungo cha miaka mi 3 mpaka mi 5 au kulipa faini.

Atalipa faini ambayo haitazidi hata milion 6 then ataachiwa.. kuzuga atakamatwa tena kwa ajili ya mashtaka mapya.

hii case ni ya mkakati.
ni heri ufuatilie ugali wako..

Hukumu yake naifahamu.
Njoo uedit post yako
 
Wote kwa pamoja miaka 30?

Au kila mmoja miaka 30?
Unyang'anyi wa kutumia silaha ni mojawapo ya makosa ya jinai ambayo yana adhabu kubwa kwa hapa Tanzania.

Kama nakumbuka vizuri, ni miaka hiyo 30 na hakimu haamui kiwango cha miaka, akishakutia hatiani adhabu tayari inajulikana. I stand to be corrected.
 
Take a note from this post/thread, hukumu hii kuna kitu inataka kuhalalisha. Watamfunga Mbowe!
Then baadaye Sabaya will be pardoned!
Sio rahisi kihivyo.

Kesi ya Sabaya in pure internal affair.
Ya Mbowe ina taswira ya kimataifa.

La pili, angalia muktadha na hali halisi ya Kesi zenyewe. Kuna Kesi halali na ya kubumba kisiasa zaidi.

Zote zikienda kama inavyotarajiwa, mama atahesabika ndani na nje ya nchi.
 
Wote mnaofurahia msiombe siku moja ukaenda mahakamani na ujua kabisa ukweli huna kosa ila ukaenda na maji ...

Duniani hakuna mahakama ni upumbavu mtupu hakuna cha mahakama wala nini ni ujinga + ujinga ...

Sibirini ya Mbowe ndio mtajua hamjui
 
Back
Top Bottom