Lengai Ole Sabaya na Wenzake wawili wahukumiwa miaka 30 Jela kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha

Kubalansi wote Kuachiwa imeshindikana hivyo balansi inayofanyika sasa ni Wote kwenda Jela ili Jumuiya ya Kimataifa ione kuna Haki na hakuna anayeonewa Tanzania.
Ni kweli kabisa sheria ichukue mkondo wake. Majaji na mahakimu wawe huru ku dispence justice kwa mujibu wa sheria bila kuingiliwa na mamlaka nyinginezo. Wawe firm and fair
 
Kesi ya kubumba ni kazi sana kumtia mtu hatiani...so far hata kama hujui sheria unaelewa hamna kitu mule.
Wale kina Kingai wamefanya uhuni.
 
support! well narrated! Thanks!
 
Mbowe hawezi kufungwa kwasababu hakuna ushahidi wa kumfunga. Labda itumike siasa. Ole sabaya kavamia duka la watu na silaha na kachukua fedha na ushahidi upo wazi mlitaka waachiwe?
 
Imenikumbusha uoinzani walirejeshewa ushindi wa uchaguzi kwa wabunge wao mahakamani! Kilichofuatia, rufaa za chama dola nazo zikashinda, kuna mazingira yalitengenezwa watu wakaingia king.

Lakini sio mara zote mambo yataenda kama tunavyowaza, kwanini isiwe mahakama imeamua kufanya kazi yake kwa weledi bila kuingiliwa kwenye maamuzi yake ili wakandamizaji waliojitutumua wapate haki yao?

Subira yavuta heri
 
wote mnaofurahia msiombe siku moja ukaenda mahakamani na ujua kabisa ukweli huna kosa ila ukaenda na maji ...

duniani hakuna mahakama ni upumbavu mtupu hakuna cha mahakama wala nini ni ujinga + ujinga ...

sibirini ya Mbowe ndio mtajua hamjui
Kajambe mbele huko.au kama unamuonea huruma sana nenda kamsaidie. Au mlikua wote kwenye ujambazi nini
 
Ana wakati mgumu sana hili tukio limemkuta ghafla hakutegemea, alijua atalindwa na mamlaka mpaka mwisho wa safari kumbe hakuwa akilindwa na mamlaka bali alikuwa akilindwa na mtu mmoja ambae kwa sasa ni marehemu, amejikuta yuko peke yake mahakamani asijue la kujitetea ndio maana ameongea vitu vinavyoonekana vya ajabu.
 
Kubalansi wote Kuachiwa imeshindikana hivyo balansi inayofanyika sasa ni Wote kwenda Jela ili Jumuiya ya Kimataifa ione kuna Haki na hakuna anayeonewa Tanzania.
Acha ramli chonganishi Genta, kabla ya Sabaya yupo aliyevunja Green house, huyo ni spare, Huyo akavuka mipaka akaamua kuanza na wanaomsaidia aliyepachikwa Ugaidi, mwishowe baada ya mfungwa kuona au kuhisi ameishiwa nguvu usaidizi was wanaPGO ukaingilia kati wakiamini wanemazila Mbowe Kwa kumbambikia ugaidi na ndio uiuwa chadema na ndio kunfurahisha, au kumharibia mwenye mamlaka, mlicholenga mnajua wenyewe. Funzo msikariri mambo, hii Dunia niya Mola.
 
Swala ni kwamba Sabaya kala Masika 30 over.
 
Duh kwamba mahakama inacheza na hisia sio facts
 
Reactions: BAK
Hakuna ushahidi wa kumtia Mbowe hatiani. Mahakama haipaswi zifanye kazi zake kisiasa kwamba kwa kuwa huyu mhuni Sabaya kafungwa basi na Mbowe ni lazima afungwe.

Kubalansi wote Kuachiwa imeshindikana hivyo balansi inayofanyika sasa ni Wote kwenda Jela ili Jumuiya ya Kimataifa ione kuna Haki na hakuna anayeonewa Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…