Lengai Ole Sabaya na Wenzake wawili wahukumiwa miaka 30 Jela kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha

Nafasi unayoichukua kuipa pole familia ya ole sabaya n matumizi mabaya ya nafasi.
 
Yuko sahihi kabisa,nadhani alikua anamaanisha Mungu Jiwe.
Ambae yeye alikua anamwabudu.
 
Hatari sana kwa kweli. Miaka 30 si utani. Leo wazazi wake sidhani kama watkaa kwa amani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…