Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Mama ameapa kusimamia katiba na haki.Akiachiwa nitaamini kuwa hakuna HAKI hapa.
Kama lema eeh, kamwachia msala Mbowe!!? Yeye yupo Canada sasa!Angeliyajua mapema angetoroka nchi maana alikua na madolali ya kutosha.
Hahaaaaa!!!chali kifo cha Mende, nyang'any'any'a!!!sasa kazi tuna muachia BABA NYAMPALA huko, tuna mtakia kila raheli, ndio mjifunze kuishi kwa kumtegemea mfadhiri!!kuna muda mfadhiri anaondokaYote kwa yote, huo ndio ukweli mchungu, kwa upande mmoja gaidi anayetuhumiwa kutaka kuua viongozi akishirikiana na Makomando akionekana Ana hatia ndio Hahàaaaa maana gaidi atakuwa sehemu salama zaidi mbali na viongozi, pia upande mwingine wa shilingi akionekana hana hatia tutamuachia pia maana usalama wake utakuwa umehakikishiwa, its just the matter of clarifying all possible doubts before releasing the baby…
Kumbuka na mashada kwenye tomb of baby’s dad tumeweka juzi tu, picha la kihindi flani hi
Kwahiyo Mungu alikuwa kazini na wazungu waliowatawala na kuwanyonya kupitia dini?... mjinga yule! Mungu hawi kazini na majambazi!
Subiri tuone...maana gaidi ni zaidi ya jambaziMbowe alipora wapi ?
Akiachiwa Mbowe haki itakuwepo. Mpaka sasa hatuna bado imani na CCMMama ameapa kusimamia katiba na haki.
Vipi sasa unaamini nini sasa hivi?? Haki ipo Tanzania au haipo??
Huna hoja , kumfananisha Sabaya na Mbowe ni sawa na kuwatukana wazazi wakoSubiri tuone...maana gaidi ni zaidi ya jambazi
Chadema bhana 😁😁 mkishikwa mnaonewa ila wengine wakishikwa ni haki zaoMbowe afungwe kwa ushahidi gani ww kimba, huu wa kutunga wa kina kingai!!
Tatizo binadamu wa saizi wabishi Sana!One man down, I repeat one man down...
Chombo hiki kukimaintain mjini silaha za moto na taskforce vinahusika aisee! Sio mchezo.Chombo Kiko freeView attachment 1975650
Wahuni watambandua mpaka sabaya anatoka atamkuta na watotoBinti mrembo hakikaView attachment 1975549
Mkuu nawezaje kufungua attachment kupitia jamii forums app?Msaada please.
Nafurahi sana mtu akini-tag inaonyesha ni kiasi gani ujumbe wangu unavowafikia huko kunako.Mimi ninaowaonea huruma ni...matakataka na machozi ya samaki.
Ezekiel Mbaga
Crimea
johnthebaptist
Idugunde
Mudawote
Kinuju
Jumbe Brown
Naipendatz
GENTAMYCINE
Na orodha itaendelea...wako wengi ilitakiwa wafukuliwe na kuunganishwa kwenye hii kesi...
Mama ameapa kusimamia haki.Akiachiwa Mbowe haki itakuwepo. Mpaka sasa hatuna bado imani na CCM