Lengai Ole Sabaya na Wenzake wawili wahukumiwa miaka 30 Jela kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha

[emoji28][emoji28]nimecheka kama mazuri.wanasheria wa huyu mwamba wali fail wapi
 
Utoto ulikuwa unamsumbua, they were and are still young to hold such positions. Kama ingelikuwa siyo kuwatesa/kuwa na kuwaibia watu, I would pardon him due to his young age!
Young age!??? Come-one!! Miaka 35 unashindwaje kuongoza wilaya? Young age ndo inampeleka kwenda kulazimisha kwa kutumia silaha? Tatizo ni moja: Mfumo uliotumika kumuweka kwa hiyo nafasi, pamoja na kutoact timely pale ilipoonekana anatenda masuala ambayo siyo mazuri sana na hakuchukuliwa hatua--- Kama mfumo ulikosea wakati wa vetting, basi alitakiwa kubadilishwa mapema kabisa---Hakuna factor ya young age kabisa hapo!!!
 
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Kosa la unyanganyi na kutumia silaha miaka 30 huyu kijana kuna kosa alimfanyia mama nadhani ndio maana ameadhibiwa kiasi hicho sio bure kabisaa.....Ila mama na yeye afahamu yeye mtu wa dini....
 
Sijapenda hukumu hii maana wasiwe wanajenga ngao ya kumfunga Mbowe na baadaye wam- pardon Sabaya na kumsamehe na kumpa cheo!
Mwanaccm Sabaya ameshitakiwa kwa makosa ya kweli , Mbowe kesi yake ni ya uongo
 
Mama mwaka 2025 anaondoka hapo alipo sio Rais sio chochote....
 
Ila mama hapa amecheza vibaya sana maana anataka aonekana yeye mtu mzuri aje kusema kesho kwamba jamaa aachiwe....timeshajuwa huo mchezo tayari anatafuta ufahari wa kijinga tu
 
Lipo jambo la kujifunza. Kwa viongozi, mnaweza kuwamiza sana viongozi kwa chini kutekeleza kazi majukumu yao. Kwa viongozi wa chini, fanya yaliyo katika majukumu yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…