Lengai Ole Sabaya na Wenzake wawili wahukumiwa miaka 30 Jela kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha

Hio Ni tabasamu la wkt akijiandaa kwa chuma mboga kutoka kwa mnyapara.
 
List ya wahalifu ni ndefu

1. Gambu
2. Hapo
3. Ogundi
4. Muroti
5.etc
 
Nyie si ndio mlikuwa.mnampa kichwa Makonda na Sabaya. Leo akili zimekurudi??

wenzako

Magonjwa mtambuka
Stroke
TumainEl
countrywide
Mudawote
KaweAlumn
jabali la siasa
Neipendatz
Johnthebabtist
Pascal Mayalla
kajekudya
Mtanzania2015
Magu
etc
 
May be mungu wa chato
 
Hafungwi mtu hapo kwa ufala wao unaleta utabiri wa kijinga pasipo kutambua kuwa mbowe anaonewa hana hatia yeyote
 
Msamaha wa raisi hauwahusu wenye unyanganyi wa kutumia silaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…