Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
This time hata uvccm watatusapotiTayari huyo Jaji ameshapewa cheo katika mazingira ya kustaajabisha sana na yule Jaji Mkuu wa bi bi sii, na wakati mchakato wa kesi ukiendelea!
Na mbaya zaidi yule Jaji wa bi bi sii alitamka hadharani makosa feki ya mtuhumiwa, na kuiambia dunia ya kwamba watuhumiwa wenzake tayari walisha hukumiwa kitambo! Hivyo bado zamu ya Kamanda tu.
All in all, mpaka hapa tulipofikia, Katiba Mpya haikwepeki.