Lengai Ole Sabaya na Wenzake wawili wahukumiwa miaka 30 Jela kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha

Lengai Ole Sabaya na Wenzake wawili wahukumiwa miaka 30 Jela kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha

Sabaya anatolewa kwa rufaa, hapo serikali imeshacheza karata zake. Kwenye rufaa mahakama itatengua hukumu hio. Huyu alitakiwa apigwe risasi mbele ya halaiki pale askari monument mchana kweupe. Iwe fundisho kwa wengine kama kina Paulo.

Subirini muone. Hii nchi ni ya kishenzi sana kwenye swala la haki.
Kwani sheria zetu zinaruhusu public execution kwa makosa ya armed robbery?
 
hapa ndipo wabongo mnakosea. kuichukulia poa mahakama. who is the so called 'mama' kwa mahakama? mahakama ni muhimili unaojitegemea, full stop. hata huyo 'mama' akijichanganya kuna siku atapanda kizimbani vizuri kabisa.

hajatokea tu wa kumshitaki makonda na hii ni kwa sababu maeneo aliyokuwa anafanya uhalifu wake yamejaa watu wazembe wasiojielewa, sifuti kauli. fikiria clouds alipovamia na mitutu ya bunduki ni na nani mwenye ubavu wa kupeleka shauri mahakamani wakati CMG nzima ni watu wa kujipendekeza kuanzia management mpaka wafanyakazi?

watu wa Kanda ya Kaskazini wametukumbusha tena kwa mara nyingine namna wanavyojielewa.
Acha fix wewe ni nani aliyempeleka sabaya kizimbani kama sio "mama"
 
Ya Mungu mengi
Screenshot_2021-10-16-07-22-36-98.jpg
 
Sabaya Kala 30 huko!!..Mbowe bado kesi iko mahakamani!!..Msaidieni General Sabaya aliyekiri Makosa na kuomba apunguziwe Adhabu kisa ametoa mahali Kwa mtoto wa Mjini (slay queen)
Mbowe akikutwa na hatia je? adhabu yake ni kifungo cha maisha au kunyongwa?
funzo;
wanasiasa fanyeni siasa za kistaarabu na kutunza amani ya nchi.
leo hii tumeona haki imetolewa kwa sabaya.
bado kwa mbowe.
 
Hatimaye haki imetendeka twende kwa akina Makonda na wenzao sasa tuje tumalizie na jpm.
 
Yule aliye jiachia na kutoa maelezo ya uongo na ya kufikirika wakati anahojiwa na Kikeke, alipata wapi hayo mamlaka.

Hivi kuna asiyefahamu kweli kama hii kesi ni ya kupikwa!!
Mimi nazungumzia mwenendo wa kesi inavyoendeshwa sijazungumzia vingine
 
hapa ndipo wabongo mnakosea. kuichukulia poa mahakama. who is the so called 'mama' kwa mahakama? mahakama ni muhimili unaojitegemea, full stop. hata huyo 'mama' akijichanganya kuna siku atapanda kizimbani vizuri kabisa.

hajatokea tu wa kumshitaki makonda na hii ni kwa sababu maeneo aliyokuwa anafanya uhalifu wake yamejaa watu wazembe wasiojielewa, sifuti kauli. fikiria clouds alipovamia na mitutu ya bunduki ni na nani mwenye ubavu wa kupeleka shauri mahakamani wakati CMG nzima ni watu wa kujipendekeza kuanzia management mpaka wafanyakazi?

watu wa Kanda ya Kaskazini wametukumbusha tena kwa mara nyingine namna wanavyojielewa.
Unasema mahakama ni muhimiri unaojitegemea, hapo hapo unauliza nani wa kupeleka shauri la Makonda mahakamani?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwani hizo hukumu huwa zinatolewa bila ushahidi usiotia shaka kukamilika?.Kama mtu kahukumiwa isivyostahili kila mtu ataona na ikitokea kahukumiwa kihalali kila mtu ataona.Hila zipo na haki ipo.Haki haijawai kufichwa labda kucheleweshwa.kwahiyo acha wanaotoa mawazo yao wawe huru haijalishi wanayatoa kwa mtazamo gani.
Ukisha amua kua upande fulani hata ushahidi huwezi kuukubali,hilo mbona lipo wazi? Au umeamua tu kukaza kichwa?
 
Mbowe akikutwa na hatia je? adhabu yake ni kifungo cha maisha au kunyongwa?
funzo;
wanasiasa fanyeni siasa za kistaarabu na kutunza amani ya nchi.
leo hii tumeona haki imetolewa kwa sabaya.
bado kwa mbowe.
 
Huruma ya nini kwani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dada saivi nipo hapa Maji ya Chai Meru DC naulizia nyumba ya binti najua ashalipiwa mahari so tunazungumza tu tuyamalize binti hawezi enda EDA
IMG-20211016-WA0004.jpg
 
Unasema mahakama ni muhimiri unaojitegemea, hapo hapo unauliza nani wa kupeleka shauri la Makonda mahakamani?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
mahakama haihamasishi wenye mashauri kufungua kesi. hiyo haijalishi kama ni huru au siyo huru.
 
Back
Top Bottom