Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
This time hata uvccm watatusapotiTayari huyo Jaji ameshapewa cheo katika mazingira ya kustaajabisha sana na yule Jaji Mkuu wa bi bi sii, na wakati mchakato wa kesi ukiendelea!
Na mbaya zaidi yule Jaji wa bi bi sii alitamka hadharani makosa feki ya mtuhumiwa, na kuiambia dunia ya kwamba watuhumiwa wenzake tayari walisha hukumiwa kitambo! Hivyo bado zamu ya Kamanda tu.
All in all, mpaka hapa tulipofikia, Katiba Mpya haikwepeki.
He was acting like "olayoni botor"Sisi Waarusha wenzake jamaa ametu let down sana ila ndio hivyo tena kila mtu huvuna alichopanda.
Hata kamba za viatu huwa zinafungwaga tuKufungwa kitu gani bana hata R Kelly amefungwa
Well said ChaliiYeremia 17: 5-6
5 BWANA asema hivi, Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake. Na moyoni mwake amemwacha BWANA.
6 Maana atakuwa kama fukara nyikani,
Hataona yatakapotokea mema; Bali atakaa jangwani palipo ukame, Katika nchi ya chumvi isiyokaliwa na watu.
jamaa ana dharau sana, refer alivyomdharau RC mama Mghwila mbele ya media kbsInaonekana Sabaya alimuonyesha dharau mama , maana Makonda yupo tu anadunda
Dah kwamba atatoka akiwa na 54 ...Alie kwambia wanachukua 30/2 ni nani mkuu.
Huwa iko hivi wanachukua thelusi mbili ya kifungo chote yaani 2/3 soo hapo atakaa 20 years
Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
Mbowe ndiye anasubiri hukumu ya aidha kifungo cha maisha au kunyongwa! Asikwambie mtu, ugaidi mbaya sana!Anyongwe😂😂
Eti mwisho wa Tz kwenye international relation, mnajijazaga uongo na ujinga.Huyo Jaji atakayemfunga Mbowe atakua mpuuzi wa mwisho na ndio mwisho was Tanzania kwenye international relation
Vipi bablai uko fresh mkuu?Hata kamba za viatu huwa zinafungwaga tu
hapa ndipo wabongo mnakosea. kuichukulia poa mahakama. who is the so called 'mama' kwa mahakama? mahakama ni muhimili unaojitegemea, full stop. hata huyo 'mama' akijichanganya kuna siku atapanda kizimbani vizuri kabisa.Inaonekana Sabaya alimuonyesha dharau mama , maana Makonda yupo tu anadunda
Mda ni mwamuzi mkuuHuyo Jaji atakayemfunga Mbowe atakua mpuuzi wa mwisho na ndio mwisho was Tanzania kwenye international relation
Kwani hao tu. Wakati wa mwendazake ma RC na ma DC walikuwa kama wamepandwa vichaa. Sema wengine walikuwa maeneo ya watu wasiosema sana.Bado Bashite maana wote ni MAJAMBAZI.
Ninazo ndio maanaa nakwambia hivi mbowe hajakula njama na wala sio gaidi kama umemezeshwa huwo upumbavu hapo lumumba pole sana.
Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
Niko gudiVipi bablai uko fresh mkuu?
Nafurahi kusikia mkuu.Niko gudi
Nampa pole sana huyu binti maana nshafika Arusha nimtoe out [emoji41][emoji41]Aliyekuwa Dc wa Hai Ole Sabaya baada ya kuhukumiwa amewatoa wasiwasi wafuasi wake kwa kuwapa kauli ya kiroho , Amesema hivi , Nanukuu , MSIJALI MAANA MUNGU YUKO KAZINI , Mwisho wa kunukuu .
Chanzo : Mwananchi
Nachukua nafasi hii mimi binafsi kuipa pole sana familia ya Ole Sabaya kwa shida iliyotokea kutokana na hukumu aliyopewa kijana wao .