Lengai Ole Sabaya na Wenzake wawili wahukumiwa miaka 30 Jela kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha

Tusishangae akipewa kifungo kifupi sana au hata kifungo cha nje na faini juu. Hizi mahakama zetu sina imani nazo kwani maamuzi yake yana harufu za kisiasa.

 
Shule ya kata matunda yake, I am sorry anyway!
Tusamehe mkuu sio makosa yetu ni CCM ndio inataka tuwe wajinga ili itutawale. Na imetupata tupo wengi kweli tuna Akili lakini akili zetu zenyewe hazina akili😂😂😂
Nyerere day tukiweka mauwa kwa kaburi la baba wa Taifa.👇🏾



 
Ngoja tuone naona ulinz mkali Sana mabunduki kila kona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…