Lengai Ole Sabaya na Wenzake wawili wahukumiwa miaka 30 Jela kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha

Kabisa. Nami nauona mtazamo wako
 
Wakiamua kumwachia labla ahame chuga !!
 
sasa si itakuwa haina maana, wamshitaki wao then wamwachie wao si kuchoshana tu huko.
 
Mbona inaenda haraka Sana kwann isiiende taratibu kama ya wazee wa escrow na uhamsho
 
hatimae amefungwa kama samaki mkavu alie tiwa chumvi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…