Lengai Ole Sabaya na Wenzake wawili wahukumiwa miaka 30 Jela kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha

wansema jamaa (General, field marshal the last king of scotland, The Northern zone conquerer ) Ole Sabaya alizimia ikabidi wasimame
 
Ccm inawalinda wahalifu haiwezi mtosa ccm mwenzao,tena aliyewasaidia kumuangusha Mbowe.Ukiona kesi inaenda mbio mbio jua hamna kitu hapo.
 
Ujambazi wa kutumia silaha una faini ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…