Lengai Ole Sabaya na Wenzake wawili wahukumiwa miaka 30 Jela kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha

Lengai Ole Sabaya na Wenzake wawili wahukumiwa miaka 30 Jela kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha

Mungu amtie nguvu kijana ole ....kama alizingua lazima ile kwake...ila la msingi haki itendeke
Alivyotesa watu hukusema Mungu amtie Nguvu. Mungu sio kama Athumani . Apewe miaka yake 15 gerezani basi
 
Hakimu anasema kimsingi mahakama imeshawishika na kukubali kwamba Sabaya na wenzake walivamia duka, kupora fedha na walikuwa na silaha
 
1634307297224.png
 
Mahali wala asikonde, wakumwolea, wakutoa msaada na hata mtunzo mbona wapo wengi wa kumwaga 😁😁
Mtamdhulumu namna hiyo na kumwongezea maumivu ya malipo ya madhambi aliyokutwa nayo kama ikitokea amethibitika kutenda kosa/makosa.
 
Back
Top Bottom