Lengo kuu la Bima ya Afya kwa Wote inayopendekezwa ni kwa Serikali kukusanya mapato zaidi

Lengo kuu la Bima ya Afya kwa Wote inayopendekezwa ni kwa Serikali kukusanya mapato zaidi

M
1. Unaelewa tofauti ya bima hii na malengo ya bima hii kama nilivyokutafadhalisha mara kadhaa hapo awali?

2. Tunaweza kujielekeza kwenye tatizo halisi kwa lengo la kujadiliana kistaarabu badala ya kuruka ruka huku na kule na kuitana majina ya ajabu ajabu hali hatujuani?

Labda tuanzie hapo?
Sera ya bima ya afya na malengo yake yote yamedadavuliwa kwenye muswaada wake. Ndio maana nikakuuliza umeusoma naunaweza kudadavua hiyo sera ya bima ya afya kwa wote. Huwezi kukimbilia malengo kama hujui unachokifanya ni nini, sasa tunaomba utuelezee hiyo sera ya bima ya afya kwa wote ikoje. Kama huwezi au hujui basi still wewe ni mshabiki. Ukikimbilia kusoma malengo kumbe hata concept yenyewe huijui basi hutumii busara. Idadavue hiyo sera na mimi nitakujibu maswali yako kwanini malengo yake yapo ivyo kama wewe mwenyewe utashindwa kung'amua.
 
M

Sera ya bima ya afya na malengo yake yote yamedadavuliwa kwenye muswaada wake. Ndio maana nikakuuliza umeusoma naunaweza kudadavua hiyo sera ya bima ya afya kwa wote. Huwezi kukimbilia malengo kama hujui unachokifanya ni nini, sasa tunaomba utuelezee hiyo sera ya bima ya afya kwa wote ikoje. Kama huwezi au hujui basi still wewe ni mshabiki. Ukikimbilia kusoma malengo kumbe hata concept yenyewe huijui basi hutumii busara. Idadavue hiyo sera na mimi nitakujibu maswali yako kwanini malengo yake yapo ivyo kama wewe mwenyewe utashindwa kung'amua.

Umeshindwa kujibu lolote ili kuweka msingi wa majadiliano yoyote kuwa yenye tija.

Yalikuwapi maswali matatu pale. Ulijibu hata moja?

Tunayo taabu na serikali hii na mengi ya inayoyaleta kupitia mashinikizo. Bima ya afya kwa lazima ni moja ya yaliyo na ukakasi.

Usingependa manung'uniko yetu ikiwamo ya bima hii kusikilizwa au hata kupatiwa ufumbuzi ikibidi?
 
Bima bi muhimu sana. Unless hayajakukuta
Inategemea unazungumzia aina gani ya Bima na aina ya ugonjwa. Mfano una tatizo la Figo au kansa na bima yako ni CHF iliyoboreshwa au NHIF utapata hayo matibabu?
 
Unachoongea kuhusu ufisadi ni kweli ni tatizo katika mfuko wa NHIF. Lakini bima ya afya inayosimamiwa na serikali ni nzuri na ni muhimu. Makampuni ya binfasi yanakamua zaidi. Serikali ilifanya jambo jema sana kuanzisha NHIF.

Kwa hiyo ukiona afya ni jambo la muhimu kwako na uwezo wa kukata bima ya NHIF unao kata. Hakuna mfuko mwingine wa bima nchin Tanzania unaotoa thamani nzuri ya pesa zaidi ya NHIF.

Kutibiwa sio mpaka uende Muhimbili. Magufuli alishasambaza huduma maeneo mengi. Kuna hospitali nyingi za kisasa za Rufaa alijenga kwenye mikoa mbalimbali.
Hivi hospital ni nini? Ni Majengo makubwa makubwa peke yake?
 
Bima ya afya aitolewi na NHIF pekee tafuta bima nzuri kwaajiri yako na familia yako bima ni muhimu sana unaongea hayo nadhani ujawahi kuuguza
Ungesoma uzi kwa utulivu ungeelewa mwandishi anachokisema,umeisoma kwa kukimbia hujaelewa maana.
 
Unachoongea kuhusu ufisadi ni kweli ni tatizo katika mfuko wa NHIF. Lakini bima ya afya inayosimamiwa na serikali ni nzuri na ni muhimu. Makampuni ya binfasi yanakamua zaidi. Serikali ilifanya jambo jema sana kuanzisha NHIF.

Kwa hiyo ukiona afya ni jambo la muhimu kwako na uwezo wa kukata bima ya NHIF unao kata. Hakuna mfuko mwingine wa bima nchin Tanzania unaotoa thamani nzuri ya pesa zaidi ya NHIF.

Kutibiwa sio mpaka uende Muhimbili. Magufuli alishasambaza huduma maeneo mengi. Kuna hospitali nyingi za kisasa za Rufaa alijenga kwenye mikoa mbalimbali.
Kama hizo hosipitali zilizojengwa kila kanda ziko vizuri, iweje viongozi wanaenda kutibiwa nje ya nchi?
 
Ndio nikakuuliza umesoma sera ya bima ya afya kwawote inavyooperate. Acha ushabiki boss. Naunajua nini maana ya bima ya afya??? Unajua hayo malengo yamekadiliwa kutokana na takwimu gani chief au umekariri kila kitu ni wizi. Yaani mtanzania anaweza kuwa hajui bases ya kitu lakini akakipinga au kukisema bila kujua😂😂😂. Yaani hujui malengo uliyoyasikia hukujaribu kuuliza kwanini waliyaweka malengo hayo bali unakimbilia kupinga. Unajua hii bima ya afya hapa Tanzania ni rafiki sana nahaiendi kibiashara. Unajua operation cost chief inayotumika per month acha per year kulipa zahanati, vituo vya afya na hospitali kila mwezi na bima. 😂😂😂😂 chief, ninachokwambia tu acha propaganda utaumia sana. Pili kama wewe ni mwerevu nenda kasome concept ya cost sharing kwaupanda wa health sector ni moja ya nguzo ya hiyo sekta. Isome vizuri ndiyo utajua maana ya bima. Acha propaganda
Uzuri wa sera siyo lazima ziaksi huduma bora. Mifuko ya pension ilivyokaribia kufa ilikuwa ni kwa sababu ya kukosa sera nzuri?
 
Uguza kwa Cash for one year then lete mrejesho kwenye uzi wako .... Ndugu wanakimbia wagonjwa mahospitalini huko . Bima ya Afya siyo lazima uugue ndio ukate ... inaitwa cost sharing ... walio wazima na wagonjwa mnachangiana katika matibabu coz hata wale wazima wanaweza kuwa wagonjwa muda wowote hivyo changa kabla hujachangiwa.

Bahati mbaya umelielewe in different point of view ... lakini lengo ni zuri... unahitaji msuri wa kifedha kuendesha huduma za Afya kwa community yotee.
 
Back
Top Bottom