Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
This is fact and realitity!
Kiu ya chadema ni kuona vifungu vichache vya katiba vikibadilishwa wakifikiri huenda ndio kikwazo kwao katika kukamata dola, pigano lao kubwa zaidi ndani ya katiba yetu ni uwepo wa tume huru ya Uchaguzi wakidhania kwa fikra zao mfu ya kwamba utaratibu uliopo unawakandamiza, ni vyema elimu ya katiba iliyopo ikasambazwa ili kila mtanzania aisome kwa kina na Kuielewa kwanza ili tutakapoitengeneza mpya 2030 iendane na utanzania wetu pia isije kuwa tatizo ndani ya Taifa letu kwa kuwa chanzo cha mvugano ndani ya Taifa letu,
Alamsiki.
Kiu ya chadema ni kuona vifungu vichache vya katiba vikibadilishwa wakifikiri huenda ndio kikwazo kwao katika kukamata dola, pigano lao kubwa zaidi ndani ya katiba yetu ni uwepo wa tume huru ya Uchaguzi wakidhania kwa fikra zao mfu ya kwamba utaratibu uliopo unawakandamiza, ni vyema elimu ya katiba iliyopo ikasambazwa ili kila mtanzania aisome kwa kina na Kuielewa kwanza ili tutakapoitengeneza mpya 2030 iendane na utanzania wetu pia isije kuwa tatizo ndani ya Taifa letu kwa kuwa chanzo cha mvugano ndani ya Taifa letu,
Alamsiki.