Lengo la dhati la chadema si katiba, bali vifungu ndani yake vitakavyowasaidia kushinda

Lengo la dhati la chadema si katiba, bali vifungu ndani yake vitakavyowasaidia kushinda

Na lengo la CCM ni kuhakikisha katiba haibadiliki ili iendelee kukaa madarakani?
Wewe unaomba CCM wakupe katiba mpya il uwatoe madarakani ?

ni sawa na mfungwa kuomba Bwana jela amfungulie geti atoroke kwa kuwa tu kesi aliyofungiwa ni ya dhulma
 
Ulishawahi kuiona hardcopy ya katiba ya Tanzania? Kwa Nini hakijawahi kuwa sehemu ya masomo kawaida hapa nchini,kwa Nini hawakutaka tuifahamu kwa miaka yote hii Hadi kuifikia Leo Kuna watu wanataka tusomee katiba kwa miaka mitatu! Sasa tujuze na kwa upande huo wana Nia gani? Na kwa Nini wanadhani kuwa hatujui?
Mna download mambo mengi yasiyo na maana downl utaipata Google!
 
Mna download mambo mengi yasiyo na maana downl utaipata Google!
Kwa Nini iwe lazima google, ni WA Tanzania wangapi Wana google? Kwa hiyo tutegemee kugoogle pia wakati tunasomea katiba miaka mitatu? Hivyo vishikwambi kwa Kila mtanzania vipo?
 
Kwa Nini iwe lazima google, ni WA Tanzania wangapi Wana google? Kwa hiyo tutegemee kugoogle pia wakati tunasomea katiba miaka mitatu? Hivyo vishikwambi kwa Kila mtanzania vipo?
Kuna mpango sahihi wa serekali utakufikia hapo ulipo na kwa kila mtanzania, sisi tuna Google kwa sababu hujibidisha kutafuta mambo wenyewe
 
Wananchi
Kenya mpk wameuana imewasaidia nini?Katiba ni kwa manufaa ya Wanasiasa tu
Hivi Kenya ni nchi pekee Duniani kuwa na Katiba mpya?! Kwanini mnapendaga kurejea Kenya kuonesha kuwa Katiba ni kijitabu tu? Kwamba iwe mpya au ya zamani haina impact yoyote kwenye maendeleo ya Nchi?!
Nchi nyingi Duniani zilipitia upya Katiba zao ili ziwe bora zaidi. US, nchi za Ulaya n.k n.k. Hapa Tanzania kuwa na Katiba mpya ni kama uhaini
 
katiba inahitajika mapema sana kabla ya izo ratiba walizoziweka watawala yaani hatuna haja ya kusubiri .
maana wao hawaitaki sisi wananchi tunaitaka
 
Wewe unaomba CCM wakupe katiba mpya il uwatoe madarakani ?

ni sawa na mfungwa kuomba Bwana jela amfungulie geti atoroke kwa kuwa tu kesi aliyofungiwa ni ya dhulma
Sina popote ninapoomba katiba kwa ccm. Na katika vitu sipendi ni huo upuuzi uitwao maridhiano. Ninaamini katiba ya wananchi itapatikana kwa machafuko, ama mapinduzi ya kijeshi. Huu ni msimamo wangu wa siku zote na sio hayo maridhiano uchwara.
 
Watu wengi sana ishu ya katiba inawapiga chenga sana hata hawaelewi katiba nani yupo nyuma yake!!

Ishu ya katiba sio ya chadema wala ccm wala CHAMA CHOCHOTE cha SIASA!

Ishu ya katiba ni ya deep state ndio imeamua katiba mpya ipatikane !hao CCM na chadema wanatumika tu kupatikana KWAKE japo hawapendi!!

Katiba mpya itapatikana hata kama ccm na chadema watataka keep yawana vyeo vya mchongo lakini hakuna uchaguzi hola katiba mpya!!

Chukua hiyo,hao wote wanaojiona wanaweza chezea mchakato ni dhahiri shahiri utakua too late kwao kabla hawajaondoshwa!!!

Na ndivyo ilivyo wataondoshwa co wame chezea mchakato na kuingiza mambo yao binafsi ya kusaka madaraka!!!

TUSUBIRI tuone!!
This is fact and realitity!
Kiu ya chadema ni kuona vifungu vichache vya katiba vikibadilishwa wakifikiri huenda ndio kikwazo kwao katika kukamata dola, pigano lao kubwa zaidi ndani ya katiba yetu ni uwepo wa tume huru ya Uchaguzi wakidhania kwa fikra zao mfu ya kwamba utaratibu uliopo unawakandamiza, ni vyema elimu ya katiba iliyopo ikasambazwa ili kila mtanzania aisome kwa kina na Kuielewa kwanza ili tutakapoitengeneza mpya 2030 iendane na utanzania wetu pia isije kuwa tatizo ndani ya Taifa letu kwa kuwa chanzo cha mvugano ndani ya Taifa letu,
Alamsiki.
Uma yake!!
 
Wananchi
Kenya mpk wameuana imewasaidia nini?Katiba ni kwa manufaa ya Wanasiasa tu

Wewe wasema. Kenya wameuana kwa ujinga wa Kibaki kuiba kura. Halafu katiba mpya Kenya imewasidia Sana, kwa Sasa Jaji mkuu anafanyiwa usaili live citizen tv, wakati huku Jaji mkuu anaongezewa muda kinyemela.
 
This is fact and realitity!
Kiu ya chadema ni kuona vifungu vichache vya katiba vikibadilishwa wakifikiri huenda ndio kikwazo kwao katika kukamata dola, pigano lao kubwa zaidi ndani ya katiba yetu ni uwepo wa tume huru ya Uchaguzi wakidhania kwa fikra zao mfu ya kwamba utaratibu uliopo unawakandamiza, ni vyema elimu ya katiba iliyopo ikasambazwa ili kila mtanzania aisome kwa kina na Kuielewa kwanza ili tutakapoitengeneza mpya 2030 iendane na utanzania wetu pia isije kuwa tatizo ndani ya Taifa letu kwa kuwa chanzo cha mvugano ndani ya Taifa letu,
Alamsiki.
Siyo kwamba katiba nzima ni mbaya Ila kuna vifungu vinapaswa kuondolewa, vingine kurekebishwa na vipya kuingizwa. Sijuhi wewe unaewalaumu Chadema unatakaje? Si Chadema pekee wenye uitaji wa katiba mpya bali ni wananchi wote. Umeandika kishabiki, wewe tuambie ni chama gani cha siasa kisichotaka kushinda uchaguzi?
 
Back
Top Bottom