Kalaghabaho na ujuaji wako
MzeeSema wewe Mimi hopes hazijafa nimeona fursa kibao ndani bajeti hiyo bajeti mipesa yote hiyo Kama wewe huoni fursa kwenye hiyo bajeti wewe hata Mungu hawezi elewa akusaidiaje
YEHODAYA,
Usome kwa mwaka mmoja? Shida ya bajeti zenu hazina projection ya miaka mingi. mwaka huu wako hapa mwaka mwingine wako kuleee. huoni utajikuta shule kila mwaka?
No comment! Over.Waulize waliokimbilia kusoma petroleum engineering wako wapi leo, kamwe usisome kwa kufuata sera za CCM kwakua siku zote hua hazina dira wala mwelekeo.
Hapa ndio nimekuelewa vizuri kuwa wewe Ni maskini wa kutupwa kazi ya bajeti ya serikali Ni kumwaga pesa kwa watu kupitia huduma mbali mbali inazohitaji iwe mafuta ya magari yake muuza mafuta utapata pesa,iwe miradi ya ujenzi ya serikali unajua tenda za vifaa vya ujenzi pesa hiyo,iwe ujenzi wa maabara unajua pesa ya ku supply vifaa vya maabara hiyo nkBudget ya serikali ni budget ya serikali sio yako!
mkuu ww inaonekana hauko Tanzania hii yetu utakuwa sehemu nyingine, pesa hizi zinatoka kwenye mfuko wa mtu mmoja nchi hii. kwani ni mara ngapi bajeti hata pesa zilizopangwa hazifiki katika idara husika ? kwa mataifa mengine yenye utawala bora ni sawa ila si hapa kwetu. " asomaye na afahamu"Hapa ndio nimekuelewa vizuri kuwa wewe Ni maskini wa kutupwa kazi ya bajeti ya serikali Ni kumwaga pesa kwa watu kupitia huduma mbali mbali inazohitaji iwe mafuta ya magari yake muuza mafuta utapata pesa,iwe miradi ya ujenzi ya serikali unajua tenda za vifaa vya ujenzi pesa hiyo,iwe ujenzi wa maabara unajua pesa ya ku supply vifaa vya maabara hiyo nk
Ukisikia bajeti za shule za bweni mapesa kadhaa unajua tenda ya chakula Cha watoto wa shule za bweni hiyo
Wewe maskini wa kutupwa hata ungekuwa na kibiashara Cha kueleweka ungejua role ya bajeti kukupa pesa wewe nadhani wewe utakuwa machinga au mfagia ofisi ya chadema
Wewe maskini bajeti ya serikali Ni yako unachotakiwa ujipange kwenda kuchukua hiyo pesa kwa kuangalia kwenye bajeti Kuna fursa gani na ujipangaje
Watu hawaelewi siri ya bajeti wengine hawataki kusikiliza kabisa matokeo yake hukosea kwenye maisha baadaye kuilalamikia serikali.
Bajeti hii moja ya malengo yake iliyoweka ni Kusomesha kwa wingi Wataalamu kwenye Fani na Ujuzi Adimu/Maalum
Wahindi na wawekezaji wa ndani na nje na wafanyabiashara hufuatilia sana bajeti kujua fursa ziko wapi.
Lakini hata watu wa kawaida hutakiwa kufuatilia bajeti nimechukua hicho kipengele ndani ya bajeti iliyosomwa na serikali
Hapo ina maana mtoto kama anataka kusoma na baadaye awinde ajira ni vizuri aombe kusoma fani za ujuzi adimu na maalumu akienda kujisomea chochote nje ya hapo shauri yake na mzazi wake.
Bajeti ni kitu sensitive na serious lakini tatizo watanzania walio wengi mitandaoni wanapenda vitu ambavyo sio serious ikiwemo humu JamiiForums.
Blah blah blah blahHapa ndio nimekuelewa vizuri kuwa wewe Ni maskini wa kutupwa kazi ya bajeti ya serikali Ni kumwaga pesa kwa watu kupitia huduma mbali mbali inazohitaji iwe mafuta ya magari yake muuza mafuta utapata pesa,iwe miradi ya ujenzi ya serikali unajua tenda za vifaa vya ujenzi pesa hiyo,iwe ujenzi wa maabara unajua pesa ya ku supply vifaa vya maabara hiyo nk
Ukisikia bajeti za shule za bweni mapesa kadhaa unajua tenda ya chakula Cha watoto wa shule za bweni hiyo
Wewe maskini wa kutupwa hata ungekuwa na kibiashara Cha kueleweka ungejua role ya bajeti kukupa pesa wewe nadhani wewe utakuwa machinga au mfagia ofisi ya chadema
Wewe maskini bajeti ya serikali Ni yako unachotakiwa ujipange kwenda kuchukua hiyo pesa kwa kuangalia kwenye bajeti Kuna fursa gani na ujipangaje
Mkuu naomba kuunga mkono hoja yako kwa kutoa mfano halisi kipindi cha 2014/15 Petroleum and Gas was a talk if the town kwa wanafunzi wa kidato cha 6,kupelekea vijana wengi hasa vipanga kujagua kusomea kozi hizo....guess what 4 years later watu hawa wanalitambua vizuri joto la jiweYEHODAYA,
Usome kwa mwaka mmoja? Shida ya bajeti zenu hazina projection ya miaka mingi. mwaka huu wako hapa mwaka mwingine wako kuleee. huoni utajikuta shule kila mwaka?
mleta mada halijui taifa hili vizuri. watu wanaidai serikali kwa kazi walizofanya nazo miaka mitano nyuma sijui anaongea nn. jamaa anaona tumekaa kimya anatuona wajinga sana.Mkuu naomba kuunga mkono hoja yako kwa kutoa mfano halisi kipindi cha 2014/15 Petroleum and Gas was a talk if the town kwa wanafunzi wa kidato cha 6,kupelekea vijana wengi hasa vipanga kujagua kusomea kozi hizo....guess what 4 years later watu hawa wanalitambua vizuri joto la jiwe
Fani hizo ni zipi bwashee?Watu hawaelewi siri ya bajeti wengine hawataki kusikiliza kabisa matokeo yake hukosea kwenye maisha baadaye kuilalamikia serikali.
Bajeti hii moja ya malengo yake iliyoweka ni Kusomesha kwa wingi Wataalamu kwenye Fani na Ujuzi Adimu/Maalum
Wahindi na wawekezaji wa ndani na nje na wafanyabiashara hufuatilia sana bajeti kujua fursa ziko wapi.
Lakini hata watu wa kawaida hutakiwa kufuatilia bajeti nimechukua hicho kipengele ndani ya bajeti iliyosomwa na serikali
Hapo ina maana mtoto kama anataka kusoma na baadaye awinde ajira ni vizuri aombe kusoma fani za ujuzi adimu na maalumu akienda kujisomea chochote nje ya hapo shauri yake na mzazi wake.
Bajeti ni kitu sensitive na serious lakini tatizo watanzania walio wengi mitandaoni wanapenda vitu ambavyo sio serious ikiwemo humu JamiiForums.
Uko sahihi cyber security Ni eneo adimu na dunia nzima mashirika binafsi na serikali nyingi wanawataka Sana,
Moja ya sehemu nitayoshauri ni "Cyber Security"