Statistics
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 3,666
- 7,788
Asante Kwa kuleta ushuhuda. CCM IPO site na chagadomo mpo mitandaoni. Mkipigwa kwenye uchaguzi mnasingizia polisi, walimu na wakurugenzi wakati ngoma yote anaisimamia mwenyekiti wa CCM taifa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu wanakuja wanaCCM kukinukishaLeo asubuhi Mjumbe wa nyumba 10 amekuja kwangu kutaka kuniorodhesha kama nina kadi ya CCM. Mimi nikamuuliza nani kakutuma uorodheshe watu? Unawaorodhesha kwa sababu gani? Yeye kanijibu kuwa ametumwa na Katibu wa CCM kata kuorodhesha watu na kadi zao.
Jibu nililompa ni kuwa mimi sina chama na ni raia mwema hapa mtaani. Nikakataa kuorodheshwa na akaondoka. Nauliza kuna tatizo gani? Mbona CCM inaorodhesha watu karibu na uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Jambo hili linatakiwa likemewe kwa nguvu zote.
Kawaida mkuu utaratibu wa chama wanahakiki wanachama sehemuhusika m niliwapa ushirikiano n rahisi tu unamjibusina. Na mm niko simba sc soo yanga simple wale usiwajibuuovyo wanamdawao utawatafuta kwa magotiii napitatuLeo asubuhi Mjumbe wa nyumba 10 amekuja kwangu kutaka kuniorodhesha kama nina kadi ya CCM. Mimi nikamuuliza nani kakutuma uorodheshe watu? Unawaorodhesha kwa sababu gani? Yeye kanijibu kuwa ametumwa na Katibu wa CCM kata kuorodhesha watu na kadi zao.
Jibu nililompa ni kuwa mimi sina chama na ni raia mwema hapa mtaani. Nikakataa kuorodheshwa na akaondoka. Nauliza kuna tatizo gani? Mbona CCM inaorodhesha watu karibu na uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Jambo hili linatakiwa likemewe kwa nguvu zote.
Hakuna tatizo, Mjumbe ni wa CCM na anatafuta wana CCM awaorodheshe ili kupata idadi ya Wanachama, tatizo liko wapi? Kama wewe si mwana CCM utamueleza tu na yeye atajiondokea kama ulivyofanya. Utakemea vipi jambo hilo kufanywa wakati hawatumii resources za Serikali bali wanazurura tu kwa marapa yao yaliyoisha upande mmoja wa visiginoLeo asubuhi Mjumbe wa nyumba 10 amekuja kwangu kutaka kuniorodhesha kama nina kadi ya CCM. Mimi nikamuuliza nani kakutuma uorodheshe watu? Unawaorodhesha kwa sababu gani? Yeye kanijibu kuwa ametumwa na Katibu wa CCM kata kuorodhesha watu na kadi zao.
Jibu nililompa ni kuwa mimi sina chama na ni raia mwema hapa mtaani. Nikakataa kuorodheshwa na akaondoka. Nauliza kuna tatizo gani? Mbona CCM inaorodhesha watu karibu na uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Jambo hili linatakiwa likemewe kwa nguvu zote.
Mazoea ndo yametufikisha hapoLeo asubuhi Mjumbe wa nyumba 10 amekuja kwangu kutaka kuniorodhesha kama nina kadi ya CCM. Mimi nikamuuliza nani kakutuma uorodheshe watu? Unawaorodhesha kwa sababu gani? Yeye kanijibu kuwa ametumwa na Katibu wa CCM kata kuorodhesha watu na kadi zao.
Jibu nililompa ni kuwa mimi sina chama na ni raia mwema hapa mtaani. Nikakataa kuorodheshwa na akaondoka. Nauliza kuna tatizo gani? Mbona CCM inaorodhesha watu karibu na uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Jambo hili linatakiwa likemewe kwa nguvu zote.
Ndivyo mnavyo danganyana huko chamani siyo? Kuna siku utakuwa na hayo mabomu na utavunjiwa yai pamoja na mabomu yakoKeyboard warriors kwa kelele na kujitapa nyuma ya keyboard ni majasiri sana.
Ukweli ukidhihiri hata mlio wa burst ya tairi wanakimbilia chooni.
Bomu la machozi ndio hata usiseme.
🤔🤔🤔Ni vibaya tena sana, hiyo sensa inamanufaa gani kwa jamiii au ni kwa manufaa ya wat wachache. Mbona hawapitishi hiyo sensa kujua wangapi hawana vyeti vya Taifa, au kujua wangapi wahawana ajira maalumi au wangapi hawana bima ya afta. Ni ujinga ujinga tu wa watu wsliozoea dhuluma.
🤔🤔🤔Inayotafutwa ni namba Yako ya nida,
Wakiipata hiyo, taarifa zako zitatumika kutengeneza kadi fake ya mpiga kura itakayotumika kupiga kura katika vituo fake hewa watakavyotengeneza.
Makinika.
Endelea kuota ukimaliza chunga usijinyee.Huna hiyo jeuri.Ndivyo mnavyo danganyana huko chamani siyo? Kuna siku utakuwa na hayo mabomu na utavunjiwa yai pamoja na mabomu yako
Huwa hawawaorodheshi wanapojiunga/kuwasajili?Mbona ni mambo ya kusumbua watu hayo?Wapite wagawe hela na siyo huo upuuzi.Si vibaya kupata idadi kamili ya wanachama wao kwenye eneo lake,hivyo hana kosa wala tatizo ni ww tu ume complicatisha mambo
Kwanini wasiitane kwenye ofisi zao wakaorodhoshana hukoWewe sio mwanachama wa CCM. Wanaorodhesha wanachama wa CCM sasa wewe mchecheto wa nini?Umedai huna chama kwa hiyo zoezi hilo halikuhusu kwani wewe sio mwana CCM.
Au hutaki waorodheshe wanachama wao?
Yaani unataka uwapangie wanavyofanya kazi zao?Kwanini wasiitane kwenye ofisi zao wakaorodhoshana huko
We andazi kweli,wewe huoni kuwa ni usumbusu kwa wasiohusika na uccm ambao wametulia majumbani mwaoYaani unataka uwapangie wanavyofanya kazi zao?
Kama zoezi halikuhusu kaa kimya.
Hapo ndipo CCM inapowapigia. CCM na mashina yake ni kama Kanisa Katoliki na Jumuiya zake.Leo asubuhi Mjumbe wa nyumba 10 amekuja kwangu kutaka kuniorodhesha kama nina kadi ya CCM. Mimi nikamuuliza nani kakutuma uorodheshe watu? Unawaorodhesha kwa sababu gani? Yeye kanijibu kuwa ametumwa na Katibu wa CCM kata kuorodhesha watu na kadi zao.
Jibu nililompa ni kuwa mimi sina chama na ni raia mwema hapa mtaani. Nikakataa kuorodheshwa na akaondoka. Nauliza kuna tatizo gani? Mbona CCM inaorodhesha watu karibu na uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Jambo hili linatakiwa likemewe kwa nguvu zote.