Pre GE2025 Leo 8/6/2024 asubuhi Mjumbe wa Nyumba 10 amekuja kwangu kutaka kuniorodhesha kama nina kadi ya CCM

Pre GE2025 Leo 8/6/2024 asubuhi Mjumbe wa Nyumba 10 amekuja kwangu kutaka kuniorodhesha kama nina kadi ya CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tunaomba ushirikiano wenu ili tuandae bajeti za tisheti, kofia, kanga na madera.
 
Leo asubuhi Mjumbe wa nyumba 10 amekuja kwangu kutaka kuniorodhesha kama nina kadi ya CCM. Mimi nikamuuliza nani kakutuma uorodheshe watu? Unawaorodhesha kwa sababu gani? Yeye kanijibu kuwa ametumwa na Katibu wa CCM kata kuorodhesha watu na kadi zao.

Jibu nililompa ni kuwa mimi sina chama na ni raia mwema hapa mtaani. Nikakataa kuorodheshwa na akaondoka. Nauliza kuna tatizo gani? Mbona CCM inaorodhesha watu karibu na uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Jambo hili linatakiwa likemewe kwa nguvu zote.
mkuu wanakuja wanaCCM kukinukisha
 
Inayotafutwa ni namba Yako ya nida,

Wakiipata hiyo, taarifa zako zitatumika kutengeneza kadi fake ya mpiga kura itakayotumika kupiga kura katika vituo fake hewa watakavyotengeneza.

Makinika.
 
Leo asubuhi Mjumbe wa nyumba 10 amekuja kwangu kutaka kuniorodhesha kama nina kadi ya CCM. Mimi nikamuuliza nani kakutuma uorodheshe watu? Unawaorodhesha kwa sababu gani? Yeye kanijibu kuwa ametumwa na Katibu wa CCM kata kuorodhesha watu na kadi zao.

Jibu nililompa ni kuwa mimi sina chama na ni raia mwema hapa mtaani. Nikakataa kuorodheshwa na akaondoka. Nauliza kuna tatizo gani? Mbona CCM inaorodhesha watu karibu na uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Jambo hili linatakiwa likemewe kwa nguvu zote.
Kawaida mkuu utaratibu wa chama wanahakiki wanachama sehemuhusika m niliwapa ushirikiano n rahisi tu unamjibusina. Na mm niko simba sc soo yanga simple wale usiwajibuuovyo wanamdawao utawatafuta kwa magotiii napitatu
 
Leo asubuhi Mjumbe wa nyumba 10 amekuja kwangu kutaka kuniorodhesha kama nina kadi ya CCM. Mimi nikamuuliza nani kakutuma uorodheshe watu? Unawaorodhesha kwa sababu gani? Yeye kanijibu kuwa ametumwa na Katibu wa CCM kata kuorodhesha watu na kadi zao.

Jibu nililompa ni kuwa mimi sina chama na ni raia mwema hapa mtaani. Nikakataa kuorodheshwa na akaondoka. Nauliza kuna tatizo gani? Mbona CCM inaorodhesha watu karibu na uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Jambo hili linatakiwa likemewe kwa nguvu zote.
Hakuna tatizo, Mjumbe ni wa CCM na anatafuta wana CCM awaorodheshe ili kupata idadi ya Wanachama, tatizo liko wapi? Kama wewe si mwana CCM utamueleza tu na yeye atajiondokea kama ulivyofanya. Utakemea vipi jambo hilo kufanywa wakati hawatumii resources za Serikali bali wanazurura tu kwa marapa yao yaliyoisha upande mmoja wa visigino
 
Leo asubuhi Mjumbe wa nyumba 10 amekuja kwangu kutaka kuniorodhesha kama nina kadi ya CCM. Mimi nikamuuliza nani kakutuma uorodheshe watu? Unawaorodhesha kwa sababu gani? Yeye kanijibu kuwa ametumwa na Katibu wa CCM kata kuorodhesha watu na kadi zao.

Jibu nililompa ni kuwa mimi sina chama na ni raia mwema hapa mtaani. Nikakataa kuorodheshwa na akaondoka. Nauliza kuna tatizo gani? Mbona CCM inaorodhesha watu karibu na uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Jambo hili linatakiwa likemewe kwa nguvu zote.
Mazoea ndo yametufikisha hapo
 
Keyboard warriors kwa kelele na kujitapa nyuma ya keyboard ni majasiri sana.
Ukweli ukidhihiri hata mlio wa burst ya tairi wanakimbilia chooni.
Bomu la machozi ndio hata usiseme.
Ndivyo mnavyo danganyana huko chamani siyo? Kuna siku utakuwa na hayo mabomu na utavunjiwa yai pamoja na mabomu yako
 
Ni vibaya tena sana, hiyo sensa inamanufaa gani kwa jamiii au ni kwa manufaa ya wat wachache. Mbona hawapitishi hiyo sensa kujua wangapi hawana vyeti vya Taifa, au kujua wangapi wahawana ajira maalumi au wangapi hawana bima ya afta. Ni ujinga ujinga tu wa watu wsliozoea dhuluma.
🤔🤔🤔
 
Ndivyo mnavyo danganyana huko chamani siyo? Kuna siku utakuwa na hayo mabomu na utavunjiwa yai pamoja na mabomu yako
Endelea kuota ukimaliza chunga usijinyee.Huna hiyo jeuri.
 
Mie walikuja kwangu nikawatoa nduki na panga qudadadeqi, wahalifu wakija kwako wafukuze kwa kutumia silaha za maangamizi mkuu...☹️
 
Leo asubuhi Mjumbe wa nyumba 10 amekuja kwangu kutaka kuniorodhesha kama nina kadi ya CCM. Mimi nikamuuliza nani kakutuma uorodheshe watu? Unawaorodhesha kwa sababu gani? Yeye kanijibu kuwa ametumwa na Katibu wa CCM kata kuorodhesha watu na kadi zao.

Jibu nililompa ni kuwa mimi sina chama na ni raia mwema hapa mtaani. Nikakataa kuorodheshwa na akaondoka. Nauliza kuna tatizo gani? Mbona CCM inaorodhesha watu karibu na uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Jambo hili linatakiwa likemewe kwa nguvu zote.
Hapo ndipo CCM inapowapigia. CCM na mashina yake ni kama Kanisa Katoliki na Jumuiya zake.
 
Back
Top Bottom