Pre GE2025 Leo 8/6/2024 asubuhi Mjumbe wa Nyumba 10 amekuja kwangu kutaka kuniorodhesha kama nina kadi ya CCM

Pre GE2025 Leo 8/6/2024 asubuhi Mjumbe wa Nyumba 10 amekuja kwangu kutaka kuniorodhesha kama nina kadi ya CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Leo asubuhi Mjumbe wa nyumba 10 amekuja kwangu kutaka kuniorodhesha kama nina kadi ya CCM. Mimi nikamuuliza nani kakutuma uorodheshe watu? Unawaorodhesha kwa sababu gani? Yeye kanijibu kuwa ametumwa na Katibu wa CCM kata kuorodhesha watu na kadi zao.

Jibu nililompa ni kuwa mimi sina chama na ni raia mwema hapa mtaani. Nikakataa kuorodheshwa na akaondoka. Nauliza kuna tatizo gani? Mbona CCM inaorodhesha watu karibu na uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Jambo hili linatakiwa likemewe kwa nguvu zote.
KUNA ZOEZI LA KUHAKIKI WANACHAMA HAI, NI UTARATIBU WA KAWAIDA KWA HESABU YA HARAKA HARAKA WANA CCM TUMEFIKIA 12.5 MILIONI.
 
Leo asubuhi Mjumbe wa nyumba 10 amekuja kwangu kutaka kuniorodhesha kama nina kadi ya CCM. Mimi nikamuuliza nani kakutuma uorodheshe watu? Unawaorodhesha kwa sababu gani? Yeye kanijibu kuwa ametumwa na Katibu wa CCM kata kuorodhesha watu na kadi zao.

Jibu nililompa ni kuwa mimi sina chama na ni raia mwema hapa mtaani. Nikakataa kuorodheshwa na akaondoka. Nauliza kuna tatizo gani? Mbona CCM inaorodhesha watu karibu na uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Jambo hili linatakiwa likemewe kwa nguvu zote.
Alikuwa na stress lkn siyo mbaya kujua uko mlengo upi maana fursa kwasasa zinawafuata wanakijani kumbuka kuna uchaguzi mkuu
 
Yaani mwanaume anayerusha mkojo mbali, aendelee kushiriki chaguzi za kishenzi zaidi ya miaka 30 bila mabadiliko na aendelee kushiriki tu huo utopolo?! Hakunaga ujinga wa hivyo.

Utamshinda nani wakati huna uwezo wa kushindana zaidi ya kutegemea mbeleko ya vyombo vya dola? Ni hivi, hakuna mwanaume anayesimamisha vizuri ataendelea kushiriki huo upuuzi uitwao uchaguzi eti kwa kusaka sifa ya kuwa hasusi wala kuzira. Kwa taarifa yako hatuziri wala kususa, bali tumeupuuza huo ushenzi uitwao uchaguzi.
wew na wenye fikra kama zako mshiriki, msishiriki, ilimradi akidi ya kutosha ipo na ni ya uhakika, mambo yatafanyika bila mbambamba yoyote, kwa kuzingatia sheria, taratibu, kanuni na katiba ya nchi bila kujali wenye mihemko na ghadhabu zisizo na maana yoyote, watasusa, watagoma au kuzira kushiriki uchaguzi :BASED:
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
wew na wenye fikra kama zako mshiriki, msishiriki, ilimradi akidi ya kutosha ipo na ni ya uhakika, mambo yatafanyika bila mbamaba yoyote, kwa kuzingatia sheria, taratibu, kanuni na katiba ya nchi bila kujali wenye mihemko na ghadhabu zisizo na maana yoyote, watasusa, watagoma au kuzira kushiriki uchaguzi :BASED:
Sio nyie kushiriki tu, hata mkitaka kaanzeni kupanga mstari Sasa kwenye vituo vya kura mkisubiri siku ya kupiga kura, lakini hakuna mtu anayejitambua ataendelea kushiriki huo utoto.
 
Mimi ukitaka tuongee vizuri tumalize mjadala tujadili vyoote ila usizungumzie Itikadi za Kidini na Kisiasa nitakutimua vibaya mno mimi si mteja wa walaji.
 
Leo asubuhi Mjumbe wa nyumba 10 amekuja kwangu kutaka kuniorodhesha kama nina kadi ya CCM. Mimi nikamuuliza nani kakutuma uorodheshe watu? Unawaorodhesha kwa sababu gani? Yeye kanijibu kuwa ametumwa na Katibu wa CCM kata kuorodhesha watu na kadi zao.

Jibu nililompa ni kuwa mimi sina chama na ni raia mwema hapa mtaani. Nikakataa kuorodheshwa na akaondoka. Nauliza kuna tatizo gani? Mbona CCM inaorodhesha watu karibu na uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Jambo hili linatakiwa likemewe kwa nguvu zote.
Kwanini likemewe? CCM ina watu, tunaojiorodhesha, kama wewe umekataa ulilazimishwa?
 
Hakuna kingine wanachofikiria zaidi ya uchaguzi.
CCM wapo radhi kufanya chochote kwenye uchaguzi ili waendelee kuongoza.
Na jitihada zote wanazozifanya ili kuendelea kuongoza si kwa kuwa wana mapenzi mema na Tanzania, la hasha, bali ni kwa sababu ya kunufaika kwao kwa kuwa madarakani.
Uongozi ni kinga dhidi ya maovu wanayoyafanya.
Hilo ni 100%. Tupo tayari kufanya chochote cha halali tushinde uchaguzi kwa kishindo.

Kwani kuoridhesha watu na kuwakumbusha kujiandikisha nyumba kwa nyumba ni kosa?
 
Hilo ni 100%. Tupo tayari kufanya chochote cha halali tushonde uchaguzi kwa kishindo.

Kwani kuoridhesha watu na kuwakumbusha kujiandikisha nyumba kwa nyumba ni kosa?
Dada FaizaFoxy wewe ni mshika dini, hivi kweli huoni ukweli wa CCM "kuchochora"!?
 
Back
Top Bottom