Leo akifufuka Ndugu Ally Mohammed Kibao, atakihama CHADEMA: Mnyika amechagua kikao badala aende akatoe maelezo Polisi ya kiuchunguzi

..mimi naamini wachunguzi toka nje wataweza kulisafisha jeshi la Polisi, na vyombo vingine vya dola, na tuhuma za utekaji na mauaji.
Huko wanakotoka hao wachunguzi ni kusafi kiasi gani?

Huo wajibu wa hao watu wa “nje” kuchunguza na kusafisha ya nchi nyingine walipewa na nani? Chini ya sheria ipi?
 
Baba yako akiuwawa na jeshi la polisi kuwa mtuhumiwa wa uuaji huo, utakubali polisi wakuite ukawasaidie uchunguzi wa kifo chake wakati umedai timu ya kijaji ndio ifanye huo uchunguzi?
Marehemu kibao ni baba yake na Mnyika?

Imeshathibitishwa kwamba kauawa na polisi?


Hivi watu kama nye mnatumia nini kufikiri lakini mnapoanzisha thread kama hizi? Kweli tumefikia mahali hapa pa wajinga wengi kutuchagulia wajinga wenzao kuwa viongozi wetu?
 
Hivi Dreva wa lile Basi si yupo, vipi abiria nao si wapo, kumbe Mnyika naye alikuwa kwenye lila Basi kama abiria?
 
Wewe ndo mchunguzi?
 
Huko wanakotoka hao wachunguzi ni kusafi kiasi gani?

Huo wajibu wa hao watu wa “nje” kuchunguza na kusafisha ya nchi nyingine walipewa na nani? Chini ya sheria ipi?

..kinachoweza kusema ni kwamba vyombo vya kimataifa vilivyopendekezwa viko vizuri na vina weledi.

..pia kuna mazingira ya kutuhumiana, hivyo wachunguzi toka nje watasaidia kufanya kazi ya uchunguzi bila kuendelea wala kukandamiza upande wowote.
 
Hivi hao ndio walimuitaga SOKA na baadae haonekani?
Hivi hao ndio walimkamataga yule jamaa wa Handeni wakakana kuwa naye siku 29 baadae wakakiri kumshikilia?
 
Reactions: Cyb
Wanauana wao kwa wao
MBOWE YUPO QATAR
 
Sativa amepona na amesema yupo tayari kuwatambua waliompiga risasi na kumtupa porini , mbona hamjamuita?
 
Akili za kiccm bana! sasa aende polisi kufanya Nini wakati wao wameamua kuteka na kuua badala ya kulinda raia
 
Umemaliza mkuu salute kwako. Wanasiasa siwakuwaamini
 
Umenikumbusha kuhusu kujitekenya yaani unatamani watu wakuone kwamba una furaha ili kufanikisha hilo unaamua kujitekenya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…