Leo akifufuka Ndugu Ally Mohammed Kibao, atakihama CHADEMA: Mnyika amechagua kikao badala aende akatoe maelezo Polisi ya kiuchunguzi

Leo akifufuka Ndugu Ally Mohammed Kibao, atakihama CHADEMA: Mnyika amechagua kikao badala aende akatoe maelezo Polisi ya kiuchunguzi

SATIVA si ameshamtaja Mafwele, wamefikia hatua gan??

Yan washukiwa wa kwanza (waliojitambulisha kuwa ni Polisi na kumchukua kwenye gari) ndo hao hao ukawasaidie kwenye upelelezi??

Hizo ni akili au matope?.
 
Ni hali ambayo si yakawaida kwa hawa ndugu zetu chadema, Juzi hapa walikuwa wakiomba uchunguzi wa kifo Cha ndugu yetu Ally Mohammed Kibao uende haraka na Serikali yetu ikatekeleza Hilo.

Cha ajabu leo hii Mnyika anaitwa Polisi ili akatoe maelezo ya kiuchunguzi Polisi anashindwa kwenda kutoa ushirikiano eti kisa wanakikao Cha kamati kuu ya chadema, hivi Hawa watu mnawaelewaje ndugu zangu waTZ, wanamfanyia nini mwenzao?
Wanaogopa nini kwenda kutoa ushirikiano Polisi? Kwanini wanasuasua kutoa ushirikiano kwa Polisi.

Tunaliomba jukwa hii Tukufu liwahoji viongozi wa chadema wote kwamba cheo Cha Mnyika hakiwezo kikakaimishwa na mjumbe mwingine ili Mnyika aende Polisi akatoe ushirikiano?

NB; Chadema acheni siasa za hovyo nchini mwetu
Wewe nawe wa hovyo kabisa,hoja Gani hizi Sasa.
1😀ereva na Kondakta wa Basi ameitwa?
2:Mmiliki wa Basi waneitwa?
3:Abiria waliokuwemo kwenye basi Taarifa zao si zipo, kwanini wasiitwe?
 
Wewe nawe wa hovyo kabisa,hoja Gani hizi Sasa.
1😀ereva na Kondakta wa Basi ameitwa?
2:Mmiliki wa Basi waneitwa?
3:Abiria waliokuwemo kwenye basi Taarifa zao si zipo, kwanini wasiitwe?
Mnakimbia nini?
 
SATIVA si ameshamtaja Mafwele, wamefikia hatua gan??

Yan washukiwa wa kwanza (waliojitambulisha kuwa ni Polisi na kumchukua kwenye gari) ndo hao hao ukawasaidie kwenye upelelezi??

Hizo ni akili au matope?.
Sativa ni mhuni Kama wahuni wengine
 
Wewe nawe wa hovyo kabisa,hoja Gani hizi Sasa.
1😀ereva na Kondakta wa Basi ameitwa?
2:Mmiliki wa Basi waneitwa?
3:Abiria waliokuwemo kwenye basi Taarifa zao si zipo, kwanini wasiitwe?
Mbowe Kama anateka watu ataumbuka soon
 
Ni hali ambayo si yakawaida kwa hawa ndugu zetu chadema, Juzi hapa walikuwa wakiomba uchunguzi wa kifo Cha ndugu yetu Ally Mohammed Kibao uende haraka na Serikali yetu ikatekeleza Hilo.

Cha ajabu leo hii Mnyika anaitwa Polisi ili akatoe maelezo ya kiuchunguzi Polisi anashindwa kwenda kutoa ushirikiano eti kisa wanakikao Cha kamati kuu ya chadema, hivi Hawa watu mnawaelewaje ndugu zangu waTZ, wanamfanyia nini mwenzao?
Wanaogopa nini kwenda kutoa ushirikiano Polisi? Kwanini wanasuasua kutoa ushirikiano kwa Polisi.

Tunaliomba jukwa hii Tukufu liwahoji viongozi wa chadema wote kwamba cheo Cha Mnyika hakiwezo kikakaimishwa na mjumbe mwingine ili Mnyika aende Polisi akatoe ushirikiano?

NB; Chadema acheni siasa za hovyo nchini mwetu
Wewe ndiyo hoja Gani hizo Sasa:
1😀ereva wa Basi na Kondakta wake waliitwa?
2:Mmiliki wa Basi aliitwa?
3: Abiria waliokuwemo kwenye basi Taarifa zao si zipo kwanini wasiitwe?
4:Trafiki aliyeketi siti ya mbele na Kuona tukio aliitwa?
5:Waliomilikishwa hayo Mabunduki Makubwa si wanajulikana? Waliitwa?
 
usiwaamini wanasiasa sana leo ni hivyo kesho mambo yakibadirika utajionea vichekesho!,hilo jeshi wanalolisema kesho wakipata hatamu yakushika uongozi kauli zitabadirika hutakaa uamini!
hilohilo jeshi ndo litakuwa kipenzi chao...
maisha ya siasa huwa yamejaa ndimi mbilimbili,ukiwakubali wanasiasa tembeanao kwa umakini sana utaachwa mataa!.
True
 
..Chadema wamesema hawana imani na jeshi la Polisi. Na wameweka wazi kwamba hawatashirikiana na jeshi hilo ktk uchunguzi wa matukio ya utekaji. Badala yake Chadema wamesema wako tayari kushirikiana na WACHUNGUZI HURU WA KIMATAIFA, na wameisihi serikali iwaite haraka.


Uchunguzi huru ni kwa masilahi pia ya washukiwa wote.
 
Kwamba Mnyika na wana Chadema ni raia wenye uraia wa Kimataifa kwanza kabla ya Taifa lao la uzawa? Wameukana lini utanzania?

Sio kwamba Tanzania ni nchi huru yenye kujitegemea kwa kila nyanja ikiwemo ya ulinzi na Usalama wa nchi, raia na mali zao?

Kutii sheria za mamlaka yaliyopo katika nchi ambayo wewe ni raia wake ni Hekima.

Na Busara ni kuitikia wito na kukataa neno.




Unless kuna button inatafutwa….

Kwanini hampendi uchunguzi huru?

Au unadhani polisi haiwajui wasiojulikana?

Au wasiojulikana unadhani hawajulikani?
 
Ni hali ambayo si yakawaida kwa hawa ndugu zetu chadema, Juzi hapa walikuwa wakiomba uchunguzi wa kifo Cha ndugu yetu Ally Mohammed Kibao uende haraka na Serikali yetu ikatekeleza Hilo.

Cha ajabu leo hii Mnyika anaitwa Polisi ili akatoe maelezo ya kiuchunguzi Polisi anashindwa kwenda kutoa ushirikiano eti kisa wanakikao Cha kamati kuu ya chadema, hivi Hawa watu mnawaelewaje ndugu zangu waTZ, wanamfanyia nini mwenzao?
Wanaogopa nini kwenda kutoa ushirikiano Polisi? Kwanini wanasuasua kutoa ushirikiano kwa Polisi.

Tunaliomba jukwa hii Tukufu liwahoji viongozi wa chadema wote kwamba cheo Cha Mnyika hakiwezo kikakaimishwa na mjumbe mwingine ili Mnyika aende Polisi akatoe ushirikiano?

NB; Chadema acheni siasa za hovyo nchini mwetu
Msimamo wa cdm uko wazi, polisi ni watuhumiwa hivyo hawawezi kujichunguza. Iundwe tume ya kijaji. Polisi hawataki kufanya uchunguzi, bali wanataka kujua kiwango cha ushahidi ili wauharibu.
 
..Chadema wamesema hawana imani na jeshi la Polisi. Na wameweka wazi kwamba hawatashirikiana na jeshi hilo ktk uchunguzi wa matukio ya utekaji. Badala yake Chadema wamesema wako tayari kushirikiana na WACHUNGUZI HURU WA KIMATAIFA, na wameisihi serikali iwaite haraka.
Sio chadema tu raia wote wenye akili timamu hawana Imani na jeshi la police.

Kwa sababu Police ndo watuhumiwa wa No1 wa watekaji na mauji wengine wametajwa Hadi Kwa majina Sasa unaenda kufanya Nini huko kama sio kupoteza muda Bure tu.
 
Ni hali ambayo si yakawaida kwa hawa ndugu zetu chadema, Juzi hapa walikuwa wakiomba uchunguzi wa kifo Cha ndugu yetu Ally Mohammed Kibao uende haraka na Serikali yetu ikatekeleza Hilo.

Cha ajabu leo hii Mnyika anaitwa Polisi ili akatoe maelezo ya kiuchunguzi Polisi anashindwa kwenda kutoa ushirikiano eti kisa wanakikao Cha kamati kuu ya chadema, hivi Hawa watu mnawaelewaje ndugu zangu waTZ, wanamfanyia nini mwenzao?
Wanaogopa nini kwenda kutoa ushirikiano Polisi? Kwanini wanasuasua kutoa ushirikiano kwa Polisi.

Tunaliomba jukwa hii Tukufu liwahoji viongozi wa chadema wote kwamba cheo Cha Mnyika hakiwezo kikakaimishwa na mjumbe mwingine ili Mnyika aende Polisi akatoe ushirikiano?

NB; Chadema acheni siasa za hovyo nchini mwetu
Mnyika anaitwa kutoa maelezo ya namna gani wakati hakuwepo kwenye tukio?? yan wasiitwe mashahidi waliokuwepo kweny tukio alafu anaitwa mnyika . una akili kweli
 
Ni hali ambayo si yakawaida kwa hawa ndugu zetu chadema, Juzi hapa walikuwa wakiomba uchunguzi wa kifo Cha ndugu yetu Ally Mohammed Kibao uende haraka na Serikali yetu ikatekeleza Hilo.

Cha ajabu leo hii Mnyika anaitwa Polisi ili akatoe maelezo ya kiuchunguzi Polisi anashindwa kwenda kutoa ushirikiano eti kisa wanakikao Cha kamati kuu ya chadema, hivi Hawa watu mnawaelewaje ndugu zangu waTZ, wanamfanyia nini mwenzao?
Wanaogopa nini kwenda kutoa ushirikiano Polisi? Kwanini wanasuasua kutoa ushirikiano kwa Polisi.

Tunaliomba jukwa hii Tukufu liwahoji viongozi wa chadema wote kwamba cheo Cha Mnyika hakiwezo kikakaimishwa na mjumbe mwingine ili Mnyika aende Polisi akatoe ushirikiano?

NB; Chadema acheni siasa za hovyo nchini mwetu

Yani mnahangaika na Mnyika aliyepewa taarifa na Wana familia. Hakuna kwenda kwa hao wajinga.
 
Mnyika anaitwa kutoa maelezo ya namna gani wakati hakuwepo kwenye tukio?? yan wasiitwe mashahidi waliokuwepo kweny tukio alafu anaitwa mnyika . una akili kweli
Hawa ndio wanaotumiwa na hao wauaji wakiamini watu wote hawana akili kama walivyo wao.
 
Sema katibu mkuu sio mnyika kama mnyika

Lapili ,aliitwa kwanjia ya barua kupitia mawakili wachama ,hakuitwa na polisi kupitia JF hapa ,ungewauliza polisi kwamba amekaidi au la

Sio unakuja tuuu kama mwewe kwenye faranga
 
Ndo maana tunasema chadema iangaliwe kwa jicho la pekee Sana kwenye haya yanayoendelea nchini
Kwa sababu gani, kwamba wao ndio wenye dhamana ya ulinzi wa raia na mali zao au kwa vile wanadai baadhi ya wanachama wao wametekwa/potea na wengine kuuawa? Bado sijaona logic ya hoja yako hapa.
 
Back
Top Bottom