Leo Azam hatoki Taifa. Yanga tunamchakaza Vibaya sana. Tunashukuru kwa kazi iliyofanyika

Leo Azam hatoki Taifa. Yanga tunamchakaza Vibaya sana. Tunashukuru kwa kazi iliyofanyika

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Pamoja na maneno ya kashfa aliyoyasema Saido habari za kula Mayai Viza n.k sisi hatujali na tumemsamehe bado ana utoto. Ila aulize wenzie watamweleza. Na ashukuru kuwa amesafishwa nyota yake sasa anafunga.

Angekuwa hataki hayo asingekubali kupelekwa alikopelekwa na wazee.mwenzake Nchimbi si kamaliza Mwaka? Amekuja funga juzi tu hapa tena naye anajua alipewa maelezo gani.

Sisi tumeendelea kujipanga na tunashukuru kuwa tumehakikishiwa hii match tunashinda. Tumefuata maelekezo ya kamati ya ufundi. Azam leo anapata tena kichapo toka kwetu.

Saido atakuwa ndani ya nyumba,Tuisila, Mukoko, Yacoub. Hatoki Azam. NASEMA HIVI AZAM LEO APENDE ASIPENDE HATOKI.GAME IMEISHA JANA USIKU SAA SITA. LEO NI KUKAMILISHA MATOKEO TU.

NASISITIZA HAKUNA DRAW HAKUNA KUFUNGWA. LEO AZAM TUNAMCHAPA TUNARUDI KILELENI.

Simba wanatupashia moto kiti pale juu. Wenye nacho tunarudi kwa ubishi na hasira. Ndo mtakapojua hamjui.
 
wanakwambia uto kama baiskeli ya kunolea visu au fiat mbaula kelele nyingi kumbe bado yupo hapo hapo tu

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hehehe uto itabakia kileleni kwa kucheza mechi nyingi, sio kwa points.

Timu inayoongoza kwa kucheza mechi nyingi... Utopolo

Timu inayoongoza kwa points nyingi... Mnyamaa

Na bingwa ni....? Yuleyuleeeee
 
Next season tunaunda timu ambayo haitafungwa
 
Pamoja na maneno ya kashfa aliyoyasema Saido habari za kula Mayai Viza n.k sisi hatujali na tumemsamehe bado ana utoto. Ila aulize wenzie watamweleza. Na ashukuru kuwa amesafishwa nyota yake sasa anafunga.

Angekuwa hataki hayo asingekubali kupelekwa alikopelekwa na wazee.mwenzake Nchimbi si kamaliza Mwaka? Amekuja funga juzi tu hapa tena naye anajua alipewa maelezo gani.

Sisi tumeendelea kujipanga na tunashukuru kuwa tumehakikishiwa hii match tunashinda. Tumefuata maelekezo ya kamati ya ufundi. Azam leo anapata tena kichapo toka kwetu.

Saido atakuwa ndani ya nyumba,Tuisila, Mukoko, Yacoub. Hatoki Azam. NASEMA HIVI AZAM LEO APENDE ASIPENDE HATOKI.GAME IMEISHA JANA USIKU SAA SITA. LEO NI KUKAMILISHA MATOKEO TU.

NASISITIZA HAKUNA DRAW HAKUNA KUFUNGWA. LEO AZAM TUNAMCHAPA TUNARUDI KILELENI.

Simba wanatupashia moto kiti pale juu. Wenye nacho tunarudi kwa ubishi na hasira. Ndo mtakapojua hamjui.
Ukumbuke J5 simba yuko kwamkapa na Dodoma jiji kwa maana hiyo atabaki kilelen permanent
 
Maelekezo dhidi ya gwambina ilikuwa ni hv bora mtu alale sakafu uchi lakn wafunge ili wasimkimbize kocha sasa wataona cha moto maana hata mwambusi ashakwea miti, kuna msemo huu " maji hata uyachemshe kivp yatapoa tu "
 
Chizi siyo maarifa, bali chizi ugonjwaa! Poleni utopolo! Utopolo wanaendelea kuongoza ligi kwa kucheza michezo mingi zaidi!
 
Pamoja na maneno ya kashfa aliyoyasema Saido habari za kula Mayai Viza n.k sisi hatujali na tumemsamehe bado ana utoto. Ila aulize wenzie watamweleza. Na ashukuru kuwa amesafishwa nyota yake sasa anafunga.

Angekuwa hataki hayo asingekubali kupelekwa alikopelekwa na wazee.mwenzake Nchimbi si kamaliza Mwaka? Amekuja funga juzi tu hapa tena naye anajua alipewa maelezo gani.

Sisi tumeendelea kujipanga na tunashukuru kuwa tumehakikishiwa hii match tunashinda. Tumefuata maelekezo ya kamati ya ufundi. Azam leo anapata tena kichapo toka kwetu.

Saido atakuwa ndani ya nyumba,Tuisila, Mukoko, Yacoub. Hatoki Azam. NASEMA HIVI AZAM LEO APENDE ASIPENDE HATOKI.GAME IMEISHA JANA USIKU SAA SITA. LEO NI KUKAMILISHA MATOKEO TU.

NASISITIZA HAKUNA DRAW HAKUNA KUFUNGWA. LEO AZAM TUNAMCHAPA TUNARUDI KILELENI.

Simba wanatupashia moto kiti pale juu. Wenye nacho tunarudi kwa ubishi na hasira. Ndo mtakapojua hamjui.
matokeo vipi mkuu
 
Back
Top Bottom