Leo Azam hatoki Taifa. Yanga tunamchakaza Vibaya sana. Tunashukuru kwa kazi iliyofanyika

Leo Azam hatoki Taifa. Yanga tunamchakaza Vibaya sana. Tunashukuru kwa kazi iliyofanyika

Chiziii ee ndugu yangu we endelea kuokota makopo tu mambo mengine yatakufedhehesha.
 
Utopolo nyie hata nafasi ya pili sahauni tunampa azamu point 3 za kiporo ili awe no 2, pira butua butua mnataka mcheze clubu bingwa
 
Bila shaka mpira uliangalia mkuu???[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Pamoja na maneno ya kashfa aliyoyasema Saido habari za kula Mayai Viza n.k sisi hatujali na tumemsamehe bado ana utoto. Ila aulize wenzie watamweleza. Na ashukuru kuwa amesafishwa nyota yake sasa anafunga.

Angekuwa hataki hayo asingekubali kupelekwa alikopelekwa na wazee.mwenzake Nchimbi si kamaliza Mwaka? Amekuja funga juzi tu hapa tena naye anajua alipewa maelezo gani.

Sisi tumeendelea kujipanga na tunashukuru kuwa tumehakikishiwa hii match tunashinda. Tumefuata maelekezo ya kamati ya ufundi. Azam leo anapata tena kichapo toka kwetu.

Saido atakuwa ndani ya nyumba,Tuisila, Mukoko, Yacoub. Hatoki Azam. NASEMA HIVI AZAM LEO APENDE ASIPENDE HATOKI.GAME IMEISHA JANA USIKU SAA SITA. LEO NI KUKAMILISHA MATOKEO TU.

NASISITIZA HAKUNA DRAW HAKUNA KUFUNGWA. LEO AZAM TUNAMCHAPA TUNARUDI KILELENI.

Simba wanatupashia moto kiti pale juu. Wenye nacho tunarudi kwa ubishi na hasira. Ndo mtakapojua hamjui.
 
Pamoja na maneno ya kashfa aliyoyasema Saido habari za kula Mayai Viza n.k sisi hatujali na tumemsamehe bado ana utoto. Ila aulize wenzie watamweleza. Na ashukuru kuwa amesafishwa nyota yake sasa anafunga.

Angekuwa hataki hayo asingekubali kupelekwa alikopelekwa na wazee.mwenzake Nchimbi si kamaliza Mwaka? Amekuja funga juzi tu hapa tena naye anajua alipewa maelezo gani.

Sisi tumeendelea kujipanga na tunashukuru kuwa tumehakikishiwa hii match tunashinda. Tumefuata maelekezo ya kamati ya ufundi. Azam leo anapata tena kichapo toka kwetu.

Saido atakuwa ndani ya nyumba,Tuisila, Mukoko, Yacoub. Hatoki Azam. NASEMA HIVI AZAM LEO APENDE ASIPENDE HATOKI.GAME IMEISHA JANA USIKU SAA SITA. LEO NI KUKAMILISHA MATOKEO TU.

NASISITIZA HAKUNA DRAW HAKUNA KUFUNGWA. LEO AZAM TUNAMCHAPA TUNARUDI KILELENI.

Simba wanatupashia moto kiti pale juu. Wenye nacho tunarudi kwa ubishi na hasira. Ndo mtakapojua hamjui.
Chizi karogwa tena. Dube hachekagi na machizi.
 
JFkuna watu wehu/ Chizi wa ukweli ukweli mjue kama huyu mleta mada akili zake ni mkurupuko! Ona sasa anavyoteseka kwa kipigo😂😂😂
 
Sisi tumeendelea kujipanga na tunashukuru kuwa tumehakikishiwa hii match tunashinda.
Yaani hapo ndio baada ya kuhakikishiwa kuwa mnashinda, sasa sijui ubao utasomekaje siku mkiambiwa hamshindi!
 
Kuna jamaa alikuwa utopoz wakutupwa anagolilake hapa mtaa ameliandika jina YANGA 2PU SPORTS WAER.
Goli lilikuwa na nyuzi za vyura tu.

Sasaivi naon rangi ya mnyama inaanza kutamalaki golini.

Sasa nimepita hapa nikajifanya namimi utopo mwenzake nikamuuliza vipi mwanangu mbona goliletu rangi haziendani, akasema daah aisee sasaivi bora kuusikiliza moyo tu nisha choka.

Nikatoka huku na cheka kimyakimya.
 
Remember The Name PRINCE DUBE [emoji419]
IMG-20210425-WA0026.jpg
 
Back
Top Bottom