Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Hahaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku hizi usimwamini mtu. Idd si wa kufanya hivi. Mjini hamna waganga ni matapeli tu shenzy type ...
Acha kubet mkuu. Ama unaliwa zipi?Hawa washenzi wanakula pesa zetu tu.... Mbwa kabisa hawa....tutakuja fanyiana mambo mabaya ....inaumiza sana.
Sijawahi kubet.Acha kubet mkuu. Ama unaliwa zipi?
Pamoja na maneno ya kashfa aliyoyasema Saido habari za kula Mayai Viza n.k sisi hatujali na tumemsamehe bado ana utoto. Ila aulize wenzie watamweleza. Na ashukuru kuwa amesafishwa nyota yake sasa anafunga.
Angekuwa hataki hayo asingekubali kupelekwa alikopelekwa na wazee.mwenzake Nchimbi si kamaliza Mwaka? Amekuja funga juzi tu hapa tena naye anajua alipewa maelezo gani.
Sisi tumeendelea kujipanga na tunashukuru kuwa tumehakikishiwa hii match tunashinda. Tumefuata maelekezo ya kamati ya ufundi. Azam leo anapata tena kichapo toka kwetu.
Saido atakuwa ndani ya nyumba,Tuisila, Mukoko, Yacoub. Hatoki Azam. NASEMA HIVI AZAM LEO APENDE ASIPENDE HATOKI.GAME IMEISHA JANA USIKU SAA SITA. LEO NI KUKAMILISHA MATOKEO TU.
NASISITIZA HAKUNA DRAW HAKUNA KUFUNGWA. LEO AZAM TUNAMCHAPA TUNARUDI KILELENI.
Simba wanatupashia moto kiti pale juu. Wenye nacho tunarudi kwa ubishi na hasira. Ndo mtakapojua hamjui.
Chizi karogwa tena. Dube hachekagi na machizi.Pamoja na maneno ya kashfa aliyoyasema Saido habari za kula Mayai Viza n.k sisi hatujali na tumemsamehe bado ana utoto. Ila aulize wenzie watamweleza. Na ashukuru kuwa amesafishwa nyota yake sasa anafunga.
Angekuwa hataki hayo asingekubali kupelekwa alikopelekwa na wazee.mwenzake Nchimbi si kamaliza Mwaka? Amekuja funga juzi tu hapa tena naye anajua alipewa maelezo gani.
Sisi tumeendelea kujipanga na tunashukuru kuwa tumehakikishiwa hii match tunashinda. Tumefuata maelekezo ya kamati ya ufundi. Azam leo anapata tena kichapo toka kwetu.
Saido atakuwa ndani ya nyumba,Tuisila, Mukoko, Yacoub. Hatoki Azam. NASEMA HIVI AZAM LEO APENDE ASIPENDE HATOKI.GAME IMEISHA JANA USIKU SAA SITA. LEO NI KUKAMILISHA MATOKEO TU.
NASISITIZA HAKUNA DRAW HAKUNA KUFUNGWA. LEO AZAM TUNAMCHAPA TUNARUDI KILELENI.
Simba wanatupashia moto kiti pale juu. Wenye nacho tunarudi kwa ubishi na hasira. Ndo mtakapojua hamjui.
Yaani hapo ndio baada ya kuhakikishiwa kuwa mnashinda, sasa sijui ubao utasomekaje siku mkiambiwa hamshindi!Sisi tumeendelea kujipanga na tunashukuru kuwa tumehakikishiwa hii match tunashinda.
Kipa katungukiwa kama mjinga, huyu Dube angekuwa anajua utopo topo wanavyo jisikia asingefunga hiligoli.😂😂😂Prince Dubeeeeeeeeeee
Lile goli ndugu yangu ni sheeeedaRemember The Name PRINCE DUBE [emoji419]View attachment 1764454