Leo baada ya mechi na Rivers United haya ndiyo yatakayokuwa maongezi ya Wana Yanga

Leo baada ya mechi na Rivers United haya ndiyo yatakayokuwa maongezi ya Wana Yanga

Ongezea;
4. Hata Wydad Bingwa Mtetezi alifungwa hapa Nigeria ije kuwa sisi Yanga.
5. Tunawasubir kwa Mkapa tupindue Meza.
6. Mechi ya Simba ilichosha wachezaji.
7. Hatua ya Robo Fainali tuliyofika ni kubwa sana kuanza nayo.
8. Nabbi kakosea kupanga kikosi.
Utopo kazi kwenu
Aibu!
 
Wanayanga baada ya mechi na Rivers United na kupoteza watasema:
1) Wachezaji hawakuwa na morali baada ya kufungwa na Simba kwenye derby.
2) Wachezaji walikuwa na uchovu wa safari na nguvu nyingi waliitumia kujiandaa na mechi ya watani.
3) Wachezaji waliwadharau wapinzani (by Nabi) hivyo kupoteza umakini ktk mchezo.
4) Fitina za Wanaigeria ndiyo zinesababisha Yanga kupoteza.

WACHAMBUZI SASA:
1) Yanga itawatoa kwa Mkapa. Yanga ina bahati na uwanja wa Mkapa (Monastry, Mazembe nk walikufa kwa Mkapa).
2) Mpira wa Afrika umejaa fitina, Yanga walitakiwa kujiandaa kwa fitina za Wanaigeria.
3) Morson Hana msaada hapo Yanga, aondolewe tu, ndiye alieuza ramani kwa wapinzani.

Let's wait.
Aibu sana!!
 
Wanayanga baada ya mechi na Rivers United na kupoteza watasema:
1) Wachezaji hawakuwa na morali baada ya kufungwa na Simba kwenye derby.
2) Wachezaji walikuwa na uchovu wa safari na nguvu nyingi waliitumia kujiandaa na mechi ya watani.
3) Wachezaji waliwadharau wapinzani (by Nabi) hivyo kupoteza umakini ktk mchezo.
4) Fitina za Wanaigeria ndiyo zinesababisha Yanga kupoteza.

WACHAMBUZI SASA:
1) Yanga itawatoa kwa Mkapa. Yanga ina bahati na uwanja wa Mkapa (Monastry, Mazembe nk walikufa kwa Mkapa).
2) Mpira wa Afrika umejaa fitina, Yanga walitakiwa kujiandaa kwa fitina za Wanaigeria.
3) Morson Hana msaada hapo Yanga, aondolewe tu, ndiye alieuza ramani kwa wapinzani.

Let's wait.
Bwaa ha ha ha haaaa ...
 
Wanayanga baada ya mechi na Rivers United na kupoteza watasema:
1) Wachezaji hawakuwa na morali baada ya kufungwa na Simba kwenye derby.
2) Wachezaji walikuwa na uchovu wa safari na nguvu nyingi waliitumia kujiandaa na mechi ya watani.
3) Wachezaji waliwadharau wapinzani (by Nabi) hivyo kupoteza umakini ktk mchezo.
4) Fitina za Wanaigeria ndiyo zinesababisha Yanga kupoteza.

WACHAMBUZI SASA:
1) Yanga itawatoa kwa Mkapa. Yanga ina bahati na uwanja wa Mkapa (Monastry, Mazembe nk walikufa kwa Mkapa).
2) Mpira wa Afrika umejaa fitina, Yanga walitakiwa kujiandaa kwa fitina za Wanaigeria.
3) Morson Hana msaada hapo Yanga, aondolewe tu, ndiye alieuza ramani kwa wapinzani.

Let's wait.
kwahiyo kwa sasa je huo ujinga wako upo?
 
Wanayanga baada ya mechi na Rivers United na kupoteza watasema:
1) Wachezaji hawakuwa na morali baada ya kufungwa na Simba kwenye derby.
2) Wachezaji walikuwa na uchovu wa safari na nguvu nyingi waliitumia kujiandaa na mechi ya watani.
3) Wachezaji waliwadharau wapinzani (by Nabi) hivyo kupoteza umakini ktk mchezo.
4) Fitina za Wanaigeria ndiyo zinesababisha Yanga kupoteza.

WACHAMBUZI SASA:
1) Yanga itawatoa kwa Mkapa. Yanga ina bahati na uwanja wa Mkapa (Monastry, Mazembe nk walikufa kwa Mkapa).
2) Mpira wa Afrika umejaa fitina, Yanga walitakiwa kujiandaa kwa fitina za Wanaigeria.
3) Morson Hana msaada hapo Yanga, aondolewe tu, ndiye alieuza ramani kwa wapinzani.

Let's wait.
Maongeziyako wewe baada ya yanga kushinda..
1.yanga wamebahatisha tuu
2.kwa mkapa rivers watapindua meza
3.rivers wabovu
4.yanga hawakuwq vinzuri wamekosa magoli mengi
Pimbi weweeweee..
 
Wanayanga baada ya mechi na Rivers United na kupoteza watasema:
1) Wachezaji hawakuwa na morali baada ya kufungwa na Simba kwenye derby.
2) Wachezaji walikuwa na uchovu wa safari na nguvu nyingi waliitumia kujiandaa na mechi ya watani.
3) Wachezaji waliwadharau wapinzani (by Nabi) hivyo kupoteza umakini ktk mchezo.
4) Fitina za Wanaigeria ndiyo zinesababisha Yanga kupoteza.

WACHAMBUZI SASA:
1) Yanga itawatoa kwa Mkapa. Yanga ina bahati na uwanja wa Mkapa (Monastry, Mazembe nk walikufa kwa Mkapa).
2) Mpira wa Afrika umejaa fitina, Yanga walitakiwa kujiandaa kwa fitina za Wanaigeria.
3) Morson Hana msaada hapo Yanga, aondolewe tu, ndiye alieuza ramani kwa wapinzani.

Let's wait.
Duh Sasa hivi wanasemaje
 
Wanayanga baada ya mechi na Rivers United na kupoteza watasema:
1) Wachezaji hawakuwa na morali baada ya kufungwa na Simba kwenye derby.
2) Wachezaji walikuwa na uchovu wa safari na nguvu nyingi waliitumia kujiandaa na mechi ya watani.
3) Wachezaji waliwadharau wapinzani (by Nabi) hivyo kupoteza umakini ktk mchezo.
4) Fitina za Wanaigeria ndiyo zinesababisha Yanga kupoteza.

WACHAMBUZI SASA:
1) Yanga itawatoa kwa Mkapa. Yanga ina bahati na uwanja wa Mkapa (Monastry, Mazembe nk walikufa kwa Mkapa).
2) Mpira wa Afrika umejaa fitina, Yanga walitakiwa kujiandaa kwa fitina za Wanaigeria.
3) Morson Hana msaada hapo Yanga, aondolewe tu, ndiye alieuza ramani kwa wapinzani.

Let's wait.
🤣🤣🤣 Sasa hivi wanasemaje?
 
Wanayanga baada ya mechi na Rivers United na kupoteza watasema:
1) Wachezaji hawakuwa na morali baada ya kufungwa na Simba kwenye derby.
2) Wachezaji walikuwa na uchovu wa safari na nguvu nyingi waliitumia kujiandaa na mechi ya watani.
3) Wachezaji waliwadharau wapinzani (by Nabi) hivyo kupoteza umakini ktk mchezo.
4) Fitina za Wanaigeria ndiyo zinesababisha Yanga kupoteza.

WACHAMBUZI SASA:
1) Yanga itawatoa kwa Mkapa. Yanga ina bahati na uwanja wa Mkapa (Monastry, Mazembe nk walikufa kwa Mkapa).
2) Mpira wa Afrika umejaa fitina, Yanga walitakiwa kujiandaa kwa fitina za Wanaigeria.
3) Morson Hana msaada hapo Yanga, aondolewe tu, ndiye alieuza ramani kwa wapinzani.

Let's wait.
Siku zote ukiongea jambo huku umebanwa kinyesi matokeo yake huwa kama haya AiBu.
 
Wanayanga baada ya mechi na Rivers United na kupoteza watasema:
1) Wachezaji hawakuwa na morali baada ya kufungwa na Simba kwenye derby.
2) Wachezaji walikuwa na uchovu wa safari na nguvu nyingi waliitumia kujiandaa na mechi ya watani.
3) Wachezaji waliwadharau wapinzani (by Nabi) hivyo kupoteza umakini ktk mchezo.
4) Fitina za Wanaigeria ndiyo zinesababisha Yanga kupoteza.

WACHAMBUZI SASA:
1) Yanga itawatoa kwa Mkapa. Yanga ina bahati na uwanja wa Mkapa (Monastry, Mazembe nk walikufa kwa Mkapa).
2) Mpira wa Afrika umejaa fitina, Yanga walitakiwa kujiandaa kwa fitina za Wanaigeria.
3) Morson Hana msaada hapo Yanga, aondolewe tu, ndiye alieuza ramani kwa wapinzani.

Let's wait.
Saizi mleta uzi akiangalia uzi wake mkvndu una dunda kama moyo
 
Kwa taarifa TU mechi ambayo yanga walidharau ni Ile derby maana haikuwa inaathiri chochote as ubingwa bado ni WA yanga
Kocha aliruhusu wachezaji wawe lazy ili kuwahadaa Rivers ambao hawakudhani wanacheza na team ngumu maana imepoteza na kukoswa koswa
Nb:mechi ngumu kwetu na muhimu ilikuwa Ile ya kagera
 
Back
Top Bottom