Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Maneno kuntu hayo,copy and paste
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisaa...yaani nampenda sana basila lakini vijembe anavopiga havimpendezi kabisaaHuu ugomvi kaanza huyu muandaaji miss TZ baada ya jembenijembe kumuweka wolper judge miss mwanza sijui kanda ya ziwa akasema hana qualification (???) na kuponda ile zawadi ya spare tire
Ndio maana hata miss TZ ilipotoa gari ndogo wolper akarusha dongo nahisi bibie kilimuuma ndio kutafuta sababu ya nguo za wolper
Kusema kweli Basila anajishusha hadhi kubishana na hao bongo movie yaani anajishusha na ataenda kudharaulika
Umeona eeehhh!natamani kumshauri lakini naogopa banBasili Mwanukuzi mbona siku hizi kila siku vijembe!
YANI AMEKUWA MSWAHILIIIIIIIIIIIIIIIIIII!
anaongeaaa!
anajivalidate!
yani aaaargh!
SIJAZOEA KABISA HIZI MAKITU KWA MAMISS WA ENZI YAKE!
Hahaaa....ndo kamjibu wolpa akamuambia ndo nguo nzuri kati ya zote hyo niliyokushonea Mimi mbona na ndo unapendezaa...yaani wanapigana vijembe balaahii nguo alishonewa na Jackie?
and NAHS NDO NGUO ALOPENDEZA KULIKO NAZOONA ANAVAA!
Sijui tatizo nini wadada wa mjini bongo wanalo...aiseehhh!!hata mtu unaemuona wa maana nae anakua mswahili mswahili kuendeleza vitaa..
Ishu ilianza miss Tanzania baada ya wolper kuliponda hadharani gari la zawadi ya mshindiwa shindano hilo la 2018 kitendo kile Basila hakufurahishwa nacho toka hapo pamekua na vita ya maneno kati yao.
Leo Basila kamponda live wolper japo hajamtaja jina kua eti sio designer bali anakopy na kupaste vya Rihanna na designers wengine wa nje ya nchi badala yake awe mbunifu aache kuiga
Wolper nae kampiga dongo Basila
Wanawake sisi tuna shida sana sijui kwa nini hatupendani tunapenda kukuza vitu vidogo vikawa vikubwaaa
Kumbeee halafu wolpa alikua kimya naona bibie madongo hayaishiHii ishu kaianzisha basila na sio wolper. Ni hv wolper alichaguliwa kuwa jaji kwenye miss mwanza basila akamponda kwamba hafai hana hadhi ya kuwa jaji wa miss yoyote. Ndipo balaa lilipoanza
Kumbeee halafu wolpa alikua kimya naona bibie madongo hayaishi
Yaap mmeona hilooo...wolper wala hajawahi kumuanza hata leo alivoweka ile caption IG nlishangaa sana aisehhh!!Anamchokonoa sana mwenzie, alafu akiulizwa anasema hana bifu na wolper ila tu anamuona hafai, kama sio ugomvi ni nini?
Yani hafanani na beef za kiki!!Yaap mmeona hilooo...wolper wala hajawahi kumuanza hata leo alivoweka ile caption IG nlishangaa sana aisehhh!!
Ila kwani Basila alikosea mbona nnaona kawa mkweli. Wolper hana hadhi ya kuwa judge kwenye shindano lolote la maanaHii ishu kaianzisha basila na sio wolper. Ni hv wolper alichaguliwa kuwa jaji kwenye miss mwanza basila akamponda kwamba hafai hana hadhi ya kuwa jaji wa miss yoyote. Ndipo balaa lilipoanza
Toka dunia hii imeumbwa bila shaka katika mavazi hakuna kipya tunarudia tuBasili Mwanukuzi mbona siku hizi kila siku vijembe!
YANI AMEKUWA MSWAHILIIIIIIIIIIIIIIIIIII!
anaongeaaa!
anajivalidate!
yani aaaargh!
SIJAZOEA KABISA HIZI MAKITU KWA MAMISS WA ENZI YAKE!
Kuna wakati ukikaa kimya unawapa wajinga nafasi,huyo mlamba uzi auze tu mbunyeRafiki nakubali na wewe 100% ila Dada Basila nnaemjua Mimi sio wa kugombana na watoto wa bongo muvie wolpa hana status ya basila hata kidogo
Ila kwani Basila alikosea mbona nnaona kawa mkweli. Wolper hana hadhi ya kuwa judge kwenye shindano lolote la maana