Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
- Thread starter
- #61
Uwoya mambo safi yule since long...acha ale gud life na anakula bata kweli kweli si mchezomambo ya mjini... uwoya nae anakula sana bata.. wanakwambia mzee wake amestaafu urubani.. kampa binti yake nusu ya mafao yake... maana hana shida nayo ana miradi mingi... uwoya kafurahi sana kaanza bata