tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Kunyamaza ndio jibu,ila huyo mangi stress zinamsumbua wahongaji hakuna kipindi hikiHahaa..basila angeuchuna tu kubizana nae basila ndo anapotezq
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kunyamaza ndio jibu,ila huyo mangi stress zinamsumbua wahongaji hakuna kipindi hikiHahaa..basila angeuchuna tu kubizana nae basila ndo anapotezq
Ahamie manyara hela zipo[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] wapo sana sema hawapatikanii kirahisiii
KabisaaALITAKIWA ASET STANDARDS ZAKE AKOMAE NA EVENT YAKE!!
aachane na hiki anafanya!!
Jackie got nothing to lose matter of fact!!
Yeye anahitaji kuonekana was tofauti ili kuipa event yake credibility.
Anapoanza issue za kuchambana na walio kwenye industry hasa walio active in social medias,anafail!!
Jackie ana wazimu wake Ila angewez mtumia ampe ideas za kijanja Miss Tanzania iendane na wakati!!
ASIPOANGALIA ATABAKI KUVALISHA WATU VITENGE BEACH NA MACKENZIE Kama vazi la UBUNIFU!!
Kabisa vitu vidogo kama hivyo ilibidi waviache vipite tu,washakuwa watu wazima 30+ is not a joke.Sijui tatizo nini wadada wa mjini bongo wanalo...aiseehhh!!hata mtu unaemuona wa maana nae anakua mswahili mswahili kuendeleza vitaa..
Ishu ilianza miss Tanzania baada ya wolper kuliponda hadharani gari la zawadi ya mshindiwa shindano hilo la 2018 kitendo kile Basila hakufurahishwa nacho toka hapo pamekua na vita ya maneno kati yao.
Leo Basila kamponda live wolper japo hajamtaja jina kua eti sio designer bali anakopy na kupaste vya Rihanna na designers wengine wa nje ya nchi badala yake awe mbunifu aache kuiga
Wolper nae kampiga dongo Basila
Wanawake sisi tuna shida sana sijui kwa nini hatupendani tunapenda kukuza vitu vidogo vikawa vikubwaaa
Sema Wolper hawakumtendea haki dada wa watu kapost begi kubwa yupo airport anaenda mwanza kwenye ujaji amefika kule wakamyeyusha sipati picha lilivyomshuka sijui alirudije kwa aibuHuu ugomvi kaanza huyu muandaaji miss TZ baada ya jembenijembe kumuweka wolper judge miss mwanza sijui kanda ya ziwa akasema hana qualification (???) na kuponda ile zawadi ya spare tire
Ndio maana hata miss TZ ilipotoa gari ndogo wolper akarusha dongo nahisi bibie kilimuuma ndio kutafuta sababu ya nguo za wolper
Kusema kweli Basila anajishusha hadhi kubishana na hao bongo movie yaani anajishusha na ataenda kudharaulika
Ana kibri cha pesa ya urithi na leseni yake ya u miss TanzaniaBasili Mwanukuzi mbona siku hizi kila siku vijembe!
YANI AMEKUWA MSWAHILIIIIIIIIIIIIIIIIIII!
anaongeaaa!
anajivalidate!
yani aaaargh!
SIJAZOEA KABISA HIZI MAKITU KWA MAMISS WA ENZI YAKE!
HILI LA KUPOTEZWA NDILO NINALIONA KWA KARIBU!Ana kibri cha pesa ya urithi na leseni yake ya u miss Tanzania
Ameshaingia kwenye anga za watu 'wabaya' kina Le Mutuz na genge lake,watamfyeklea mbali kisanii
we umejuaje alimaanisha WOLPER kama hamtaja jinaSijui tatizo nini wadada wa mjini bongo wanalo...aiseehhh!!hata mtu unaemuona wa maana nae anakua mswahili mswahili kuendeleza vitaa..
Ishu ilianza miss Tanzania baada ya wolper kuliponda hadharani gari la zawadi ya mshindiwa shindano hilo la 2018 kitendo kile Basila hakufurahishwa nacho toka hapo pamekua na vita ya maneno kati yao.
Leo Basila kamponda live wolper japo hajamtaja jina kua eti sio designer bali anakopy na kupaste vya Rihanna na designers wengine wa nje ya nchi badala yake awe mbunifu aache kuiga
Wolper nae kampiga dongo Basila
Wanawake sisi tuna shida sana sijui kwa nini hatupendani tunapenda kukuza vitu vidogo vikawa vikubwaaa
Kwani pesa za urithi amerithi wapi jamani maana mmeona mahali tena wamesemaAna kibri cha pesa ya urithi na leseni yake ya u miss Tanzania
Ameshaingia kwenye anga za watu 'wabaya' kina Le Mutuz na genge lake,watamfyeklea mbali kisanii
Huyo aliyeponda hiyo zawadi kama kweli anajali hiyo fani basi naye angetoa mchango wake.Rafiki nakubali na wewe 100% ila Dada Basila nnaemjua Mimi sio wa kugombana na watoto wa bongo muvie wolpa hana status ya basila hata kidogo
Kwani pesa za urithi amerithi wapi jamani maana mmeona mahali tena wamesema
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ahsante nimecheka balaaq