Leo Basila kamponda live Wolper japo hajamtaja jina

Leo Basila kamponda live Wolper japo hajamtaja jina

ALITAKIWA ASET STANDARDS ZAKE AKOMAE NA EVENT YAKE!!

aachane na hiki anafanya!!
Jackie got nothing to lose matter of fact!!
Yeye anahitaji kuonekana was tofauti ili kuipa event yake credibility.
Anapoanza issue za kuchambana na walio kwenye industry hasa walio active in social medias,anafail!!
Jackie ana wazimu wake Ila angewez mtumia ampe ideas za kijanja Miss Tanzania iendane na wakati!!

ASIPOANGALIA ATABAKI KUVALISHA WATU VITENGE BEACH NA MACKENZIE Kama vazi la UBUNIFU!!
Kabisaa
 
Sijui tatizo nini wadada wa mjini bongo wanalo...aiseehhh!!hata mtu unaemuona wa maana nae anakua mswahili mswahili kuendeleza vitaa..

Ishu ilianza miss Tanzania baada ya wolper kuliponda hadharani gari la zawadi ya mshindiwa shindano hilo la 2018 kitendo kile Basila hakufurahishwa nacho toka hapo pamekua na vita ya maneno kati yao.

Leo Basila kamponda live wolper japo hajamtaja jina kua eti sio designer bali anakopy na kupaste vya Rihanna na designers wengine wa nje ya nchi badala yake awe mbunifu aache kuiga

Wolper nae kampiga dongo Basila

Wanawake sisi tuna shida sana sijui kwa nini hatupendani tunapenda kukuza vitu vidogo vikawa vikubwaaa
Kabisa vitu vidogo kama hivyo ilibidi waviache vipite tu,washakuwa watu wazima 30+ is not a joke.
 
Huu ugomvi kaanza huyu muandaaji miss TZ baada ya jembenijembe kumuweka wolper judge miss mwanza sijui kanda ya ziwa akasema hana qualification (???) na kuponda ile zawadi ya spare tire
Ndio maana hata miss TZ ilipotoa gari ndogo wolper akarusha dongo nahisi bibie kilimuuma ndio kutafuta sababu ya nguo za wolper
Kusema kweli Basila anajishusha hadhi kubishana na hao bongo movie yaani anajishusha na ataenda kudharaulika
Sema Wolper hawakumtendea haki dada wa watu kapost begi kubwa yupo airport anaenda mwanza kwenye ujaji amefika kule wakamyeyusha sipati picha lilivyomshuka sijui alirudije kwa aibu
 
Kinachomsumbua huyu dada ni lile gari la Miss Tanzania kiukweli ni gari baya yani wameshindwa hata kumnunulia Miss Tanzania hata Toyota Altezza, Subaru Legacy au Forester tukajua moja...basi labda ni shida zipo VW Golf ya 2005 hata za milioni 10 basi dahh
 
Basili Mwanukuzi mbona siku hizi kila siku vijembe!
YANI AMEKUWA MSWAHILIIIIIIIIIIIIIIIIIII!
anaongeaaa!
anajivalidate!
yani aaaargh!
SIJAZOEA KABISA HIZI MAKITU KWA MAMISS WA ENZI YAKE!
Ana kibri cha pesa ya urithi na leseni yake ya u miss Tanzania
Ameshaingia kwenye anga za watu 'wabaya' kina Le Mutuz na genge lake,watamfyeklea mbali kisanii
 
Basila umenena vyema
Waache wakawe majaji wa vigodolo na udangaji bongo movi
Proffession lazima ziheshimiwe full stop
 
HIVI BAADA YA DOGO JANJARO KUMKOJOLESHA NA KUMWACHA WOLPER NANI AMEPEWA TENA KANDARASI YA KUENDELEA KUMKUNJA NA KUIOKOTA ILE PAPUCHI.AISEE NASIKIA WOLPER ANA MVI ADI KWENYE MAVUZI.
 
HIVI BAADA YA DOGO JANJARO KUMKOJOLESHA NA KUMWACHA WOLPER NANI AMEPEWA TENA KANDARASI YA KUENDELEA KUMKUNJA NA KUIOKOTA ILE PAPUCHI.AISEE NASIKIA WOLPER ANA MVI ADI KWENYE MAVUZI.
 
Sijui tatizo nini wadada wa mjini bongo wanalo...aiseehhh!!hata mtu unaemuona wa maana nae anakua mswahili mswahili kuendeleza vitaa..

Ishu ilianza miss Tanzania baada ya wolper kuliponda hadharani gari la zawadi ya mshindiwa shindano hilo la 2018 kitendo kile Basila hakufurahishwa nacho toka hapo pamekua na vita ya maneno kati yao.

Leo Basila kamponda live wolper japo hajamtaja jina kua eti sio designer bali anakopy na kupaste vya Rihanna na designers wengine wa nje ya nchi badala yake awe mbunifu aache kuiga

Wolper nae kampiga dongo Basila

Wanawake sisi tuna shida sana sijui kwa nini hatupendani tunapenda kukuza vitu vidogo vikawa vikubwaaa
we umejuaje alimaanisha WOLPER kama hamtaja jina
 
Ana kibri cha pesa ya urithi na leseni yake ya u miss Tanzania
Ameshaingia kwenye anga za watu 'wabaya' kina Le Mutuz na genge lake,watamfyeklea mbali kisanii
Kwani pesa za urithi amerithi wapi jamani maana mmeona mahali tena wamesema
 
Rafiki nakubali na wewe 100% ila Dada Basila nnaemjua Mimi sio wa kugombana na watoto wa bongo muvie wolpa hana status ya basila hata kidogo
Huyo aliyeponda hiyo zawadi kama kweli anajali hiyo fani basi naye angetoa mchango wake.
Tatizo kubwa la vijana wa sasa ni uhodari wao wa kuponda bila kutoa alternative option.
Na kwa bahati mbaya hata mwendawazimu anaweza kuponda.
'ADA YA MJA NI KUNENA, MUUNGWANA NI VITENDO'
 
hela za urithi ni unazirithi kwa mzazi wako... na yeye amerithi za wazazi wake
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ahsante nimecheka balaaq
 
Back
Top Bottom