Leo Daktari naongea na vijana, ukipata mwenza wa dini/imani tofauti na yako vunja hayo mahusiano mapema

Mimi naona nikufatilia haya mambo nitakufa Kwa presha ila wazazi sijui shidayao kubwa ni ipi hiv dini zikiwa tofaut na watu wanaishi wenyew wawili huku nje tatizo lao Huwa nn sijawah kuelewa
 
Umesema wewe ni mkongwe, je katiba ya nchi yetu inatambua ndoa ya dini na bomani tu?
 
Kwahiyo mkuu ata Marekani Viongozi wa Dini kwenye Mikutano ya Rais hawapewi nafasi ya Kuliombea Taifa lao la Marekani?
 
Sio mbaya ila lazima mkubaliane watoto wenu wafuate dhehebu lipi Ili msiwaweke njia panda.
Mfano Baba anataka kumpa jina mtoto wake Antwerp Zainabu na Mama anataka Mtoto wake amuite Janeth hapo ni shida
 
Mimi naona nikufatilia haya mambo nitakufa Kwa presha ila wazazi sijui shidayao kubwa ni ipi hiv dini zikiwa tofaut na watu wanaishi wenyew wawili huku nje tatizo lao Huwa nn sijawah kuelewa
Naonaga ni mazoea tu.... wengine wanakaza shingo while hata sio wadini kivile. Kama baba mkwe wangu ni Muslim jina even my husband kipindi tunakutana hakua mswala swala, walau mimi nlikua Sunday girl
 
Mfano Baba anataka kumpa jina mtoto wake Antwerp Zainabu na Mama anataka Mtoto wake amuite Janeth hapo ni shida
Ni ujinga tu.... kwani watoto wakiitwa majina ya kiswahili yenye maana kuna shida? Nuru, Malaika, Upendo, Zawadi, Waridi, Imani and many others
 
Naonaga ni mazoea tu.... wengine wanakaza shingo while hata sio wadini kivile. Kama baba mkwe wangu ni Muslim jina even my husband kipindi tunakutana hakua mswala swala, walau mimi nlikua Sunday girl
Ni hatari sana
 
Kwahiyo mkuu ata Marekani Viongozi wa Dini kwenye Mikutano ya Rais hawapewi nafasi ya Kuliombea Taifa lao la Marekani?
Uliona wapi Rais wa Marekani kabla ya kuhutubia kuna maaskofu na Masheikh kama hawa matapeli wenu wanaokula na serikali kwa mgongo wa dini?
 
Mimi naona nikufatilia haya mambo nitakufa Kwa presha ila wazazi sijui shidayao kubwa ni ipi hiv dini zikiwa tofaut na watu wanaishi wenyew wawili huku nje tatizo lao Huwa nn sijawah kuelewa
Achana na hii kitu, baadaye kuna mmoja wenu anabadilika au kuwa mbinafsi italeta shida sana.

Tena kwa sasa ilitakiwa watu waowane wanaotoka sehemu moja, sasa naanza kuelewa knoledge ya Waarabu kwa nini wanaowana kwa ukoo, wapo sahihi sana ni strong bond.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…