Leo EPL inaanza rasmi: Natabiri Arsenal kufa 2 kwa Crystal Palace

Leo EPL inaanza rasmi: Natabiri Arsenal kufa 2 kwa Crystal Palace

Ikiwa ligi kuu ya uingereza inaanza leo kaa karibu yangu niweze kukubashiria matokeo sahihi ya weekend hii! Kwa kuanza Arsenal anakufa 2-1.
Chelsea anadraw 1-1
Liverpool anashinda 3-1
Spurs anashinda 4-0
Newcastle anashinda 2-1
Aston villa anadraw 0-0
Leeds anadraw 2-2
Westham anashinda 1-0
Man utd anakufa 2-1
Brentford anadraw 1-1
Karibuni! Thank me later!
Sawa mkuu
 
Kwa jinsi game inavyoenda, arsenal atalimwaga mda wowote, hawaaminiki hawa watoto.
 
Uchawi sio mpaka kupaa na ungo, mmoja wapo ni huyu, haya Arsenal kampiga mtu huko
 
Jamaa katabiri kishabiki.. eti timu zote kubwa zisipate matokeo isipokuwa Liverpool tu!
 
Back
Top Bottom